Ukifahamu kuhusu "Prussian Education System" , utaelewa kwanini Likud nasema haifai watanzania kulipia mamilioni EMs

Ukifahamu kuhusu "Prussian Education System" , utaelewa kwanini Likud nasema haifai watanzania kulipia mamilioni EMs

📌WAZAZI ACHENI KUPOTEZA HELA,HAO WATOTO WENU WA "THIS","THAT" HAWANA KITU WANAPATA KUTOKA EMS ZAIDI YA KUTOKA NA BROCKEN ENGLISH!!!

📌HIZO HELA WEKEZA KWENYE HISA,MASHAMBA,VIWANJA PRIME AREAS( LOW DENSITY),MTOTO AKIFIKA SEKONDARI MPELEKE ANGALAU SOUTH,INDIA AU MALAYSIA AKASOME ELIMU YA DUNIA!!!

📌FOCUS IANZE KWA KUWEKEZA PESA ZA KUJA KUWAPA MITAJI NA URITHI WA MALI KWA HAO AKINA JUNIOR WENU.KUPOTEZA MAMILIONI HUKO EMS KISHA ANAKUJA KUGOMBANIA INTERVIEW ZA TAMISEMI NI "UKICHAA".

MABASI YA NJANO NA TABU ZA TAMISEMI WAPI NA WAPI ACHIENI KAYUMBA HUKO TAMISEMI NDO MAZINGIRA YAO TANGU WADOGO.NYIE WAZUNGU PORI😄😄😄ANZISHENI MIRADI!!!
100% Fact

Aisome Joannah
 
Kwani mkuu mbona unahangaika sana na hii ishu?

Wewe si ulishahamisha watoto wako kupeleka kwa kayumba mbona sasa kama unatapa tapa? Si uendelee na maisha yako?

Yaani kila siku mauzi haya haya, kwani kuna mtu kakulazimisha uwarudishe EM?

Yaaani unahangaika kuliko wenye watoto EM! Nadhani so long as hawajakuomba msaada wa ada wala ushauri,we potezea tu
Wewe ndio unahangaika kusoma nyuzi Mimi wala hata sihangaiki.

It is a campaign.

Just hit an ignore button
 
Tatizo linaanza watanzania wengi ni wajinga mkuu( mzazi yupo ajinyime kwaajili ya ada ya shule ya mtoto) wakati matokeo ni yaleyale tu.

Sababu nyingine ni kutaka MBULI( SIFA)

Hizi English medium zipo kibiashara zaidi. Hata taasisi za kidini nimegundua ni fursa nao wanazidi kuhamasisha waumini wao.

Tanzania ukiwa na akili unapiga pesa sana maana wazazi wengi ni wajinga.
100% Fact
 
Hapa naona IQ (10) tupu inaongea, wewe ndo tunaweza kukaa meza moja hata kwenye kutafuta solution kwenye matatizo ya nchi yetu mana nafatilia sana thread zako xin mtu wa mkumbo unaongozwa na kichwa chako. ulichokisema ni kweli japo nilikuwa sifahamu hyo aina ya mitaala ila nilkuwa najiulza swali. mfano mimi nilitoka saint kayumba ya ndani kabisa nikachaguliwa kwenda vipaji maalum kwa mara ya kwanza hapo shuleni na ya mwsho kama sikosei na nikaenda kukutana na haohao wa english medium sasa mbona ni vilaza sana tena sio kwenye elimu tu mambo kibao nikajiuliza hyo faida ya kuwekeza pesa nyingi hvo af end product ndo unapata toto goigoi pia weak mindset si bora uanzishe hata mradi wa kufuga "karunguyeye' kwa ajili ya kuuzia wachina wanaozurura na wale wa mabonanza, tunahitaji mkombozi na bado hajapatika so kwa kipindi binadamu tumia akili yako ya kuzaliwa utapata majawabu mengi sana, kwanza EMs ni taasisi za kibiashara we angalia hata namna ya matangazo yao utaelewa ktu.
WASALAAM!!
" Mradi WA kufuga karunguyeye"🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hapa naona IQ (10) tupu inaongea, wewe ndo tunaweza kukaa meza moja hata kwenye kutafuta solution kwenye matatizo ya nchi yetu mana nafatilia sana thread zako xin mtu wa mkumbo unaongozwa na kichwa chako. ulichokisema ni kweli japo nilikuwa sifahamu hyo aina ya mitaala ila nilkuwa najiulza swali. mfano mimi nilitoka saint kayumba ya ndani kabisa nikachaguliwa kwenda vipaji maalum kwa mara ya kwanza hapo shuleni na ya mwsho kama sikosei na nikaenda kukutana na haohao wa english medium sasa mbona ni vilaza sana tena sio kwenye elimu tu mambo kibao nikajiuliza hyo faida ya kuwekeza pesa nyingi hvo af end product ndo unapata toto goigoi pia weak mindset si bora uanzishe hata mradi wa kufuga "karunguyeye' kwa ajili ya kuuzia wachina wanaozurura na wale wa mabonanza, tunahitaji mkombozi na bado hajapatika so kwa kipindi binadamu tumia akili yako ya kuzaliwa utapata majawabu mengi sana, kwanza EMs ni taasisi za kibiashara we angalia hata namna ya matangazo yao utaelewa ktu.
WASALAAM!!
100% Fact.

Aione my dear Joannah
 
Hizo tag zako zote unajishosha siwezi kujifunza kwa waliokata tamaa.
Umenishangaza. Kama msomi unapaswa kuwa na uwezo wa kujifunza Kwa watu wa aina zote na hali za aina zote

Kwa mfano Mimi nimejifunza hadi Kwa wachawi. Kwa wachawi nimejifunza kuwa msiri.

Wachawi huwa ni wasiri Sana na mchawi akitoa Siri huwa ana uwawa

So futa kauli yako
 
Anayeona saivi anafanya uwekezaji. Asubiri atapokuwa amechoka hana nguvu tena alafu bado TOTO lake lipo nyumbani linakazi ya kufatilia BBA,UEFA na Series za movie huku ni GRADUATE mzima anasubiri michongo(WHITE COLOR JOBS) za MBELEKO.

📌📌📌Shida sio kwamba watu hawauoni huu ukweli ila shida mtu anajifikiria MAJIRANI,NDUGU watanionaje.Kwahiyo mtu anaamua kufa na TAI SHINGONI kulinda STATUS FEKI😂😂😂

Jobless ambao ni GRADUATE wenye historia ya kusoma hizi EMS ndo wanaongoza kukaa nyumbani maana tangu wanasoma wao walikaririshwa PENI NA MAKARATASI ndio maisha hawana ujuzi wala hawajakulia katika mazingira ya kufanya kazi.

Hii mi BROILAZ ikija mtaani haina impact yoyote maana hata shule walikuwa,WANAFULIWA,WANAFANYIWA USAFI MPAKA SEHEMU ZA KULALA na KUZUNGUKA MAZINGIRA YA SHULE.

Wengi hawajui kazi,hawakui unakuta mtu mzima GRADUATE hata kutandika kitanda hawezi ASHAZOEA SHULE KUNA MFANYAKAZI,NYUMBANI KUNA MFANYAKAZI.Mnawahawaribu hawa watoto huko sio kuwapenda badala yake MNAWADUMAZA.

Hata MAKAZINI hawa BROILAZ HAWAJITUMI maana kazi zenyewe wanapata kwa CONNECTION🤗Ni vile watu hawaongei wazi ila EMS zinaharibu watoto.

EMS zimechangia pakubwa katika MMOMONYOKO WA MAADILI na mabinti wengi wasioolewa(WANASTANDARDS ZAO FEKI ZA EMS/LIFE FAKERS) na MASINGO MAZA ni product za EMS.Vijana wengi MAPAPAI ni PRODUCT ZA EMS!!!
 
Anayeona saivi anafanya uwekezaji. Asubiri atapokuwa amechoka hana nguvu tena alafu bado TOTO lake lipo nyumbani linakazi ya kufatilia BBA,UEFA na Series za movie huku ni GRADUATE mzima anasubiri michongo(WHITE COLOR JOBS) za MBELEKO.

📌📌📌Shida sio kwamba watu hawauoni huu ukweli ila shida mtu anajifikiria MAJIRANI,NDUGU watanionaje.Kwahiyo mtu anaamua kufa na TAI SHINGONI kulinda STATUS FEKI😂😂😂

Jobless ambao ni GRADUATE wenye historia ya kusoma hizi EMS ndo wanaongoza kukaa nyumbani maana tangu wanasoma wao walikaririshwa PENI NA MAKARATASI ndio maisha hawana ujuzi wala hawajakulia katika mazingira ya kufanya kazi.

Hii mi BROILAZ ikija mtaani haina impact yoyote maana hata shule walikuwa,WANAFULIWA,WANAFANYIWA USAFI MPAKA SEHEMU ZA KULALA na KUZUNGUKA MAZINGIRA YA SHULE.

Wengi hawajui kazi,hawakui unakuta mtu mzima GRADUATE hata kutandika kitanda hawezi ASHAZOEA SHULE KUNA MFANYAKAZI,NYUMBANI KUNA MFANYAKAZI.Mnawahawaribu hawa watoto huko sio kuwapenda badala yake MNAWADUMAZA.

Hata MAKAZINI hawa BROILAZ HAWAJITUMI maana kazi zenyewe wanapata kwa CONNECTION🤗Ni vile watu hawaongei wazi ila EMS zinaharibu watoto.

EMS zimechangia pakubwa katika MMOMONYOKO WA MAADILI na mabinti wengi wasioolewa(WANASTANDARDS ZAO FEKI ZA EMS/LIFE FAKERS) na MASINGO MAZA ni product za EMS.Vijana wengi MAPAPAI ni PRODUCT ZA EMS!!!
100% facts. Hilo wala halina ubishi ndio maana tunawasanua wastuke mapema
 
kwani walikuomba uwalipie ada mbona unalazimisha sana?
wewe pambana na hali yako waachae wenyewe wapambane na hali zao.
 
Badala ya kupoteza muda na pesa ni bora .HIZO PESA ZAKO MBILI TATU UWEKEZE MTOTO AKIMALIZA SEKONDARI uzitumie uongezee kidogo akasome nje ya nchi huko.

Kuna SCHOLARSHIP za kuanzia 50% mpaka 75% kwa undergraduate.Zipo za mpaka 100% ila ni chache ni mara 1,000 uwekeze hizo hela unazotupa huko EMS mtoto akimaliza sekondari either form 4 au 6 zimsaidie akasome elimu ya DUNIA.

SIO AMEMALIZA FORM 6 ANAOMBA KWENDA VYUO VYA HAPA NDANI,ALAFU ANAKOSA MKOPO😄😄😄AU ANAKOSA ADA YA KUSOMA WAKATI HII NDO ELIMU YENYEWE SASA HUKO CHINI NI SEHEMU YA MAKUZI TU.WATANZANIA BADILIKENI DUNIA INAENDA KASI SANA NYIE MMELALA!!!

📌Watanzania ACHENI kuogopa BALOZI yale majengo myatembelee mkatafute fursa za watoto wenu kusoma nje acheni kung'ang'ania vyuo vyenu visivyo na RANK za kueleweka huko DUNIANI.

TEMBELEENI HIZO BALOZI NYINGI ZINATOA SCHOLASHIP KATIKA UMRI WA 18-23📌📌📌
 
kwani walikuomba uwalipie ada mbona unalazimisha sana?
wewe pambana na hali yako waachae wenyewe wapambane na hali zao.
Kwani na Mimi nimekuomba ucoment?

Wewe pambana na comment yako na Mimi nipambane na Uzi wangu.


Nimekujibu Kwa kutumia kiwango Chako cha ufahamu
 
kama ulikuwa hutaki comment kilichokufanya uanzishe thread ni nini?
ungewatag ndugu zako waje watoe comments unazozipenda
Na kama ulikuwa hutaki nikujibu ulijibu Uzi wangu WA Nini. Ungewajibu ndugu zako ili wakupe majibu unayo yapenda
 
📌WAZAZI ACHENI KUPOTEZA HELA,HAO WATOTO WENU WA "THIS","THAT" HAWANA KITU WANAPATA KUTOKA EMS ZAIDI YA KUTOKA NA BROCKEN ENGLISH!!!

📌ENGLISH MEDIUM SCHOOLS HAWAFUNDISHI KINGEREZA BADALA YAKE WANAWAKARIRISHA WATOTO WENU WAPENDWA KUTAMKA KWA KINGEREZA(WANAWAFUNDISHA MENTIONING).

KWELI HIYO NDO HUDUMA UNAYOLIPIA 2MILLIONS KWA MWAKA ONENI AIBU BASI😂😂😂😂LAFU AKIRUDI MTAANI ANAANZA KUONGEA KAMA HARMONIZE( KINGEREZA CHA WAMAREKANI WEUSI🤣)NYIE MNAONA MAMBO SI NDO HAYA MWENETU ANAJUA KIINGLISH🙌🙌

AMKENI MNAIBIWA KWA MGONGO WA KINGEREZA FEKI NA UFAULU WA KUKARIRISHWA MASWALI NA MAJIBU NA KUFANYIWA MTIHANI.

📌HIZO HELA WEKEZA KWENYE HISA,MASHAMBA,VIWANJA PRIME AREAS( LOW DENSITY),MTOTO AKIFIKA SEKONDARI MPELEKE ANGALAU SOUTH,INDIA AU MALAYSIA AKASOME ELIMU YA DUNIA!!!

📌FOCUS IANZE KWA KUWEKEZA PESA ZA KUJA KUWAPA MITAJI NA URITHI WA MALI KWA HAO AKINA JUNIOR WENU.KUPOTEZA MAMILIONI HUKO EMS KISHA ANAKUJA KUGOMBANIA INTERVIEW ZA TAMISEMI NI "UKICHAA".

MABASI YA NJANO NA TABU ZA TAMISEMI WAPI NA WAPI ACHIENI KAYUMBA HUKO TAMISEMI NDO MAZINGIRA YAO TANGU WADOGO.NYIE WAZUNGU PORI😄😄😄ANZISHENI MIRADI!!!
Yaani ni Bora nilipie mwanangu afundishwe tennis alfu kumi Kila siku ili aje awe akina William's sister or Sharapova maria Ila sio ishu ya kuongea English, unakutana nao udsm, wanaajiriwa wanalipwa scale za kawaida, wanafeli, wanakosa ajira si Bora ungemnunulia bonds ama shamba anakuja kuwa mkubwa anapata muwekezaji anajenga fremu anaanza kula hela,mfungulie biashara hata ya genge akitoka kayumba anakuja kuuza pale anapata elimu halisia,mfungulie carpentry workshops any of this kind ajue namna ya kusimamia kutafuta masoko, hata namna ya kutengeneza sabuni, wachina Wana viwanda mpaka Kila nyumba, yaani mtu anapanga nyumba humo ndani anatengeneza bati sio ishu kubwa mno, Kuna kiwanda cha tissue watanzania wengi can afford it.
Assume Kuna binti akasomeshwa nyakahoja, akasoma India chuo saivi Yuko kwenye kampuni ya ujenzi ya mzawa yaani akawekwa Kama msaidizi sekretari pia ni Kama msaada anapewa tu, mie ni Engineer pale mshahara wake namie yaani inabidi apige kazi mwaka mzima mie ndio nalipwa mwezi mmoja.
Yaani tokea nilipofika tabora boys hao jamaa nikawa nawazidi hiyo English yao kwa matokeo ya darasani Ile form two nikajisomea novels Kama Sina akili nikaanza kuongea nao nilidharau mno niliona kuwa ni ubishoo tu sawa na kuvaa saa ya 10bilioni ili na wewe uheshimike,


Let us keep our feelings aside to analyse cons and prons of both kayumba vs em.
May be tunajifariji na hali zetu za kipesa na hili nalo liangaliwe kwa mapana.

Mnunulie mtt shamba , Anza kufunga nguruwe kuku kwa hela iyo iyo unamsomeshea em akija kumaliza foo ama diploma unakuta Yuko mbali mno, njoo Sasa kwenye hata bustani alime ya horticulture mbona anatoba kabisa,.

Elimu is education in English which derived from latin word means to draw out
 
Katika uzi huu ndo nimeanza kukutna hoja za watu wenye ubongo mana nilishata tamaa kabisa nikasema bora nihamie tu fb ila trend ikiendelea hivi bhc sihami.. af nawaibia siri wanaopigia chapuo EMs NI WANUNUZI WA UDONGO WA BWANA MWAMPOSA MANA ULE NI KWA AJILI YA LOW MIND PERSONS TU!! NA NDO HAWA WANATUSUMBUA HAPA.!!
 
Nchi nyingi duniani zinafuata mfumo wa Elimu wa *Prussian Education System".

Tanzania pia tunafuata mfumo huo.

Hata hivyo nchi nyingi Sasa hasa zilizo endelea zimesha achana na mfumo huu.
Katika baadhi ya nchi hizo hizo mfumo huu unatumika sambamba mifumo / mitaala mingine mfano mtaala wa Cambridge.

Katika nchi hizo, Prussian Education System hutumika kwenye shule za Public na huwa ni bure ilihali mfumo wa Cambridge hulipiwa mamilioni.


Cha ajabu Sasa, Tanzania Kwa sababu watu wengi ni hawana uelewa wanajistress kulipia mamilioni kwenye shule za EMs ambazo zinafuata mfumo wa " Prussian Education System"


Ni changamoto kubwa sana Kwa Mtanzania masikini anae ishi Kwa kuunga unga kujistress kulipia mamilioni kwenye shule za EMs ambazo mfumo zinao tumia ni Prussian Education System.

Watu hawa wanazidiwa maarifa na wazazi wanao somesha Kayumba Kwa sababu Kayumba hawalipi hayo mamilioni na end product ni ile ile.

Shule pekee unayo paswa kulipia mamilioni ni shule inayo fuata mtaala WA Cambridge ambazo ada Yake ni kuanzia Dola elfu 16 mpaka 30 Kwa mwaka.


Google Prussian Education System. Soma vitabu vilivyo fanyiwa extensive research kuhusu Prussian Education System halafu ujione namna huhitaji kujistress kulipa mamilioni kwenye hamna.
UWE MAKINI: WENYE MASHULE WASIJE WAKAKUDHURU, KWASABABU UNAWAAMSHA WA TZ
 
Yaani ni Bora nilipie mwanangu afundishwe tennis alfu kumi Kila siku ili aje awe akina William's sister or Sharapova maria Ila sio ishu ya kuongea English, unakutana nao udsm, wanaajiriwa wanalipwa scale za kawaida, wanafeli, wanakosa ajira si Bora ungemnunulia bonds ama shamba anakuja kuwa mkubwa anapata muwekezaji anajenga fremu anaanza kula hela,mfungulie biashara hata ya genge akitoka kayumba anakuja kuuza pale anapata elimu halisia,mfungulie carpentry workshops any of this kind ajue namna ya kusimamia kutafuta masoko, hata namna ya kutengeneza sabuni, wachina Wana viwanda mpaka Kila nyumba, yaani mtu anapanga nyumba humo ndani anatengeneza bati sio ishu kubwa mno, Kuna kiwanda cha tissue watanzania wengi can afford it.
Assume Kuna binti akasomeshwa nyakahoja, akasoma India chuo saivi Yuko kwenye kampuni ya ujenzi ya mzawa yaani akawekwa Kama msaidizi sekretari pia ni Kama msaada anapewa tu, mie ni Engineer pale mshahara wake namie yaani inabidi apige kazi mwaka mzima mie ndio nalipwa mwezi mmoja.
Yaani tokea nilipofika tabora boys hao jamaa nikawa nawazidi hiyo English yao kwa matokeo ya darasani Ile form two nikajisomea novels Kama Sina akili nikaanza kuongea nao nilidharau mno niliona kuwa ni ubishoo tu sawa na kuvaa saa ya 10bilioni ili na wewe uheshimike,


Let us keep our feelings aside to analyse cons and prons of both kayumba vs em.
May be tunajifariji na hali zetu za kipesa na hili nalo liangaliwe kwa mapana.

Mnunulie mtt shamba , Anza kufunga nguruwe kuku kwa hela iyo iyo unamsomeshea em akija kumaliza foo ama diploma unakuta Yuko mbali mno, njoo Sasa kwenye hata bustani alime ya horticulture mbona anatoba kabisa,.

Elimu is education in English which derived from latin word means to draw out
100% Fact mkuu umeongea point kubwa sana
 
Back
Top Bottom