Decapitator
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 311
- 79
Pablo umenichekesha sana ila pole na yalitokea. Ennhe malizia basi storykaka kuna dem mmoja alikua hvyo hvyo mara rafiki yakio kantongoza mara hv kipind hicho mm nipo dar chuo mara aniambie nimeambiwa hurudi kazini kwako huku mkoani mara vile kipind hcho nshamzalisha mtoto mmoja kumbe bwana wakati nipo chuo namtumia rafik yangu matumiz ampelekee wewe kumbe kuna mngese mmoja kila rafik akienda anamkuta mhhhhh mwana naye akaona kumbe shemej jamv la wagen kipindi tunafunga semister nikaenda likizo kwa vile tulikua tunaishi mbalimbali nikaenda kwakushtukiza ww achaaa yy ni mwlimu mda nimefika kwake yy yupo darasan kuingia chumbani hamad condom kwny dresing table imetumika mamaeeee zake just imagine nlikua nshazaa nae na kwao natambulika na kwetu wanamjua ww ntamalizia baadae subiri nkaoge.
Miaka 24..Ndio nilimkataza asilewe, na nilimueleza kama atakuwa na hamu na pombe aniambie nimtoe out mwenyewe...na hua namtoa out mara kwa mara.
Huko social network sijui anachart na nani kwa sababu hua sitaki kushika simu yake na kupekua.
Nikichoose to come utakuwa wa peke yangu au kugongewa itakuwa siri ya ndani Evelyn Salt
Mkuu, mchuchu ana miaka 24, wewe una umri gani? Nikipata umri wako ndio naweza nikabawabu ( fikiri) nikatoa mchango wangu. Lkn dah...huo umri wa mchumba wako pasua moyo kwenye mahusiano.
daaa kuna wanaume aisee mim huwa sijui nawachukuliaje yaaani mambo mengine mnaletewa na wanawake zetu kama Salam za toka lakini mnajifanya uzungu mwingi mnawaganda matokeo yake mnafanyiwa mambo ya ajabu sana .
ndio maana mm siwezi kabisa mapenzi yenu yakuigiza igiza na mwanamke akiniketea mapicha picha ya kimapenzi kabla hata hajamaliza tamthilia zake anakutana na maamuzi yakiume.
mwanamke sio wakumchekea hata kidogo aisee.
ujue vijana wenzangu sasa hivi wengi mmelegea sana Hamna msimamo maamuzi hakuna mpaka wanawake wanawapanda vichwani nyie mpooo tuu kama misukule
Wakuu habari zenu.
Nimekuwa katika mapenzi na dada mmoja hivi sasa tunaelekea mwaka wa pili huu. Sijawahi kumkwaza kufikia hatua ya labda kuninunia week au siku kadhaa hivi. kifupi mimi ni muumini wa uaminifu katika mapenzi (though hii imenicost ktk relation zilizopita ila sitaki kuzungumzia hilo).
Ila yeye amekuwa akinikwaza sana hasa katika jambo zima la matumizi ya simu. Utakuta hatujaonana labda week lakini siku tutakapoonana hata kama ninashinda nae siku nzima yeye yupo busy muda wote na simu yake akichat watsapp na social networks nyingine. Sawa ninaweza kuonekana nina wivu ila hatambui kuwa ni muda mrefu hatujaonana anitengee muda wangu tuongee na kufurahi pamoja sasa yeye yuko busy tu anafesibuka.
Jambo jingine ni yeye kuwa muwazi kwangu kila afanyapo kosa lolote mfano akilewa tu lazima anipigie simu kuniomba msamaha kuwa mpenzi wangu nimelewa nakuomba unisamehee...hii inamaanisha nini wakuu? Ni kwamba ananipenda au ni geresha tu! Kingine kila mwanaume anayemtongoza lazima aniambie me hata huwa simfuatilii ila najua kutokana na yeye anavyoniambia...what does it mean??
Is she really love me...or should I take a leave in this relationship because of the way she is busy with her gadget? Wakuu naomba mawazo yenu without insultation.
Natanguliza shukrani
Utalifaidi....usichukue kavu
Mkuu me nina 28, umri ni pasua moyo kwa sababu gani??
utanisaidia lubricants
Unaujua mgomba unauskia?
una lubricant zaid ya binadamu....