Ukifa leo nani atatoa taarifa zako hapa JF?

Ukifa leo nani atatoa taarifa zako hapa JF?

Na ww ni jina kubwa utakuwa..
usikute nakufahanu humu mijini....!!?
lkn ndio sijui kama Mzigua? aka Mmakuwa
Sio celeb hata Sema najuana Juana kidogo na binadamu wenzangu.

Kuna siku alinipost birthday rafiki yangu Hazard CFC kuna mtu akasema leo birthday ya demu flani anaitwa ..... akanitaja jina langu la kimjini mjini
 
Aiseee sijui nani atatoa taatifa zangu, humu najuana na watu wawili,mmoja ndo alinifundisha kuingia jf, na huyu tunawasiliana mara chache tatizo ninahisi hakumbuki Id yangu.

Wa pili tulijuana humu, ila nje ya jf hatuwasiliani sana ni mara chache sana kuwasiliana hata mwaka unaweza pita. Na hamjui ndugu yangu au rafiki yangu hata mmoja.

Alienielekeza kujiunga jf nikifa atajua fasta maana tunajuana b4 jf ila ninahisi kabisa hakumbuki id yangu. Na marafiki zangu wengine wanamjua.
Anyway mkiona sijaingia humu zaidi ya wiki au mbili mjue nimetangulia kwa baba, maana sio rahisi nikose bando, au nikipoteza simu ni siku mbili tu niko hewani, so kama niko hai kuingia jf ni lazima.

Aisee warumi ameniuma, hatuwezi kupata umbea ulonyooka kama wa warumi.maana huwezi kuleta umbea ukiwa umevaa id ya kiume umbea huo ukanoga.

RIP WARUMI
 
Itabidi nipate family member humu tujuane in and out
 
Shunie ndugu
Nyani Ngabu mkwe/shemeji
audacious huyu shemeji wa rafiki yangu
amu huyu atajua kupitia NN
Hazard CFC huyu muunganiko mrefu sana
Dinazarde huyu atajua kupitia rafiki yetu mheshimiwa mbunge wa jimbo fulani.

Siku ikifika watu wengi wa Tz watanipost Sema ndo hamtajua kama ndo mimi and ikifika nyie wenye picha zangu msione shida kunipost mwaya maana nitakua marehemu so hamna shida wakinipost kibonge
Wewe una extended family kabisa huku jf
 
Back
Top Bottom