hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji16]I appreciate that
Naomba niwe mtu wa mwisho duniani kuwa aamini Wanawake na kuwafia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16]I appreciate that
Naomba niwe mtu wa mwisho duniani kuwa aamini Wanawake na kuwafia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ExtrovertKama Mimi jana nimehangaika kutwa mzima kutafuta chumba cha kumpangia Malaya. Cha ajabu kila akikiona hataki anasema hakina sifa, hela nalipa mimi, kitanda, fenicha zote Mimi. Kinachoniuma mwezi huu bi mkubwa sijampa hata shilingi.
🤣[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Extrovert
....hiyo laana hwenda vidume wengi tumepata kwa namna moja ama nyingine daaaah acha tu...Mwache apate laana.
Mkuu wangu Ukishakua mkubwa kila kitu ni kupambania kwanzia NYEGE zako zisikupoteze Mpaka HELA yaniHONGERA sana mkuu....
Kongole sana kwa kutozifia hizi PISI zitutoazo ROHO....
HONGERA mkuu kwa kuweza kucontrol TESTO yako....[emoji106]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi mwanamke anayekula hela zangu ni mmoja tu. Na ndio ambaye pia nilikula zake nyingi tu before.😂😂😂 sahii ni kama nalipa fadhila tu. I do it with a clean heart.....hiyo laana hwenda vidume wengi tumepata kwa namna moja ama nyingine daaaah acha tu...
Hizi ANDROGENS hiziiii....🤣
Halafu basi wanawake wenyewe mnaowababaikia hata hawapendi kuhongwa, ukiona mwanamke anataka umhonge jua huyo hakupendi anataka tu material things kutoka kwakoHabari za Leo wakuu.
Kuna ujinga fulani ulisha waingia wanaume, wakifanikiwa tu huwa hawakumbuki watu waliowasomesha au kuwapa mitaji.
Wengine walisomeshwa ili wazikomboe familia zao lakini wakisha kamatwa masikio na wanawake basi humalizia mishahara yao yote, mitaji yao yote na faida zao zote kuwanunulia kalolaiti wanawake, wengine humalizia pesa za saloon za kike kuwasuka wanawake wao, wengine humalizia pesa walioipata kwa shida kuwavisha watu ambao hawakununua hata daftari wala pencili ya kufanyia mtihani.
Wengine pamoja na ubinafsi wao huo wa kushindwa kuzikomboa familia zao huishia kuoa mapema ili wakamatwe kuwahudumia hao wanawake wao na mwisho wa siku huzaa vitoto ambavyo navyo baadaye vinaandaliwa kuwa maskini. Mwisho wa siku unakua ni mlolongo. Babu masikini, bibi maskini, baba na mama maskini, watoto masikini, ukoo mzima maskini. Linabaki kuwa ni duara la umaskini ambalo haliwezi kutoka.
Endelea kumaliza pesa yako saloon na kwenye hizo kalolaiti kwa vitu ambavyo havina msingi
mkuu ni kweli, ila kuna wengine ni washamba tu wa, maishaJitahidi KUWA NA MWANAMKE WA LEVEL ZAKO KUEPUKA KUJA KUWAPA LAWAMA.
.....moyo wa Simba!Mimi mwanamke anayekula hela zangu ni mmoja tu. Na ndio ambaye pia nilikula zake nyingi tu before.😂😂😂 sahii ni kama nalipa fadhila tu. I do it with a clean heart.
Hakika na kweli na iwe hivyo.Habari za Leo wakuu.
Kuna ujinga fulani ulisha waingia wanaume, wakifanikiwa tu huwa hawakumbuki watu waliowasomesha au kuwapa mitaji.
Wengine walisomeshwa ili wazikomboe familia zao lakini wakisha kamatwa masikio na wanawake basi humalizia mishahara yao yote, mitaji yao yote na faida zao zote kuwanunulia kalolaiti wanawake, wengine humalizia pesa za saloon za kike kuwasuka wanawake wao, wengine humalizia pesa walioipata kwa shida kuwavisha watu ambao hawakununua hata daftari wala pencili ya kufanyia mtihani.
Wengine pamoja na ubinafsi wao huo wa kushindwa kuzikomboa familia zao huishia kuoa mapema ili wakamatwe kuwahudumia hao wanawake wao na mwisho wa siku huzaa vitoto ambavyo navyo baadaye vinaandaliwa kuwa maskini. Mwisho wa siku unakua ni mlolongo. Babu masikini, bibi maskini, baba na mama maskini, watoto masikini, ukoo mzima maskini. Linabaki kuwa ni duara la umaskini ambalo haliwezi kutoka.
Endelea kumaliza pesa yako saloon na kwenye hizo kalolaiti kwa vitu ambavyo havina msingi
We ulisikia wapi "roho na nafsi" ya wanaume inatafuta "penzi" na "mapenzi" ya kweli kwa hao wanawake WAHONGWAO.....Halafu basi wanawake wenyewe mnaowababaikia hata hawapendi kuhongwa, ukiona mwanamke anataka umhonge jua huyo hakupendi anataka tu material things kutoka kwako
Mwanaume anaokua real kwa mwanamke ana heshima yake bwana, wewe nenda na mamilion yako hapo halafu mwenzio anae ambae ni real kwake with or withoyt money penzi lipo na linadumu
Kudadeki wallahi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa style hiyo utapanda daladala wewe, mpaka ufanane na tiketi, mjinga wewe,
Kwa vile umeshalitambua hili, mpige block kisha hiyo kodi peleka kwa mama yako.Kama Mimi jana nimehangaika kutwa mzima kutafuta chumba cha kumpangia Malaya. Cha ajabu kila akikiona hataki anasema hakina sifa, hela nalipa mimi, kitanda, fenicha zote Mimi. Kinachoniuma mwezi huu bi mkubwa sijampa hata shilingi.
....MKUKI HUO daah 🤣🤣Kudadeki wallahi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Noma sana 😂😂....MKUKI HUO daah 🤣🤣
AtareeeNoma sana 😂😂