Ukienda ugenini Kuna vitoto vinapenda sana sifa

Ukienda ugenini Kuna vitoto vinapenda sana sifa

Asante sana 😂😂😂 mimi nilienda kwa jamaa yangu ana mapaka kama sita ndani na ni mapaka yasio na adabu kabisa yanakuja yanakupandia kama ww ndio kochi basi muda wa kula yakaja kwangu yakijua kabisa mm mgeni siwezi yanyima chakula yanasimama kwenye meza nikalikanyaga moja shingo kila likifurukuta halichomoki mwishoe likatoa mlio wa maumivu nikaliachia mpka naondoka hakuna paka alienizoea tena.
Hahahahaha. Embu weka audio ya mlio unaofanania.
 
Nimekuja mkoani kumtembelea bradha. Kuna mzigo aliniagiza nimletee. Hapa kwa bro kuna mtoto wao wa kiume ana umri kama miaka minne au tano hivi. Asee, hiki kitoto ni kitundu sijapata ona. Mbaya zaidi, babaake na mama yake wanamlea kama yai, full kudeka-deka hovyo.

Sasa ni heri wangekuwa wanamlea hovyo, akawa anawasumbua wenyewe ingekuwa hakuna shida, ila akiwa na wenzake ni kakorofi, kanawapiga wenzake. Nimejilipua zangu fulana kutoka kwa vunja bei. Ameshaitanua shingo kwa kunivuta-vuta. Imekuwa kama nanyonyesha sasa. Mara aninyang'anye simu, mara aniparamie usoni kama mbwa, alafu ana vikucha vikali.

Basi naishia kujichekesha chekesha tu mbele ya mama yake. Maisha ya ugenini yana unafiki sana. Wazazi wake wala hawastuki, wanaona poa tu mtoto wao anavyo act kama kingedere. Mamaake ananiambia 'shemeji kama junia anakusumbua mchape.' Namchapaje mtoto wa watu ugenini? Kwa nini asimkataze kusumbua wageni na kukachapa kakiendelea kuleta ubishi.

Sasa mamaake akaenda dukani akaniacha na junia tunavutana-vutana. Happy ndiyo nikambadikilia, nikamwonyesha sura ya ukauzu na kumtoa shingoni maana ilikuwa kama ananidai kwa jinsi alivyokuwa ananikaba. Nikakashika mikono na kukaminya tu vidole vyake kama naminya karanga, huku namwambi acha utundu kwa wageni mtoto. Kakaanza kulia kanaelekea dukani kwa mamaake.

Maisha ya ugenini magumu sana. Nilipanga kukaa siku mbili, ila moja tu inatosha kwa kweli. Wazazi wengine hivi mnaleaje watoto kipuuzi kama hivi? Katoto ni ka-attention seeker. Mpo katika maongezi sebuleni, kenyewe kanapita-pita na kuvuta watu nguo, ili mradi tu kaonekane kapo live. Mkikapotezea, kataangusha hata glass!
inawezekana mimba ilipatikana baada ya kumtembelea mganga wa kienyeji na akawapa masharti kuwa mtoto asiguswe
 
Fanya shambulizi la kimya kimya hakuna haja ya kushika fimbo.

Shika mkono vizuri kwenye msuli(hawezi kua na msuli) binya na dole gumba kwa nguvu kiasi utakutana na mfupa, kandamiza kama sekunde 10 hivi uone kama katarudia
Duu huu sasa ni ukatili
 
Mtu mzima kushindana na mtoto wa miaka minne ni tatizo, ni wazi malezi yako hayakua ya kitoto, ndio maana huoni furaha mtoto akicheka, akicheza, akideka, akiimba, akiiruka, sababu wewe vyote hivyo ulikosa.
Mtoto kuja na kuanza kunivuta shati,mara arushe rushe simu yangu ,mara anipande mgongoni, mara anifinye hiyo ndo unayoita michezo kweli? hiyo haiwezi kuwa michezo bali unakuwa unamfundisha mtoto upumbavu.

Katika dunia ya sasa kitu cha kwanza ni kuhakikisha mtoto wako hawi na mazoea zoea ya kijinga dhidi ya watu hata kama ni ndugu zake.

Mm nina dada yangu ana watoto wadogo watatu wawili ni wakiume na kamoja ni kakike, lakini ndani ya nyumba full heshima maana dada haleagi upumbavu,

Mm nikifikaga kwa sister huwa wanakuja wananisalimia alafu wanakaa hapo sebuleni huwezi kuona mtoto anakuja na kuanza kukuparamia ila kale katoto ka kike kananipendaga huwa kanapenda kuja pembeni yangu na kulala mapajani kwangu kwa upendo mkubwa ,wakiume huwa wanapenda kuniomba simu waangalie katuni nawawekea wakisha maliza wananirudishia simu yangu huwezi ona wanaichezea hovyo hayo ndio malezi yanayo takiwa.

Mtoto ni razima afundishwe kuwa na mipaka katika kila anacho kifanya tofauti na hapo mtoto ataharibika.
 
Mtoto kuja na kuanza kunivuta shati,mara arushe rushe simu yangu ,mara anipande mgongoni, mara anifinye hiyo ndo unayoita michezo kweli? hiyo haiwezi kuwa michezo bali unakuwa unamfundisha mtoto upumbavu.

Katika dunia ya sasa kitu cha kwanza ni kuhakikisha mtoto wako hawi na mazoea zoea ya kijinga dhidi ya watu hata kama ni ndugu zake.

Mm nina dada yangu ana watoto wadogo watatu wawili ni wakiume na kamoja ni kakike, lakini ndani ya nyumba full heshima maana dada haleagi upumbavu,

Mm nikifikaga kwa sister huwa wanakuja wananisalimia alafu wanakaa hapo sebuleni huwezi kuona mtoto anakuja na kuanza kukuparamia ila kale katoto ka kike kananipendaga huwa kanapenda kuja pembeni yangu na kulala mapajani kwangu kwa upendo mkubwa ,wakiume huwa wanapenda kuniomba simu waangalie katuni nawawekea wakisha maliza wananirudishia simu yangu huwezi ona wanaichezea hovyo hayo ndio malezi yanayo takiwa.

Mtoto ni razima afundishwe kuwa na mipaka katika kila anacho kifanya tofauti na hapo mtoto ataharibika.
Unataka watoto wote wawe wa aina moja wamekua mazombie? Ukiona mtoto anafanya kitu sio kizuri si unamkemea hapo hapo kwann usubiri wazazi wake hawapo ndio ukavunje mfupa au ukavute mashavu?

Acheni kuweka ligi na watoto mnaitwa Watu wazima hovyo, miaka minne tu Duniani unataka aishi kama mzee wa miaka 80 kuweni na aibu basi.
 
Narudia tena umekosa malezi bora utotoni ndio maana furaha ya watoto wengine kwako unaiona ni shubiri kiasi cha kutolea mfano wa Mbwa kuingia msikitini,

Over come hiyo trauma yako otherwise jiepushe kucross kwa watoto wasiokua wako utanishukuru oneday.
nije Nikushukuru[emoji23][emoji23][emoji23]sioni kama kuna cha maana ulichosema hapo.
.yaani kufananisha malezi bora na kudekezwa ndo nije nikushukuru...ridiculous!

Siku mwanao asiingie anga zangu akileta ujinga nitakafinya[emoji846][emoji846]
 
Unataka watoto wote wawe wa aina moja wamekua mazombie? Ukiona mtoto anafanya kitu sio kizuri si unamkemea hapo hapo kwann usubiri wazazi wake hawapo ndio ukavunje mfupa au ukavute mashavu?

Acheni kuweka ligi na watoto mnaitwa Watu wazima hovyo, miaka minne tu Duniani unataka aishi kama mzee wa miaka 80 kuweni na aibu basi.
Acha makasiriko hao wanaosema sijui kumvunja mifupa ,sijui kumbinya tako wanaongea tu kunogesha story tu usiwachulie silias.

Kuhusu watoto kufanana kwa hiyo mtoto akiiba ni sawa kwa sababu watoto hawatakiwi kufanana?
Watoto wawezi kufanana lakini wanatakiwa watofautiane kwenye tabia njema na sio tabia mbovu.

Narudia tena mtoto kumparamia na kumbugudhi mtu mzima ni tabia mbovu na sio mchezo kama unavyo sema.

Binadamu yeyote anatakiwa afundishe kuwa na mipaka.
Hata ww wazazi wako wamekuzaa na kukulea lakini bado kuna mipaka ambayo huwezi kuivuka juu yao na ndio maana huwezi kuacha baba na mama yako wamelala chumbani ww ukaingia humo chumbani bila ruhusa yao.

Mtoto anatakiwa kujua kuwa tabia ya kumgasi mtu ni moja wapo ya tabia mbaya sana.

Kuhusu suala la mm kumkanya je ikiwa nitamkanya na bado asikome ni mfanyeje? maana ww umesema kumuadhibu mtoto ni ukatiri.
 
Hilo toto limelelewa kinyoronyoro na kinyanyanyanya, haliwezi badilika ghafla likiwa na wazazi wake.
Linastahili lipelekwe kwa bibi halafu kuwe na wajukuu wengine km watano wanaomzidi umri, fasta huyo anakuwa na adabu.
 
Fanya shambulizi la kimya kimya hakuna haja ya kushika fimbo.

Shika mkono vizuri kwenye msuli(hawezi kua na msuli) binya na dole gumba kwa nguvu kiasi utakutana na mfupa, kandamiza kama sekunde 10 hivi uone kama katarudia
Wewe siumesema utajipiga bani ya miezi 6 au
 
Fanya shambulizi la kimya kimya hakuna haja ya kushika fimbo.

Shika mkono vizuri kwenye msuli(hawezi kua na msuli) binya na dole gumba kwa nguvu kiasi utakutana na mfupa, kandamiza kama sekunde 10 hivi uone kama katarudia
Yaani Wewe Na Mleta Mada Ni Mafala Sana Kama Vijana Basi Niny N Vjana Wa Hovyo Kabisa Mmenifanya Leo Nicheke Kwa Sauti Ndan Ya Gari.

Enz Zangu Mimi Nilikuwa Navifinyo Fulan Hv Alafu Sina Mazoea Na Watoto Dizain Hyo Wakinisalimia Wanaenda Mwilin Mwa Wazaz Wao Sio Kwangu
 
Yaani Wewe Na Mleta Mada Ni Mafala Sana Kama Vijana Basi Niny N Vjana Wa Hovyo Kabisa Mmenifanya Leo Nicheke Kwa Sauti Ndan Ya Gari.

Enz Zangu Mimi Nilikuwa Navifinyo Fulan Hv Alafu Sina Mazoea Na Watoto Dizain Hyo Wakinisalimia Wanaenda Mwilin Mwa Wazaz Wao Sio Kwangu
Comments za humu zinavunja Sana mbavu.

Mwingine anakwanbia "kategeshee mguu kale mwekeka". Huu si ugaidi!!?
 
Fanya shambulizi la kimya kimya hakuna haja ya kushika fimbo.

Shika mkono vizuri kwenye msuli(hawezi kua na msuli) binya na dole gumba kwa nguvu kiasi utakutana na mfupa, kandamiza kama sekunde 10 hivi uone kama katarudia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fanya hivi wakati unakabeba beba kamata tako moja halafu ufanye kama unaliviringa kwenda kulia....
Kakifanya ng`a na wewe unafanya ng'a,watajua mnacheza ila lazma wakakape panado maana katalalamika siku nzima..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Gender ya kiume ni katili na ili ujue ukatili wake soma adhabu hapo juu walizokua wanamwambia amfanyie mtoto wa miaka minne,

Acheni roho mbaya nyie ma anko kama vipi acheni tabia ya kwenda kwa kaka na dada zenu, mtoto anamfurahia anko wake anataka acheze kama spider man, anamdandia kama kile kingedere cha kichina mtu unakasirika, na kama unataka kumfunza adabu basi mkataze hapo hapo kwa sauti mbele ya wazazi wake, sio wazazi wakiwepo ujichekeshe kama zuzu wakiondoka ukabinye mfupa katoto au umuwekee mguu adondoke au umbinye tako,

Huo ni ukatili na hauvumiliki, acheni roho mbaya nyie ndio mnaharibu watoto
Sasa Nikiwa Kama Anko Nakaeleza Kwa Upole Kabisa Kananirushia Vumbi Alafu Kanakimbia Kwa Yake Alafu Mama Yake Anakaambia Mtoto Usimrushie Anko Vumbi Basi Imeisha.

Kesho Kakirudia Unataka Nichukue Hatua Gan Kama Sio Kamfinyo?

Nikimpa Siku Moja Kanakufa? Katakuja Tena Mwilini Mwangu Kujifunza Uspider Man?
 
Back
Top Bottom