Ukifanya hivi ndoa utakua nayo au utatamba nayo

Umeandika kama utani ila huu ni uzi muhimu sana na unatoa mafunzo mujarabu kwa walio kwenye ndoa au wanaotarajia kuingia kwenye ndoa
Uzi wa kujipakulia minyama au sio, we unafanyiwa yoooote hayo huyo mwanamke anaeyafanya hayo anafaidika na nini???

Ndo haya haya mbinguni wanaume wanapewa mabikra 72 sisi huko tutapewa nini??
 
7 kuacha kiherehere cha kimfuatilia mume mpe uhuru

kuna mjinga kanifanya nione ni tabu sana kuwa kwenye ndoa,nampango wa kumtoroka

-hataki simu yangu iingize sms
-hataki kusikia sauti ya kike kwenye sm yangu
-hataki nihudhurie harusi
-hataki nisalimiane na wanawake
-hataki nitoke nyumbani
-yaan ni kama kanioa vile,ana maujinga jinga mengi tu
 
Kwahiyo ni kama uko gerezani? Mueleweshe basics za ndoa atakuelewa mkuu
 
Piga chini.... Akachunge mbuzi kwao
 
According to feminist that is outdated slavery.
 
11.kiuno kiwe chepesi.
 
Uko sahihi japo Kusameheana na kubebeana madhaifu kunafanya wenza wadumu saana
Huu ndio msingi mkuu wa ndoa kudumu (42.5N/R)concrete foundation.
 
Jnafaaa kua mke na mwez wa ndoa ndio huuu
 
Uzi wa kujipakulia minyama au sio, we unafanyiwa yoooote hayo huyo mwanamke anaeyafanya hayo anafaidika na nini???

Ndo haya haya mbinguni wanaume wanapewa mabikra 72 sisi huko tutapewa nini??
Nyie mtapewa bikra mpya.
Hivyo mtakuwa miongoni mwa hao 72 kwa mwanaume mmoja.
 
Ana upendo uliopitiliza kukuelekea ila hakuamini kwa 100% hii inachangiwa na tabia yako(huenda ww ni kipanga) au namna mara ya kwanza mlikutana mazingira gani?(1st perception)
 
Ana upendo uliopitiliza kukuelekea ila hakuamini kwa 100% hii inachangiwa na tabia yako(huenda ww ni kipanga) au namna mara ya kwanza mlikutana mazingira gani?(1st perception)
Mimi nakula kula ila sio sana,afu pia mtaan watu hujisikia amani kuniongelea na kujifanya wananijua sana na wanajua mambo yangu yote

Mwanzo nilipokuwa nae niliachana na madem wote lakin alikuta story nyingi sana kwamba nimemla yule,mara fulani ,mara shangaz fulani na wengine ambao sijawala,nilivyoona kanisumbua sana malalamishi mengi na ugomvi nikaamua nitafute kamchepuko kamoja na nilimwambia kabisa kuwa nataka niwe na kamwanamke kamoja karembo sana ili nikutibu wivu wako(wake)
 
Reactions: Sax
Mambo 10 kwa mtu mmoja hata Aliyemuumba atashangaa
 
Huyi si ndio wewe au leo unatoa ushauri
 

Attachments

  • Screenshot_20241103_182700_Chrome.jpg
    164.3 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…