Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

Watu wooote haijalishi unafanya nini.....acheni kujipa hopes! Hili gonjwa linaua hata ma-bikra
 
Watangazaji wa Television vijana.
Wanenguaji wa Bendi
 
Mapasta,

wachungaji,
wainjilisti

Madokta

washauri nasaha
askari polisi na ,magereza
wabunge
Rais
TRA
Muuza nguo za Kike
MC
Fundi cherehani
Muuza genge
Bwana Ng'ombe
House Girl.
Muimba kwaya Kanisani
Fundi Decoder
Mwalimu
Wakili

Naombeni ufafanuzi kuhusu Bwana Ng'ombe na Fundi decorder anaweza vipi kuwa kwenye hatari kubwa ya kupata ngoma?
 
Aids is everywhere!
No matter who you are!
Hakuonekana na binti............!
 
Wafanyakazi wote na jamii zote ambazo hazitafanya kazi kwa makini
 
waonyesha mikanda\movie kwenye vibanda uswahilini.
 
Mapasta,

wachungaji,
wainjilisti

Madokta----- Katika kuhudumia waathirika

washauri nasaha
askari polisi na ,magereza
wabunge
Rais
TRA
Muuza nguo za Kike
MC
Fundi cherehani
Muuza genge
Bwana Ng'ombe
House Girl.
Muimba kwaya Kanisani
Fundi Decoder
Mwalimu
Wakili
Wahudumu wote wa Afya.
 
mh! yahitaji kuwa na vielelezo au la takwimu za kutosha ili kutoa mjumuisho kama huu. vinginevyo wote tuheshimu kazi ze2
 
kila anayefanya ngono zembe yuko kwenye hatari ya kuambukizwa
 
Back
Top Bottom