Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tupo kwenye msiba acha tuomboleze
Ila kwa nini sisi jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na umeona tumetajwa wa5
Ebu fanya ukuje basi tuwe karibu[emoji4][emoji4] Nimefanya ana ana dooo tu, ikaangua kwenu
Ebu fanya ukuje basi tuwe karibu
Hahahahha tulishindwa kujuana mwaka juzi ulivyonipa zawadi ya birthday najua utajifanya umesahauEwaaaa!! fanya kushea lokesheni
😜Hahahah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HatujuiSalamu baadae.
Sku hizi RIP zimekuwa nyingi mtaani hata huku. jf wanautaratibu wa kuweka hio status kwenye profile yako pale unapofariki na taarifa wanazipata kutoka kwa watu wa karibu. Sasa swali ni nani mtu wako wa karibu anayeweza kutufahamisha?
Naamini wapo wengi walishatutangulia lkn hatufahamu tunaishia kusema "sku hizi wamepotea".
Ah kumbe hujafa. Ngoja nikadelete ule uziKama atakayechukua simu yangu atakuwa member wa Jf basi huyo ndio atatoa taarifa. Maana nimejaribu kufikiria hata watu wa hapa ninaofahamiana nao hawatakuwa na namna ya kupata taarifa
Hakuna wengineo...Ewaaah [emoji847] tutatoa taarifa tukiwa na wengineo.
Kama mtu amekua JF miaka yote bila kujulikana basi hata mauti yake yaheshimiwe kwa kubaki hivyo hivyo.
Ikitokea member mwingine amejua na kuleta taarifa huku JF basi atoe taarifa tu na si location ya msiba, picha ya mwendazake, michango na mbwembwe zingine.
Mtu asitiriwe vile alivyoishi.