Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha 'ukorofi' gani tens bestieMie niko okay sana
Naona ukorofi wako best
Chuga ni hakuna matata bestieHahahaha 'ukorofi' gani tens bestie
Vp chuga wanasemaje ?
Hahahaha mm na uzee siezi ruka juu bestieChuga ni hakuna matata bestie
Mwendo wa kujirusha tu, karibu tujirushe wote ila ukidondoka na kuumia utajiju mwenyewe[emoji126]
Basi unakosa uhondo bestie[emoji23]Hahahaha mm na uzee siezi ruka juu bestie
HahahahaBasi unakosa uhondo bestie[emoji23]
Haya Mambo jamani dah!!!! Mimi nahisi hakuna ataejua
Kabisa mkuuHuku nako kumbe wanafunzi wameingia siku hizi..zamani jf ilikuwa ya watu wanaoeleweka watu wazima au hata honourable people.sasa ona jamaa katoka hoja ya msingi tuu ila watu wanacomment utani..siku hizi jf hadi huko jamii intelligence ni utani..hakuna forum ya userious!!
Jina lako linafanana na mtu akaae kijichi😎Hakuna anaejua ID yangu hapa JF
Hizi mambo zinavyokuwa si ajabu musijue hata.Nitalia sana nikisikia kipenzi kavuta na kuaga dunia. Na sijui taarifa za kuburudisha kutoka kwa Yanga Sc tutazipata wapi??
🤝🤝Ukweli huu
Sio kila mtu anafariki na kupata fursa kama hiyo!nitatoa mwenyewe saa chache kabla ya kifo kuchukua uhai wangu!
Katika vitu vigumu kupata access na kuitumia basi ni hizo simu za marehemu., Nyingine zina patterns , lock codes .n.kKama atakayechukua simu yangu atakuwa member wa Jf basi huyo ndio atatoa taarifa. Maana nimejaribu kufikiria hata watu wa hapa ninaofahamiana nao hawatakuwa na namna ya kupata taarifa
Utajuaje kama unakufa au unazimia tu!nitatoa mwenyewe saa chache kabla ya kifo kuchukua uhai wangu!