Ukiendesha Range rover 2018 uwezekano wa kupata ajali ni mdogo sana!

Ukiendesha Range rover 2018 uwezekano wa kupata ajali ni mdogo sana!

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
  • Hii Gari ukikaa ina sense kama umelewa
  • inatumia mfumo Wa mafuta pia wese likikata unatumia chaji (ni ya kuchaji kama laptop
  • ukiwa kwenye foleni ukikalibia kugonga mbele inapunguza speed yenyewe!
  • ukisinzia nayo inazima!
  • usipofunga mkanda haiondoki
  • ukichomoa betri ukabusti then urudishe haiwaki HADI uwasiliane na RANGE ROVER waifanyie programming
  • kamera kama zote
  • ukichoka inakuamsha kwa alarm
  • mafuta yakikaribia kuisha inakuelekeza Petrol station iliyokaribu na wewe
  • fundi akichakachua spear wakati Wa matengenezo inakuambia kwenye screen HAIWAKI
  • kifaa kikimaliza mda wake Wa matumizi hata kama ni Break pad inakuambia, na break zikianza kuisha haitembei speed hata ukanyage vipi.
  • Ukijamba AC inajiwasha yenyewe (automatic)
  • ukikalia siti inaonesha uzito wako
  • kukiwa na hitirafu inakuonesha kwenye screen
  • ukipotea inayo GPS
  • ukipoteza Funguo, hauchongi kariakoo, Bali unawapigia range wanakupa gharama 3mil, then wanakuelekeza ufunguo Wa akiba walipo uficha humohumo kwenye Gari yako!
  • ina gia za auto na za manual
  • Milango yake haifungi kwa kubamiza kama kabati, Hata ukiusukuma kwa nguvu! haupigi kelele!
  • na sifa zinginezo kibao!.
Ni RANGE ROVER NEW MODEL 2018

Push to start!!
Screenshot_20190404-115113.png

Screenshot_20190404-191115.png

KIUFUPI HII GARI UKIENDESHA, HALAFU UKAJA KUENDESHA HIZI GARI ZA KAWAIDA UNAWEZA FIKILI UMEKALIA KIBERENGE !!!!
 
Sasa mkuu, Tanzania tuko nyuma sana kwenye ku_tracy location mfano upo Mbwinde na zutu limekata itatumia nini kufahamu kituo cha mafuta killipo wakati 2G yenyewe hakuna kule.

Na hayo mamifumo kama yote mamionzi yake yana athari gani kwa mwili wa binadamu kwa sababu yanajua hadi vijambo si ndo kufa tafatibu huko?
 
Sasa mkuu, Tanzania tuko nyuma sana kwenye ku_tracy location mfano upo Mbwinde na zutu limekata itatumia nini kufahamu kituo cha mafuta killipo wakati 2G yenyewe hakuna kule.

Na hayo mamifumo kama yote mamionzi yake yana athari gani kwa mwili wa binadamu kwa sababu yanajua hadi vijambo si ndo kufa tafatibu huko?
inao mfumo Wa chaji! betri ikiwa full unaweza tembea nayo mda mrefu kuelekea mjini kujaza mafuta! inaonesha bar za chaji na distance utakayotembea!!!..
 
  • Hii Gari ukikaa ina sense kama umelewa
  • inatumia mfumo Wa mafuta pia wese likikata unatumia chaji (ni ya kuchaji kama laptop
  • ukiwa kwenye foleni ukikalibia kugonga mbeli inapunguza speed yenyewe!
  • ukisinzia nayo inazima!
  • usipofunga mkanda haiondoki
  • ukichomoa betri ukabusti then urudishe haiwaki HADI uwasiliane na RANGE ROVER waifanyie programming
  • kamera kama zote
  • ukichoka inakuamsha kwa alarm
  • mafuta yakikaribia kuisha inakuelekeza Petrol station iliyokaribu na wewe
  • fundi akichakachua spear wakati Wa matengenezo inakuambia kwenye screen HAIWAKI
  • kifaa kikimaliza mda wake Wa matumizi hata kama ni Break pad inakuambia, na break zikianza kuisha haitembei speed hata ukanyage vipi.
  • Ukijamba AC inajiwasha yenyewe (automatic)
  • ukikalia siti inaonesha uzito wako
  • kukiwa na hitirafu inakuonesha kwenye screen
  • ukipotea inayo GPS
  • ukipoteza Funguo, hauchongi kariakoo, Bali unawapigia range wanakupa gharama 3mil, then wanakuelekeza ufunguo Wa akiba walipo uficha humohumo kwenye Gari yako!
  • ina gia za auto na za manual
  • Milango yake haifungi kwa kubamiza kama kabati, Hata ukiusukuma kwa nguvu! haupigi kelele!

Ni RANGE ROVER NEW MODEL 2018

Push to start!!
View attachment 1062571
KIUFUPI HII GARI UKIENDESHA, HALAFU UKAJA KUENDESHA HIZI GARI ZA KAWAIDA UNAWEZA FIKILI UMEKALIA KIBERENGE !!!!
Ukijamba AC inajiwasha yenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imebakisha tu kutoa penzi ukiwa na ashiki

Jr[emoji769]
 
inao mfumo Wa chaji! betri ikiwa full unaweza tembea nayo mda mrefu kuelekea mjini kujaza mafuta! inaonesha bar za chaji na distance utakayotembea!!!..
Na hayo mamifumo ya ku_sense sense kila kitu athari yake?
 
bongo ukitumia GPS unaweza kuishia ziwa mwananyamala
View attachment 1062583
Siku moja natoka kibada kigamboni naelekea chanika, sasa nikasema sitaki kupita darajani mbali huko kuna njia nimeambiwa unatokea mbagara mwanaume nikazana google map kilichonitokea sitasahau. Ilinipeleka hadi kitunda ndani ndani kabisa huko, niliendesha gari hadi taa ya mafuta iliwaka. Imagine nimetoka kibada saa 9 mchana nilifika chanika saa 5 usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku moja natoka kibada kigamboni naelekea chanika, sasa nikasema sitaki kupita darajani mbali huko kuna njia nimeambiwa unatokea mbagara mwanaume nikazana google map kilichonitokea sitasahau. Ilinipeleka hadi kitunda ndani ndani kabisa huko, niliendesha gari hadi taa ya mafuta iliwaka. Imagine nimetoka kibada saa 9 mchana nilifika chanika saa 5 usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah
 
Back
Top Bottom