Ukifikisha miaka 35 jitahidi uanze kuwekeza katika biashara ambazo zina risk ndogo.

Ukifikisha miaka 35 jitahidi uanze kuwekeza katika biashara ambazo zina risk ndogo.

Wakuu habari .

Ukifikisha miaka 35 jitahidi uwekeze ktk biashara ambayo Ina risk ndogo .

Mfano ,anza kufikiria kuhusu real estate business, Kama kuwa na Lodge za kupangisha ,mashamba na mifugo.

Pia anza kufikiria kuhusu Passive income na kuwekeza katika teknolojia zaidi .

Maana at the age of 35+ ukipoteza hela zako kuja kukaa sawa itakuchukua miaka mingi.


Mimi mzee wangu father at the age of 30s alikuwa na Nyumba mbili katika viwanja tofauti na ardhi pamoja na Gari la biashara .

Ila lile gari ameshapoteza ambeki na Nyumba tatu na kiwanja kimoja.

So tujithidi kuwa makini katika uwekezaji doesn't make sense Una miaka 40+ bado unauza duka la mangi la kupima mchele robo



Na Kama unafanya Kazi za kimasikini Kama ualimu ,upolisi na n.k

Jatufa wataalamu wa maswala ya pesa na uwekezaji wakupe mawazo .
Kumbe ualimu ni kazi ya kimasikini😳
Kuna Uzi humu watu wanamlilia mkenda kisa mchujo.
 
Kumbe ualimu ni kazi ya kimasikini😳
Kuna Uzi humu watu wanamlilia mkenda kisa mchujo.
Nimekuja gundua humu wengi waropokaji afu hamna kitu ndo maana wengi kuonana na mtu ngumu.......

Ualimu una shida gani kwani, mfano private schools bidii yako tuu inakupa shavu la maana, wapo waalimu wamepewa mpk ndinga, mtaji kisa kufundisha vzr

Sasa kazi ya kimaskini akae na mwanae nyumbn matajiri....

Wengine washenzi achana nao
 
Nimekuja gundua humu wengi waropokaji afu hamna kitu ndo maana wengi kuonana na mtu ngumu.......

Ualimu una shida gani kwani, mfano private schools bidii yako tuu inakupa shavu la maana, wapo waalimu wamepewa mpk ndinga, mtaji kisa kufundisha vzr

Sasa kazi ya kimaskini akae na mwanae nyumbn matajiri....

Wengine washenzi achana nao
Huyo jamaa ni muhaya, wahaya wengi wapo TRA
 
Wakuu habari .

Ukifikisha miaka 35 jitahidi uwekeze ktk biashara ambayo Ina risk ndogo .

Mfano ,anza kufikiria kuhusu real estate business, Kama kuwa na Lodge za kupangisha ,mashamba na mifugo.

Pia anza kufikiria kuhusu Passive income na kuwekeza katika teknolojia zaidi .

Maana at the age of 35+ ukipoteza hela zako kuja kukaa sawa itakuchukua miaka mingi.


Mimi mzee wangu father at the age of 30s alikuwa na Nyumba mbili katika viwanja tofauti na ardhi pamoja na Gari la biashara .

Ila lile gari ameshapoteza ambeki na Nyumba tatu na kiwanja kimoja.

So tujithidi kuwa makini katika uwekezaji doesn't make sense Una miaka 40+ bado unauza duka la mangi la kupima mchele robo



Na Kama unafanya Kazi za kimasikini Kama ualimu ,upolisi na n.k

Jatufa wataalamu wa maswala ya pesa na uwekezaji wakupe mawazo .
Dah!!
Za kuambiwa changanya na zako
 
Nyie watoto mliokuwa spoon fed in each and every conner of life hamjui maisha.

Maisha ukiishi kwa kuangalia umri na mafanikio uliyonayo au unayotarajia.Unajitafutia msongo wa mawazo mkubwa kupelekea changamoto za afya ya akili!!!

Be humble kijana wewe ukute hujui hata bei ya kusimamisha boma la nyumba alafu unaongea vitu vya kufikirika. Hayo mambo ya motivational speakers yasikilize ila changanya na za kwako.
 
Mzee wangu alikuwa ni mfanyakazi katika hotel .

So alikuwa kitengo cha manunuzi na ukizingatia alikuwa amesoma kufika form six so ilikuwa rahisi yeye kupata nafasi nzuri .

Miaka ya late 80s
Kwa sisi majobless tulio 30+ unatushauri vipi ili tuweze kumuenzi mzee
 
Watu tu wanaleta makasiriko ila kwa ukweli ni kuwa ukiwa na miaka 35 inatakiwa uwe na asset inayoeleweka hasa ardhi.

Zipo ardhi zinauzwa bei ndogo sana hadi laki nne na vijana wanauwezo wa kununua ila hawana mpango nazo hapo baada ya miaka 10 zitakuwa bei ghali sana na wataanza kujutia why hawakununua kipindi hichi.

Mfano hapo Kibaha tu baada ya miaka 5 vijana wengi watajuta kwanini hawakununua hivyo viwanja. Vitapanda bei ghafla sana na hawataamini
 
Nyie watoto mliokuwa spoon fed in each and every conner of life hamjui maisha.

Maisha ukiishi kwa kuangalia umri na mafanikio uliyonayo au unayotarajia.Unajitafutia msongo wa mawazo mkubwa kupelekea changamoto za afya ya akili!!!

Be humble kijana wewe ukute hujui hata bei ya kusimamisha boma la nyumba alafu unaongea vitu vya kufikirika. Hayo mambo ya motivational speakers yasikilize ila changanya na za kwako.
Pambana utoke kwenye hiyo comfort zone Mkuu acha lawama 😂
 
Watu mnadharau daaah umetaja vya Mzee wako hebu tuambie na ww una nyumba ngap
 
Nina miaka 78. Bado nauza kwa mangi. Nina furaha na nimeridhika tu yaani.

Ulichosema kina ukweli ila nijuavyo mimi haya mambo hayana fomyula. Na miaka 35 kwa mifumo ya Kitanzania hii ni ngumu sana kwa vijana kuwa na assets za maana - hata kwa wale wanaopambana. Cha muhimu tu angalia hatua unazopiga na kuwa mwangalifu na matumizi yako ya pesa. Wekeza hata katika vibiashara vidogo vidogo ukiweza...na hatua utaziona. Na kamwe usijilinganishe na age/classmates wako. Run your own race.

Ni hayo tu kwa sasa!
Whabeja sana nkulu.
 
Pambana utoke kwenye hiyo comfort zone Mkuu acha lawama 😂
Sijamlaumu mtu nimekupa real deal I am a hustler.Mimi nina worth millions assets na kwenye account nina pesa za kutosha.Sasa sijui maskini kama wewe utanieleza nini.
 
Back
Top Bottom