Ukifanyiwa hivi na mwanamke inamaanisha nini haswa?

kama anakueleza akitongozwa anakupenda. na swala la kulewa nadhani ni company aliyonayo ndo tatizo. kwa ufupi huyo ukimbana ni anawezekana. try kuwa karibu nae na umpende atayaacha anayofanya.
 
pole ndugu tafuta mwingine haraka huyo cha wote
 
Mwambie hlo na ikiwezekana asitishe hyo mambo ukiwa nae.cjui kama umeshafanya hivyo??
 
Pole mkuu hapo unamegewa kimtindo ameishakuona ---- changamka mapema.
 
Ukiona manyoya ujue kashaliwa
 
Kuna wanawake wa namna hiyo kaka....We km anakuambia kila kitu muache akuambie....Ni bora akuambie kuliko yule anayeficha.....
We nenda nae tuu taratibu...Hiyo ubusy wa simu kweli kuna watu washakuwa wameathirika hawawezi kukaa bila kushika cm hata kuichezea tuu japo...Pia Je huo ubusy na cm ushaangalia msg anazochat ni za aina gani? Km ni mtu ambaye anapenda ku socialize muache au muambie.....Au pengine cm ni zamadili zinamuingizia hela mjini muache.....

Huo utakuwa ni upuuzi kumuacha mwanamke kisa anakuambia kila kitu....Hujui kupendwa....
Ukifichwa utasema mwanamke anakuficha, ukiambiwa unalalamika .....



 
mkuu pole sana,mwambia unakerwa na tabia yake hiyo!
Nilikuwa na girl mwenyewe tabia ya kuwa busy na simu kama huyo wako,tuligombana sana lakini hakuacha,
mwisho wa siku nikagundua ananicheat na nikamwacha.
 

Yaani inaudhi kupitiliza. inakuwaje saa zote mchana kutwa uko na simu unachat na watu uwajuao mwenyewe.!!!inafika muda uko na mwenza wako( awe mume/mke ..awe boyfriend/ girl friend baado uko buzy kulikooo... haileti maana hata kidogo. Utakuta mtu na mwenza wako mahali fulani pa starehe lakini kila mtu haongei na mwenza wake yuko anafacebukika.. sasa si bora mngebakia nyumbani kwenu inakera hadi basi...tumekuwa watumwa wa simu na mitandao jamani. Badilikeni
 
Huyo demu yuko poa. Angalau ata yeye anajali anapokusea anaomba msamaha, kuna wengine ata kuomba msamaha shida. Jaribu kumueleza ukiwa na mimi punguza matumizi ya sim.
 
akitongozwa anakuambia je akinaniiiii huwa anakuambia? zinduka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…