Hahahahaha. Embu weka audio ya mlio unaofanania.Asante sana πππ mimi nilienda kwa jamaa yangu ana mapaka kama sita ndani na ni mapaka yasio na adabu kabisa yanakuja yanakupandia kama ww ndio kochi basi muda wa kula yakaja kwangu yakijua kabisa mm mgeni siwezi yanyima chakula yanasimama kwenye meza nikalikanyaga moja shingo kila likifurukuta halichomoki mwishoe likatoa mlio wa maumivu nikaliachia mpka naondoka hakuna paka alienizoea tena.
Wengine hukasirika mkimpigia mtoto wake[emoji1672]
Atakwambia unaujua uchungu wa labour [emoji851][emoji4]
inawezekana mimba ilipatikana baada ya kumtembelea mganga wa kienyeji na akawapa masharti kuwa mtoto asigusweNimekuja mkoani kumtembelea bradha. Kuna mzigo aliniagiza nimletee. Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee, hiki kitoto ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi, babaake na mama yake wanamlea kama yai, full kudeka-deka hovyo.
Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo, akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida, ila akiwa na wenzake ni kakorofi, kanawapiga wenzake. Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei. Ameshaitanua shingo kwa kunivuta-vuta. Imekuwa kama nanyonyesha sasa. Mara aninyang'anye simu, mara aniparamie usoni kama mbwa, alafu ana vikucha vikali.
Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake. Maisha ya ugenini yana unafiki sana. Wazazi wake wala hawastuki, wanaona poa tu mtoto wao anavyo act kama kingedere. Mamaake ananiambia 'shemeji kama junia anakusumbua mchape.' Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.
Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana-vutana. Happy ndiyo nikambadikilia, nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tu vidole vyake kama naminya karanga, huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.
Maisha ya ugenini magumu sana. Nilipanga kukaa siku mbili, ila moja tu inatosha kwa kweli. Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi kama hivi? Katoto ni ka-attention seeker. Mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita-pita na kuvuta watu nguo, ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea, kataangusha hata glass!
Duu huu sasa ni ukatiliFanya shambulizi la kimya kimya hakuna haja ya kushika fimbo.
Shika mkono vizuri kwenye msuli(hawezi kua na msuli) binya na dole gumba kwa nguvu kiasi utakutana na mfupa, kandamiza kama sekunde 10 hivi uone kama katarudia
Mtoto kuja na kuanza kunivuta shati,mara arushe rushe simu yangu ,mara anipande mgongoni, mara anifinye hiyo ndo unayoita michezo kweli? hiyo haiwezi kuwa michezo bali unakuwa unamfundisha mtoto upumbavu.Mtu mzima kushindana na mtoto wa miaka minne ni tatizo, ni wazi malezi yako hayakua ya kitoto, ndio maana huoni furaha mtoto akicheka, akicheza, akideka, akiimba, akiiruka, sababu wewe vyote hivyo ulikosa.
Unataka watoto wote wawe wa aina moja wamekua mazombie? Ukiona mtoto anafanya kitu sio kizuri si unamkemea hapo hapo kwann usubiri wazazi wake hawapo ndio ukavunje mfupa au ukavute mashavu?Mtoto kuja na kuanza kunivuta shati,mara arushe rushe simu yangu ,mara anipande mgongoni, mara anifinye hiyo ndo unayoita michezo kweli? hiyo haiwezi kuwa michezo bali unakuwa unamfundisha mtoto upumbavu.
Katika dunia ya sasa kitu cha kwanza ni kuhakikisha mtoto wako hawi na mazoea zoea ya kijinga dhidi ya watu hata kama ni ndugu zake.
Mm nina dada yangu ana watoto wadogo watatu wawili ni wakiume na kamoja ni kakike, lakini ndani ya nyumba full heshima maana dada haleagi upumbavu,
Mm nikifikaga kwa sister huwa wanakuja wananisalimia alafu wanakaa hapo sebuleni huwezi kuona mtoto anakuja na kuanza kukuparamia ila kale katoto ka kike kananipendaga huwa kanapenda kuja pembeni yangu na kulala mapajani kwangu kwa upendo mkubwa ,wakiume huwa wanapenda kuniomba simu waangalie katuni nawawekea wakisha maliza wananirudishia simu yangu huwezi ona wanaichezea hovyo hayo ndio malezi yanayo takiwa.
Mtoto ni razima afundishwe kuwa na mipaka katika kila anacho kifanya tofauti na hapo mtoto ataharibika.
nije Nikushukuru[emoji23][emoji23][emoji23]sioni kama kuna cha maana ulichosema hapo.Narudia tena umekosa malezi bora utotoni ndio maana furaha ya watoto wengine kwako unaiona ni shubiri kiasi cha kutolea mfano wa Mbwa kuingia msikitini,
Over come hiyo trauma yako otherwise jiepushe kucross kwa watoto wasiokua wako utanishukuru oneday.
Acha makasiriko hao wanaosema sijui kumvunja mifupa ,sijui kumbinya tako wanaongea tu kunogesha story tu usiwachulie silias.Unataka watoto wote wawe wa aina moja wamekua mazombie? Ukiona mtoto anafanya kitu sio kizuri si unamkemea hapo hapo kwann usubiri wazazi wake hawapo ndio ukavunje mfupa au ukavute mashavu?
Acheni kuweka ligi na watoto mnaitwa Watu wazima hovyo, miaka minne tu Duniani unataka aishi kama mzee wa miaka 80 kuweni na aibu basi.
Wewe siumesema utajipiga bani ya miezi 6 auFanya shambulizi la kimya kimya hakuna haja ya kushika fimbo.
Shika mkono vizuri kwenye msuli(hawezi kua na msuli) binya na dole gumba kwa nguvu kiasi utakutana na mfupa, kandamiza kama sekunde 10 hivi uone kama katarudia
Yaani Wewe Na Mleta Mada Ni Mafala Sana Kama Vijana Basi Niny N Vjana Wa Hovyo Kabisa Mmenifanya Leo Nicheke Kwa Sauti Ndan Ya Gari.Fanya shambulizi la kimya kimya hakuna haja ya kushika fimbo.
Shika mkono vizuri kwenye msuli(hawezi kua na msuli) binya na dole gumba kwa nguvu kiasi utakutana na mfupa, kandamiza kama sekunde 10 hivi uone kama katarudia
Comments za humu zinavunja Sana mbavu.Yaani Wewe Na Mleta Mada Ni Mafala Sana Kama Vijana Basi Niny N Vjana Wa Hovyo Kabisa Mmenifanya Leo Nicheke Kwa Sauti Ndan Ya Gari.
Enz Zangu Mimi Nilikuwa Navifinyo Fulan Hv Alafu Sina Mazoea Na Watoto Dizain Hyo Wakinisalimia Wanaenda Mwilin Mwa Wazaz Wao Sio Kwangu
Mtego huo mkuuww ndio fala kweli. mama yake kasema umchape ww unabung'aa macho tu
Hawaju wanawake huyo.Mtego huo mkuu
Kwel hakuna kulea lea ujinga... period!Hakuna kulea ujinga,
Ha Ha Ha Ha Kuna Vitoto Vinazingua Sana.Comments za humu zinavunja Sana mbavu.
Mwingine anakwanbia "kategeshee mguu kale mwekeka". Huu si ugaidi!!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fanya shambulizi la kimya kimya hakuna haja ya kushika fimbo.
Shika mkono vizuri kwenye msuli(hawezi kua na msuli) binya na dole gumba kwa nguvu kiasi utakutana na mfupa, kandamiza kama sekunde 10 hivi uone kama katarudia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fanya hivi wakati unakabeba beba kamata tako moja halafu ufanye kama unaliviringa kwenda kulia....
Kakifanya ng`a na wewe unafanya ng'a,watajua mnacheza ila lazma wakakape panado maana katalalamika siku nzima..
Sasa Nikiwa Kama Anko Nakaeleza Kwa Upole Kabisa Kananirushia Vumbi Alafu Kanakimbia Kwa Yake Alafu Mama Yake Anakaambia Mtoto Usimrushie Anko Vumbi Basi Imeisha.Gender ya kiume ni katili na ili ujue ukatili wake soma adhabu hapo juu walizokua wanamwambia amfanyie mtoto wa miaka minne,
Acheni roho mbaya nyie ma anko kama vipi acheni tabia ya kwenda kwa kaka na dada zenu, mtoto anamfurahia anko wake anataka acheze kama spider man, anamdandia kama kile kingedere cha kichina mtu unakasirika, na kama unataka kumfunza adabu basi mkataze hapo hapo kwa sauti mbele ya wazazi wake, sio wazazi wakiwepo ujichekeshe kama zuzu wakiondoka ukabinye mfupa katoto au umuwekee mguu adondoke au umbinye tako,
Huo ni ukatili na hauvumiliki, acheni roho mbaya nyie ndio mnaharibu watoto