Mmh wa bongo buana unataka kila mtu awe kama baba ako loh!!! Wewe una ulimbukeni wa pesa au bado wewe ni kitoto chini ya miaka 25, watu wana maliza shule na miaka 35, kuja kupata ajira ya kwanza ana 40+ watu na elimu yao uwakili, udakitari, nurse nk wana miaka 50 hata kiwanja hawana bado wanangaika na kusomesha watoto,,.......wewe unaona baba ako kua na nyumba mbili kijijini kwenu ndo unaona alitoboa maisha mapema.