Akaanza Kuwatisha Wananchi Na Kuwanyanyasa Mno Ila Ndiyo Hayupo SasaKuna utofauti sana kati ya Nyerere na Magufuri, Nyerere alikuwa rafiki wa raia lakini Magufuri alikuwa rafiki wa Vyombo vya ulinzi na usalama.
Fact 100%Kanuni za kuongoza nchi ni mbili tu utaongoza salama utaishi miaka mingi ya raha na huru kama mzee Mwinyi na Kikwete.
1.Usiwaguse mkono wakuu wa dunia hii
2.Usiwasomeshe namba watu wako.
Ukiwasomesha namba watu wako wataungana na wakuu wa dunia utaondoka kwa uchaguzi au kuundiwa makundi ya waasi. Mfano Saddam na Gadafi.
Kwann ni ngumu kuiangusha Iran jibu watawala wa Iran wanacheza na kanuni namba 2.
Kosa kubwa Sana la saddam na Gadafi ni kutowaunganisha watu wao wawe kitu kimoja wangewalinda wasingekubali kuundiwa makundi ya magaidi. Wao waliamini zaidi nguvu za kijeshi na ulinzi imara waliokuwa nao kumbe ni takataka tu KWA wababe wa Dunia.
Silaha namba moja ni kuwaunganisha watu wako huwezi sambaratika.
Kweli kabisaUkiwa kiongozi usifanye uadui na watu Ili kupunguza chance ya kulipizwa kisasi, KWA historia ya duniani Hakuna mtawala yeyeto duniani aliyewahi Pambana na watu akawashinda. Utawashinda kimwili watakuja kiroho.
Yaani uwashinde mabeberu, freemason, wachawi, wapinzani, magaidi, waasi, wanamaombi, albadili, karma, machozi ya wananchi. We nani. Maisha ni leo sio kesho, tenda wema ongoza kwa haki, timiza wajibu wako ukiondoka umeondoka, tunaishi mara moja na sio mara mbili. Dunia ni nyama ya tembo Katu hutoiweza, zama zako zikipita zimepita. Leo Nyerere hata kizazi cha SAsa hakimjui.
Umesema kweliUkiwa kiongozi usifanye uadui na watu Ili kupunguza chance ya kulipizwa kisasi, KWA historia ya duniani Hakuna mtawala yeyeto duniani aliyewahi Pambana na watu akawashinda. Utawashinda kimwili watakuja kiroho.
Yaani uwashinde mabeberu, freemason, wachawi, wapinzani, magaidi, waasi, wanamaombi, albadili, karma, machozi ya wananchi. We nani. Maisha ni leo sio kesho, tenda wema ongoza kwa haki, timiza wajibu wako ukiondoka umeondoka, tunaishi mara moja na sio mara mbili. Dunia ni nyama ya tembo Katu hutoiweza, zama zako zikipita zimepita. Leo Nyerere hata kizazi cha SAsa hakimjui.
Uko sahihi bosiKanuni za kuongoza nchi ni mbili tu utaongoza salama utaishi miaka mingi ya raha na huru kama mzee Mwinyi na Kikwete.
1.Usiwaguse mkono wakuu wa dunia hii
2.Usiwasomeshe namba watu wako.
Ukiwasomesha namba watu wako wataungana na wakuu wa dunia utaondoka kwa uchaguzi au kuundiwa makundi ya waasi. Mfano Saddam na Gadafi.
Kwann ni ngumu kuiangusha Iran jibu watawala wa Iran wanacheza na kanuni namba 2.
Kosa kubwa Sana la saddam na Gadafi ni kutowaunganisha watu wao wawe kitu kimoja wangewalinda wasingekubali kuundiwa makundi ya magaidi. Wao waliamini zaidi nguvu za kijeshi na ulinzi imara waliokuwa nao kumbe ni takataka tu KWA wababe wa Dunia.
Silaha namba moja ni kuwaunganisha watu wako huwezi sambaratika.
Kuna kaukweliNi kweli kabisa uliyoyasema lakini kitu ambacho hukijui ni kwamba hao watu wa namna hiyo ya Nyerere na Magufuli huwa wameumbwa na hizo falsafa na kamwe hawawezi kuzibadili na kufuata ushauri ulioutoa !! Yaani wamezaliwa hivyo na hawawezi kujibadili!! Masuala ya kula Bata hiyo ni mindset ya kila mtu na kile anachokipenda !! Mkuu binadamu hatulingani kile ukipendacho sana wewe huenda mimi na wengi tu hatukipendi kabisa. !! Watu wengine wanafurahia kuwaona wenzao wanataabika na maisha ilhali wao wanakula Bata lakini kwa wengine ni opposite reaction ! Hawapendi kabisa kuona kitu Hiyo. !! Che Guevara alisema. “ it’s better to die standing than to live kneeling !! Ishi utakavyo ishi lakini utakufa tu !!
Najua hujui lkn unajuaHii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.
Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶
Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo kupitiliza,hii nchi ni kubwa sana na ina wahuni wengi sana. Nyerere na Magufuli walipitiliza.
Ishi viziri na wazungu, huwezi kushindana na wazungu, Mzee Ruksa na JK walilijua hili. Usiwe mnoko sana kazini. Chunga mdomo wako, fanya mambo yako kimya kimya, ongea inapobidi.
Nchi sio ya baba yako utaondoka utaiacha, play your party, utakapokomea waachie wengine wamalizie.
Usiponde watangulizi wako. Kula bata, maisha ndio haya haya, Nyerere alikuwa anashindia mihogo, JPM alivyoingia Ikulu tu akatimua wapishi binafsi eti atapikiwa na mama yetu kipenzi mama Janeth.
Kiongozi yeyote ukifuata haya huenda ukaongeza siku mbili tatu za kuishi kinyume chake hutoboi.
Mandela mwenyewe alilijua hili, alipotoka jela wala hakujenga bifu na wazungu japo walimfunga mbuzi wale ila aliwasamehe, na alikula bata sana uzeeni. Miundombinu unayoiona South Africa mingi ilijengwa kipindi cha Kaburu.
Mwisho kabisa, usiwe mkweli sana, have some sort of hypocrites
Raia wengi wangekuwa wamekufa kutoka na yeyeNyerere played his part he ran the good race kijiti chake angepewa Magufuli tungekuwa mbali...but it is what it is..tunasonga mbele...
Sasa hv dawa ni mpasuko wa kweli CCM...can't wait for that day...be strong CCM you can do it...we need change...
Sisapoti Taifa kua matonya, bali ni njia gan itumike ku escape hili na sio dizain ile!!!
Dizain ya kutaka kupambana na mzungu while unamtegema!!Design ipi?!
Soma historia ya China...no pain no gainRaia wengi wangekuwa wamekufa kutoka na yeye
Dizain ya kutaka kupambana na mzungu while unamtegema!!
Tunahitaji wanasiasa wa kweli na sio wapiga deal,wasio waoga,waongo,wasiomaanisha wanayoyafanya na kuyasema Tukumbuke kwa wanasiasa tulionao,Sijui kama wana jipya hakika tuna safari ndefu ndefu ndugu zanguaka 2016 mpaka 2020 Tanzania iligubikwa na makelele ya Tundu Lisu aloyejiona yeye tu ndiyo mwenye haki ya kumshauri rais wa nchi wa wakati huo na ni lazima ushauri wake ufuatwe!
Hata hivyo hayati Magufuli alisimama imara na kupuuza makelele yote ya wakala wa mabeberu Tundu Lisu.
Kama hayati raisi Magufuli asingekuwa imara na akasikiliza makelele ya Lisu, haya hapa yangetokea Tanzania.
1. Tanzania tusingekuwa na bwawa la kufua umeme ambalo ni moja ya mabwawa makubwa barani Afrika. Urefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.
Tundu Lisu kwa kutumiwa na mbabeberu kwa ahadi ya kumlisha yeye na familia yake pamoja na kumpa hifadhi Ubelgiji alipinga sana ujenzi wa bwawa hili kwa kisingizio kwamba litasababisha uharibifu wa mazingira na mvua hazitanyesha tena Tanzania!. Leo mwaka 2023 bwawa linajazwa maji na Tanzania imegubikwa na mafuriko kila sehemu kwani mvua zinanyesha sana kinyume na utabiri wa Tundu Lisu.
2. Tanzania isingekuwa na ujenzi wa SGR .
Tundu Lisu alipinga sana ujenzi wa reli hii ya umeme na yenye kasi zaidi Afrika yote.
3. Serikali isingehamia Dodoma.
Tundu Lisu na Mbowe walipinga sana serikali kuhamia Dodoma wakisema huko ni kutesa watumishi na kwamba serikali ibaki tu Dares salaam kwa ndoto za mwl Nyerere zimepotwa na wakati. Hayati Magufuli aliziba masikio na leo serikali yote ipo Dodoma.
4. Kampuni ya madini ya Acacia ingekuwepo.
Licha ya kwamba Lisu amesoma kwa kodi za watanzania lakini aligeuka kuwa mwanasheria wa Acacia na akasema ataisaidia kutushitaki MIGA ,kama tukiendelea kuwadai hela za wizi wa makinikia. Hayati Magufuli aliendelea mbele hadi kampuni ya Acacia ikafutwa na kuzaliwa kampuni mpya ya Twiga ambayo watanzania wapo kwenye management na Tanzania yakafunguliwa masoko ya madini kila sehemu, na watanzania wakanufaika na madini yao.
5. Kenya na India zingeendelea kuongoza kwenye uuzaji wa madini ya Tanzanite .
Kutokana na ukweli madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu. Hayati Magufuli alichukua hatua kali sana za kudhibiti madini ya Tanzanite ikiwemo kujenga ukuta wa kuzunguka mgodi huo, hatua hizo zilipingwa mno na Lisu na akaita ni udikteta mkubwa kufanya hivy
Ila ujue na wao wanapenda kuwaa unavyosema ila wanajua watakufa siku si zaoTunahitaji wanasiasa wa kweli na sio wapiga deal,wasio waoga,waongo,wasiomaanisha wanayoyafanya na kuyasema Tukumbuke kwa wanasiasa tulionao,Sijui kama wana jipya hakika tuna safari ndefu ndefu ndugu zangu
Tuwaulize nyie CCM, sasa mimi tadea uniulize kuhusu maendeleo ya nchi hii kwa miaka zaid ya 60?Umemtegemea mzungu miaka 60 umepata nini?!
Kuna utofauti sana kati ya Nyerere na Magufuri, Nyerere alikuwa rafiki wa raia lakini Magufuri alikuwa rafiki wa Vyombo vya ulinzi na usalama.