Ukiendelea kuhonga utabaki kwenye duara la umaskini wewe na familia yako yote

Ukiendelea kuhonga utabaki kwenye duara la umaskini wewe na familia yako yote

Habari za Leo wakuu.
Kuna ujinga fulani ulisha waingia wanaume, wakifanikiwa tu huwa hawakumbuki watu waliowasomesha au kuwapa mitaji.

Wengine walisomeshwa ili wazikomboe familia zao lakini wakisha kamatwa masikio na wanawake basi humalizia mishahara yao yote, mitaji yao yote na faida zao zote kuwanunulia kalolaiti wanawake, wengine humalizia pesa za saloon za kike kuwasuka wanawake wao, wengine humalizia pesa walioipata kwa shida kuwavisha watu ambao hawakununua hata daftari wala pencili ya kufanyia mtihani.

Wengine pamoja na ubinafsi wao huo wa kushindwa kuzikomboa familia zao huishia kuoa mapema ili wakamatwe kuwahudumia hao wanawake wao na mwisho wa siku huzaa vitoto ambavyo navyo baadaye vinaandaliwa kuwa maskini. Mwisho wa siku unakua ni mlolongo. Babu masikini, bibi maskini, baba na mama maskini, watoto masikini, ukoo mzima maskini. Linabaki kuwa ni duara la umaskini ambalo haliwezi kutoka.

Endelea kumaliza pesa yako saloon na kwenye hizo kalolaiti kwa vitu ambavyo havina msingi
Yani uko sawa kabisa, toka nimeachana na mahusiano yasiyo na tija gharama za maisha zimepuungua kwa asilimia 40%. Vislay queen na videmu vya mizingu havifai kwa maendeleo yako.

Au ninasema uongo ndugu zangu?
 
Yani uko sawa kabisa, toka nimeachana na mahusiano yasiyo na tija gharama za maisha zimepuungua kwa asilimia 40%. Vislay queen na videmu vya mizingu havifai kwa maendeleo yako.

Au ninasema uongo ndugu zangu?
mkuu uko sahihi ni kuvibana tu ili kubana matumizi. ile tunaita unawekeza for non sense
 
Kama Mimi jana nimehangaika kutwa mzima kutafuta chumba cha kumpangia Malaya. Cha ajabu kila akikiona hataki anasema hakina sifa, hela nalipa mimi, kitanda, fenicha zote Mimi. Kinachoniuma mwezi huu bi mkubwa sijampa hata shilingi.
Uzinzi ni gharama Sana
Halafu pia ni mzigo mzito Sana
Komaa mzee baba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom