KERO Ukienda Polisi kuwataka watrack Simu iliyobiwa, bila Pesa hufanikiwi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
naomba msaada wako, ndugu yangu kama unaweza nikutanisha na huyo jamaa na Maana huyu polisi niliepewa mpelelezi wangu naoana kila siku kiswahili longo longo kibao.
Wewe uko mkoa gani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…