Ukienda ugenini Kuna vitoto vinapenda sana sifa

Usimpige bwana mpe kitu chakufanya muulize hata homework yake msaidie kanahitaji upendo kama kamekupenda Katoe hata out umpe juice na umpeleke akachezee na wenzake kwenye michezobumkanye akifanya kitu kiupole , mie nisingempiga ningempaka kazi anaakili sana so anataka uwe unanpa majukumu ukinywa kitu mwite anywe mpe achezee , na vitu Fulani, cheza naye mpiraa usikachukie Bhana
 
Watoto huwa hawatabiriki, kuna wapole na kuna watundu kupitiliza. Hiyo miaka 3 mpaka 5 ndiyo hapo utundu umekolea kabisa.

Nadhanai wewe bado hujapata mtoto (au ndiyo akina kataa ndoa?), subiri uone.
 
Fanya shambulizi la kimya kimya hakuna haja ya kushika fimbo.

Shika mkono vizuri kwenye msuli(hawezi kua na msuli) binya na dole gumba kwa nguvu kiasi utakutana na mfupa, kandamiza kama sekunde 10 hivi uone kama katarudia
Hapa Sana mkuu,Yaani nimecheka Kama mazuri vile😂
 
Kuna vitoto Ni vitundu kupitiliza sidhani Kama haya uliyoeleza yanaweza kusaidia kitu.
Suluhisho pekee Ni kukazaba vibao
 
Kwanza hapo mwenyeji wangu anatakiwa anishukuru Sana kwa kumfundishia mwanaye adabu.
Kunamtu alikuwa ananitisha sana ili nimkimbie , anasema eti yeye anakulaga watu masikio na anaweka chumvi kabisa anayala kama nyama Tena amesema anakata na kakisu kadogo ananionyesha kabisa analamba kwanza anasafisha ndio anachoma kwenye moto mkali anaweka chumvi anakula weh nilisepa sijawahi Kuja hapo sebuleni hata kumsalimia .
 
Ulikuwa na umri gani wakati huo?
 
Unaonekana ulikuwa mtundu Sana ndo maana jamaa alikuwa anakuchimbia mikwara ili umuogope😂
Eh sana nauliza maswali , umekuja kwetu kufanya Nini , kwako je umewaacha nani , unakaa siku ngapi, je umenileta zawadi gani??nishawahi mwambia unajua chai ya maziwa ??unajua mkate ?? Walahi hata akinywaa soda na mwangalia akiinywa
 
Maisha ya ugenini Yana uunafiki hii kauli naafikiana na wewe mkuu maisha ya ugenini mtihani sana huna uhuru, Kuna siku nimeenda kwa mmoja ktk ndugu zangu ana watoto wawili , huyu wa mwisho mara ya mwisho kumuona alikuwa mdogo sana hivyo safari hii nilivyoenda nikakuta watoto watatu mkubwa namfahamu ila wapili nilishindwa kutokana kulikuwa na mwingine hivyo nikashindwa kutofautisha.

Sasa mwenyeji katoka nimebaki nao kmmoja katka Hawa ambao nimeshindwa kutofautisha nikamuuliza unaitwa nani kakasema mama ako (ni kakike) alinijibu jibu sikutegemea nikanyamaza nilitaka kumwambia ndugu yangu huyu mtoto unamleaje ila nikaanzia mbali nikamuuliza hapa wako ndo yupi akasema wangu ni huyu yule wa jirani(( wajirani ndo aliyenijubu hovyo) nikaacha. Kusema kweli maisha ya ugenini Yana unafiki
 
Halafu huyo mtoto wala sio mtukutu ila yupo excited kumuona Anko wake ndio maana anampandia pandia kwa furaha ila kwa kua watu mmejazwa roho mbaya na ukatili hata furaha ya watoto mnaigeuza chuki,

Hii gender ya Kiume ingeteketea tu [emoji849]
Inaonenana wanaume walikufanya jambo baya sana NYUMA uko lakini siku zijazo
 
Fanya shambulizi la kimya kimya hakuna haja ya kushika fimbo.

Shika mkono vizuri kwenye msuli(hawezi kua na msuli) binya na dole gumba kwa nguvu kiasi utakutana na mfupa, kandamiza kama sekunde 10 hivi uone kama katarudia
Shambulizi [emoji1787]
 
KImsingi kwenye maisha ya makuzi ys watoto ukatili haukwepeki. Kuna visa viwili niliwafanyia watoto wa majirani ukatili.

Mi nina watoto 4, sasa kuna mtoto mmoja wa jirani na mama yake ni single mother. Yule mtoto analelewa kimayai na hajawahi pigwa maishani mwake. Siku moja namuona anamsukuma mwanangu wa kike then anataka mlalia juu. Nikamkataza kile kitendo anachofanya na nikamuita. Akaja kwangu akijua kuna amani. Nilichomfanya, hahaaaaaaa!!!! Ilikuwa suprise kwake na mama yake akaja na balozi jioni kwangu kwa maana alama za viganja vyangu zilibaki kwenye mashavu yake yaliyovimba tokana na vibao alivyokula.

Mwingine ni majuzi tu, mi napita na gari nimebeba mke na familia yangu kaninuita kibongeeee. Nilishamkatazaga siku moja kunitania kwani mimi ni mtu mzima na pia baba yake ni mnene na watoto wangu hawamtanii. Nilisimamisha gari, kakakimbia nikambembeleza na kumuita kwa upole na kwa urafiki. Nilichomfanya,hadi sasa ananiona kama kituo cha Polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…