Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Imagine unafuta huduma polisi anakwambia toa hela, akimkamata mtuhumiwa nae anatoa dau ya juu unabaki kuzungushwa! Mimi issue ya polisi labda iwe ya kufa ndo nitaenda vinginevyo ni kupoteza muda na pesa!wamekosa tu namna ya kuirasimisha tu ila rushwa imefanya watu wengi sana wakose haki zao au waharibiwe maisha.
kweli ktk maisha yangu nilikua najua Polisi ni watu smart sana ktk utendaji wa kazi zao kumbe ni jamaa wa hovyo sana, yani nimewashusha thamani hawa jamaa, huduma ya polisi inanunuliwa.Imagine unafuta huduma polisi anakwambia toa hela, akimkamata mtuhumiwa nae anatoa dau ya juu unabaki kuzungushwa! Mimi issue ya polisi labda iwe ya kufa ndo nitaenda vinginevyo ni kupoteza muda na pesa!
Polisi wanakula pande zote!
hawana weledi kabisa hao jamaa, wakiipata pia wanaweza wasikupatie wakaiuza na yule walomkamata nayo wanamkamua pesa wanamalizanaTarehe 16.7.2024. Nilliibiwa simu ktk eneo langu la kazi. nikaenda polisi kutoa Taarifa wakanipa RB baada ya hapo nikaambiwa ni subili mpelelezi, kufika kwa mpelelezi, ananiambia kutrack simu kuna gjharama. Gharama ya kutrack simu ni shilingi 100,000/=. Thamani ya simu yangu iliobiwa ni shilingi 260,000/=
Nimeenda kituoni kama mara 4 hivi, sipati msaada wowote zaidi ya polisi kutaka Pesa. Mwanzo nilikua na Imani kubwa sana kwa Polisi, ila niliposikia kuhusu malipo ya kutrack simu,niliwaza kupoteza pia pesa maana polisi sio mtu wa kumuamini,anaweza kula pesa yangu na kazi isifanyike.
Nikaa pata wazo lingine kua niende kituo kingine cha polisi wanisaidie swala langu, uko walitaka 80,000/= ila niwalipe cash, na mi nikawapa ombi langu kazi ifanyike ndo niwape malipo yao. wao nao polisi wanasema kuna Ada ya kutrack simu, bila ada ya kiingilio kazi haiwezi kufanyika.
Kuanzia mda huo nilikata tamaa nikaona hii Huduma ya Kutrack simu inawezekana hawa Askari wetu hawaiwezi ndomana wanakua na longo longo, ni jambo ambalo liko nje ya uwezo wao.
Hela zao sio nyingiHuu msemo una ushetni ndani yake.
Huyu polisi analipwa kwa fedha za kodi za wananchi, na analipwa kwa kazi hiyo. Access kapewa na serikali, kapewa na simu kabisa pamoja na computer afanye kazi hiyo la kushangaza anataka pesa. Pesa ya nini huku mshahara analipwa na posho analipwa?
Je, hii kazi anifanya nje ya wajibu wake wa kila siku?
Kwanini pesa wanayotaka isilipwe kwa control number kama malipo ni halali?
Mnalirudisha taifa nyuma, mnalilani taifa na vizazi vyenu vinalaaniwa .
Sasa simu ni laki 280 sasa unaenda kuitrack yanini nunua simu broo . Ebo halafi ndio utqfute mtu mwenye connection na hao polisi au wale wanaopelekewa loss report ongea nao kishkaji bembeleza , mabosy na 40 sai plz nisaidieni nikiipata nakuja kutoa shukranikweli, ila kama Kazi yangu ingefanyika ningewalipa hiyo 100,000. ila hapo kuna kupoteza simu na laki moja pia itapotea polisi sio mtu wa kumuamini hata mara moja, wanakula uku na uku.
Hii ilikua dar maeneo ya D.I.T kakaAlikua kwa pikipiki.. alivonikwapua mi sikua na papara mana kwa ile kikiri kakara mwenzake akakosa stamina..
Basi wakaanguka na mwendokasi ukapita nao watu wanashangaa mi naenda nachukua simu yangu huyo bila kuuliza
Kuweza wanaweza sema wameweka pesa mbele, mimi nilipata simu yangu kupitia hao hao polis sema kuna polis kitengo cha cyber crime ni mtu ninamjua so sikutoa pesa yoyote zaidi ya kumpa asante tena bila kuniomba. Ila kwa sasa hata bila huyo jamaa yangu kama nimedhamiria najua ntaipata tu tena bila rushwa kikubwa niwe na muda wa kuamkia kwa mpelelezi wangu kila siku na longolongo likizidi napanda juuTarehe 16.7.2024. Nilliibiwa simu ktk eneo langu la kazi. nikaenda polisi kutoa Taarifa wakanipa RB baada ya hapo nikaambiwa ni subili mpelelezi, kufika kwa mpelelezi, ananiambia kutrack simu kuna gjharama. Gharama ya kutrack simu ni shilingi 100,000/=. Thamani ya simu yangu iliobiwa ni shilingi 260,000/=
Nimeenda kituoni kama mara 4 hivi, sipati msaada wowote zaidi ya polisi kutaka Pesa. Mwanzo nilikua na Imani kubwa sana kwa Polisi, ila niliposikia kuhusu malipo ya kutrack simu,niliwaza kupoteza pia pesa maana polisi sio mtu wa kumuamini,anaweza kula pesa yangu na kazi isifanyike.
Nikaa pata wazo lingine kua niende kituo kingine cha polisi wanisaidie swala langu, uko walitaka 80,000/= ila niwalipe cash, na mi nikawapa ombi langu kazi ifanyike ndo niwape malipo yao. wao nao polisi wanasema kuna Ada ya kutrack simu, bila ada ya kiingilio kazi haiwezi kufanyika.
Kuanzia mda huo nilikata tamaa nikaona hii Huduma ya Kutrack simu inawezekana hawa Askari wetu hawaiwezi ndomana wanakua na longo longo, ni jambo ambalo liko nje ya uwezo wao.
Hapana mkuuHii ilikua dar maeneo ya D.I.T kaka
Hao malipo yao ndo hayo safi sanaHapana mkuu
Ndio mkuu ndo mana hakuna hata mtu aliyenigusa kipindi naenda kuchukua simu yangu huku mtu akiwa anatapa tapaHao malipo yao ndo hayo safi sana
🤣 hatari sana.Ngoja nikupe hadithi ya kuchekesha! Au tuseme ya kufurahisha.
Mwaka 2018 nilipoteza simu yangu sumsung kali nilinunua laki 9. Kwa Bahati nilikua na imei. Nilienda TCRA ili ifungwe kumkomoa "aliyeiba" ili tukose wote! Yule mtu wa cyber wa TCRA akanihakikishia simu imefungwa.
La haula! Baada ya kama mwezi niliipata simu imetumbukia ndani ya sofa! Sebuleni kwangu! Kuiwasha simu inawaka na inafanya kazi kama kawaida!
Tanzania kuna usanii mwingi sana!
tanzania ni ka nchi fulani ka kipuuuzipuuziNgoja nikupe hadithi ya kuchekesha! Au tuseme ya kufurahisha.
Mwaka 2018 nilipoteza simu yangu sumsung kali nilinunua laki 9. Kwa Bahati nilikua na imei. Nilienda TCRA ili ifungwe kumkomoa "aliyeiba" ili tukose wote! Yule mtu wa cyber wa TCRA akanihakikishia simu imefungwa.
La haula! Baada ya kama mwezi niliipata simu imetumbukia ndani ya sofa! Sebuleni kwangu! Kuiwasha simu inawaka na inafanya kazi kama kawaida!
Tanzania kuna usanii mwingi sana!
Wenzetu kila kiko computerized mfano. Unakuta askari wana piga doria usiku na gari nzuri tu kwenye gari wana computer iko connected na internet kila kitu wanachofanya km unakosa identity yako inaingizwa kuangalia km una makosa nyuma even hatavkm una kesi mahakamani itaonyesha haya mambo mpka ufike kituoni yanachoshaShida ni serikal kwa ushirikiano na jeshi la polisi bado wanawaza kununua magari ya washa washa kununua mabomu ya machozi wanashikwa kuendana na mazingira ya sasa
Nliwai kutapeliwa ktk biashara zangu na hawa watu wa mitandaoni km 3 million bas nkaenda polisi kufika polisi wanaanza kunichukua maelezo cha ajabh maelezo yenyewe wanaandika kwenye karatasi wakat mm nmeibiwa mtandaoni na matapeli.
Yan kile kitendo cha polisi kuchukua karamu na karatas kuanza kuandika maelezo nkajiasemea tu moyoni pesa yangu imeenda akuna msaada apa
Lisiti unapewa?Tarehe 16.7.2024. Nilliibiwa simu ktk eneo langu la kazi. nikaenda polisi kutoa Taarifa wakanipa RB baada ya hapo nikaambiwa ni subili mpelelezi, kufika kwa mpelelezi, ananiambia kutrack simu kuna gjharama. Gharama ya kutrack simu ni shilingi 100,000/=. Thamani ya simu yangu iliobiwa ni shilingi 260,000/=
Nimeenda kituoni kama mara 4 hivi, sipati msaada wowote zaidi ya polisi kutaka Pesa. Mwanzo nilikua na Imani kubwa sana kwa Polisi, ila niliposikia kuhusu malipo ya kutrack simu,niliwaza kupoteza pia pesa maana polisi sio mtu wa kumuamini,anaweza kula pesa yangu na kazi isifanyike.
Nikaa pata wazo lingine kua niende kituo kingine cha polisi wanisaidie swala langu, uko walitaka 80,000/= ila niwalipe cash, na mi nikawapa ombi langu kazi ifanyike ndo niwape malipo yao. wao nao polisi wanasema kuna Ada ya kutrack simu, bila ada ya kiingilio kazi haiwezi kufanyika.
Kuanzia mda huo nilikata tamaa nikaona hii Huduma ya Kutrack simu inawezekana hawa Askari wetu hawaiwezi ndomana wanakua na longo longo, ni jambo ambalo liko nje ya uwezo wao.
Ni Police wachache sana wataingia peponi.Kitengo cha upelelezi kuna ambao wamepewa hiyo access na simu juu kwaajili ya kazi hiyo ya kupambana na uhalifu kwa njia ya mtandao.
Cha ajabu hicho kitengo wamekigeuza dili
Ni mambo ya aibu na ajabu kubwa
Wakikosa wateja wanaanza kuzunguka mtaani na kuuza simu bei chee then kesho tu wanakuja kukushika kuwa una simu ya wizi na ilipoibiwa ziliibiwa million 10 . Hutoki ndani mpaka ulipe pesa hiyo iliyotajwa kisha simu wanaichukua wanakwenda kuuza mtaa mwingine.
Hii nchi hapana