cristian damas
Member
- May 7, 2014
- 12
- 0
si sawa mwanamke ama mwanaume kumwambia mwenzake fulani amenitongoza ama nimemtongoza si busara hata kidogo kwani wengine huwa hawawezi kustahimili kutongozewa wanajiweka katka sehemu mbya xana je? anaweza akawa anahtaji ajuwe unampenda? je usikiapo fulani amemtongoza unakuwaj? am umzoee pamoj na hal hiy kuw yey ni mzur xan licha ya wew kuw naye lakn bad anahtajiwa hvy anakuweka attention! je wote wanaomtongoza anakuambia? ni wale tu asiyowapenda je? wale waliyomvutia? maisha ya mapenzi ni magumu xana ambaye haitaj stress head pain or any heart attack problems do not ENTER here