Ukiendelea kuhonga utabaki kwenye duara la umaskini wewe na familia yako yote

Ukiendelea kuhonga utabaki kwenye duara la umaskini wewe na familia yako yote

Uwoga wako mkuu hakuna kanuni ya mafanikio. Wewe usiyehonga umewazidi nini hao wahongaji mkuu.
Mbona watu wamehonga magorofa lakini bado na v8 wametoa ila wanadunda wanazidi kupata zaidi
Kwani utajiri wa mtu wewe unaupimaje mkuu? Hebu jaribu kuchunguza hao wenye maghorofa familia zao zinaishi maisha gani? Chunguza kaka zake Huyo mtu, dada zake, wadogo zake wanafaidikaje na huo utajiri. Hao magorofa yake ni Huyo mwanamke atayalithi hayo jamaa akisha tangulia. Na utakuta hayo yenye magorofa hata likiombwa elfu 10 tu na ndugu zake mpaka lifanye kikao na wife ndio litasaidia. Wakati angetumia huo utajiri wake kusaidia familia yake maramoja angevunja duara la umaskini.
 
Iko hiviii,
Wewe mwanaume kwa mwezi kipato chako ni 500,000-laki tano
Ukiwa na mwanamke wa level zako, akakupiga mzinga wa 100,000-laki moja kwa mwezi, hakuna shida.

Tatizo linakuja pale unapoongeza wapili, watatu, wanne na watano
Wote huwezi kuwapa tena laki moja kwa mwezi, utawapa kidogo, kitachowapelekea na wao kutafuta wa kujalizia, ukigundua anachepuka, badala ya kuwapunguza, unatafuta mwingine wa kufix gap

Kwa style hiyo utapanda daladala wewe, mpaka ufanane na tiketi, mjinga wewe, unacheka, endekeza chini tu, unafikiri utazimaliza.
 
Kwani utajiri wa mtu wewe unaupimaje mkuu? Hebu jaribu kuchunguza hao wenye maghorofa familia zao zinaishi maisha gani? Chunguza kaka zake Huyo mtu, dada zake, wadogo zake wanafaidikaje na huo utajiri. Hao magorofa yake ni Huyo mwanamke atayalithi hayo jamaa akisha tangulia. Na utakuta hayo yenye magorofa hata likiombwa elfu 10 tu na ndugu zake mpaka lifanye kikao na wife ndio litasaidia. Wakati angetumia huo utajiri wake kusaidia familia yake maramoja angevunja duara la umaskini.
Kitu ambacho hujui, utajiri si matako kusema kila mtu lazima awe nayo. Ingekuwa utajiri ni mtu kupewa pesa, leo hii wastaafu wote wangekuwa mabilionea, lakini kiko wapi. Kuna ambao washapewa mitaji na ndugu zao, wakaishia kuhonga hizo hela na leo wako stendi wanapiga debe.
Huyo ndugu yako tajiri, wakati anaanzisha biashara yake ya duka la rejareja alikuita uende ukakae kwake umsaidie kuuza, ukaona anataka akupotezee muda, ukaenda zako machimboni kusaka ruby, miaka kumi baadae umerudi huna cha ruby wala nandy, umemkuta ndugu yako anamiliki supermarket na sheli kadhaa, unataka mtaji, ngoja awawezeshe watu baki waliomvusha kwanza, wewe atakufikiria mwishoni, au kama vp toa ruby upewe mtaji.
 
Kitu ambacho hujui, utajiri si matako kusema kila mtu lazima awe nayo. Ingekuwa utajiri ni mtu kupewa pesa, leo hii wastaafu wote wangekuwa mabilionea, lakini kiko wapi. Kuna ambao washapewa mitaji na ndugu zao, wakaishia kuhonga hizo hela na leo wako stendi wanapiga debe.
Huyo ndugu yako tajiri, wakati anaanzisha biashara yake ya duka la rejareja alikuita uende ukakae kwake umsaidie kuuza, ukaona anataka akupotezee muda, ukaenda zako machimboni kusaka ruby, miaka kumi baadae umerudi huna cha ruby wala nandy, umemkuta ndugu yako anamiliki supermarket na sheli kadhaa, unataka mtaji, ngoja awawezeshe watu baki waliomvusha kwanza, wewe atakufikiria mwishoni, au kama vp toa ruby upewe mtaji.
Siku zote ukitaka kuwasaidia ndugu zako usiwape keshi, badala yake wape elimu hiyo ndio njia ya kuondoa umaskini mahali popote duniani. Wanadamu ni maskini kwasababu hawana elimu. Elimu pekee ndio long term solution ya kuondoa umaskini kwenye familia. Swali Je unaweza kutoa hata ada kuwapatia elimu hao ndugu zako kama tu elfu 10 mpaka uweke kikao na wife.
 
Siku zote ukitaka kuwasaidia ndugu zako usiwape keshi, badala yake wape elimu hiyo ndio njia ya kuondoa umaskini mahali popote duniani. Wanadamu ni maskini kwasababu hawana elimu. Elimu pekee ndio long term solution ya kuondoa umaskini kwenye familia. Swali Je unaweza kutoa hata ada kuwapatia elimu hao ndugu zako kama tu elfu 10 mpaka uweke kikao na wife.
Elimu ya mpaka wapi, na hao ndugu mko wangapi, na wote mnataka kusomeshwa na mtu mmoja?
Wakati anasaka mali, ipi ilikuwa support yako au ya wazazi wako?
Au ndio full masimango, kafanikiwa ndio full shobo.

Fikiria mtu yupo chuo kikuu , anampigia simu mjomba wake, ambae ndio baba yako wewe, kuwa uncle nina shida, naomba unirushie 10,000.
Uncle ambae uwezo anao kabisa, anamchomolea. Kesho na kesho kutwa, mtu kamaliza zake chuo yupo kwenye kitengo safi, na uncle kafulia sasa, wewe sasa mtoto wa uncle unakuja, "nithomesheeeee" mamaeeee labda diploma ya uchawi.
 
Daimondi, jeshi mbona wamefanikiwa
Mafanikio yao yametokana na jitahada zao. Hizo pesa zote wangewekeza kwa mademu tu.. wasingefikia hapa.
Diamond ni mtu mmoja smart sana sana. Yaan mnachokiona nje kama mtu wa starehe na mademu.. ndani anawekeza na kujenga brand yake.

Harmonize nae anaiga the same strategy. Japo hajafikia viwango hivyo
 
Unatongoza wanawake masikini alafu usiwe masikini? Sijawahi on a.

Ushauri wa maana; 90% ya mademu zako wawe na Pesa, lazima use na Pesa.

Lakini hata uwe na Pesa kama 90% ya mademu zako ni masikini basi jua lazima ufilisike.
 
Kama Mimi jana nimehangaika kutwa mzima kutafuta chumba cha kumpangia Malaya. Cha ajabu kila akikiona hataki anasema hakina sifa, hela nalipa mimi, kitanda, fenicha zote Mimi. Kinachoniuma mwezi huu bi mkubwa sijampa hata shilingi.
Dah....sasa huu ni uzembe binafsi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Iko hiviii,
Wewe mwanaume kwa mwezi kipato chako ni 500,000-laki tano
Ukiwa na mwanamke wa level zako, akakupiga mzinga wa 100,000-laki moja kwa mwezi, hakuna shida.

Tatizo linakuja pale unapoongeza wapili, watatu, wanne na watano
Wote huwezi kuwapa tena laki moja kwa mwezi, utawapa kidogo, kitachowapelekea na wao kutafuta wa kujalizia, ukigundua anachepuka, badala ya kuwapunguza, unatafuta mwingine wa kufix gap

Kwa style hiyo utapanda daladala wewe, mpaka ufanane na tiketi, mjinga wewe, unacheka, endekeza chini tu, unafikiri utazimaliza.
Hakuna kanuni vijana msiogope kuhonga bana. So INA mana kama hatuhongi ndo hatutafanana na ticket ya hiace jamani.
Ishu ya kutoboa ni kichwa chako. Wapo wanaojaza bia mezani nyama choma na Malaya wanakula ila bado wanapiga pesa. Sasa wewe unajibana mpaka kula na kutoboa hautoboi. Hakuna kanuni bana eti usipohonga ndo utatoka kimaisha
 
Kwa mantiki hii kila asiyehonga apaswa kuwa birionea kama Raizaa
 
Iko hiviii,
Wewe mwanaume kwa mwezi kipato chako ni 500,000-laki tano
Ukiwa na mwanamke wa level zako, akakupiga mzinga wa 100,000-laki moja kwa mwezi, hakuna shida.

Tatizo linakuja pale unapoongeza wapili, watatu, wanne na watano
Wote huwezi kuwapa tena laki moja kwa mwezi, utawapa kidogo, kitachowapelekea na wao kutafuta wa kujalizia, ukigundua anachepuka, badala ya kuwapunguza, unatafuta mwingine wa kufix gap

Kwa style hiyo utapanda daladala wewe, mpaka ufanane na tiketi, mjinga wewe, unacheka, endekeza chini tu, unafikiri utazimaliza.
🤣🤣🤣
We jamaa....

👍
 
Hakuna kanuni vijana msiogope kuhonga bana. So INA mana kama hatuhongi ndo hatutafanana na ticket ya hiace jamani.
Ishu ya kutoboa ni kichwa chako. Wapo wanaojaza bia mezani nyama choma na Malaya wanakula ila bado wanapiga pesa. Sasa wewe unajibana mpaka kula na kutoboa hautoboi. Hakuna kanuni bana eti usipohonga ndo utatoka kimaisha
😲😲
 
Iko hiviii,
Wewe mwanaume kwa mwezi kipato chako ni 500,000-laki tano
Ukiwa na mwanamke wa level zako, akakupiga mzinga wa 100,000-laki moja kwa mwezi, hakuna shida.

Tatizo linakuja pale unapoongeza wapili, watatu, wanne na watano
Wote huwezi kuwapa tena laki moja kwa mwezi, utawapa kidogo, kitachowapelekea na wao kutafuta wa kujalizia, ukigundua anachepuka, badala ya kuwapunguza, unatafuta mwingine wa kufix gap

Kwa style hiyo utapanda daladala wewe, mpaka ufanane na tiketi, mjinga wewe, unacheka, endekeza chini tu, unafikiri utazimaliza.
[emoji23][emoji23][emoji23] Dah!
 
Back
Top Bottom