Ukifuata life style ya Hayati Magufuli au Nyerere, kwa karne hii huwezi kuishi maisha marefu

Ukifuata life style ya Hayati Magufuli au Nyerere, kwa karne hii huwezi kuishi maisha marefu

Kanuni za kuongoza nchi ni mbili tu utaongoza salama utaishi miaka mingi ya raha na huru kama mzee Mwinyi na Kikwete.
1.Usiwaguse mkono wakuu wa dunia hii
2.Usiwasomeshe namba watu wako.

Ukiwasomesha namba watu wako wataungana na wakuu wa dunia utaondoka kwa uchaguzi au kuundiwa makundi ya waasi. Mfano Saddam na Gadafi.
Kwann ni ngumu kuiangusha Iran jibu watawala wa Iran wanacheza na kanuni namba 2.
Kosa kubwa Sana la saddam na Gadafi ni kutowaunganisha watu wao wawe kitu kimoja wangewalinda wasingekubali kuundiwa makundi ya magaidi. Wao waliamini zaidi nguvu za kijeshi na ulinzi imara waliokuwa nao kumbe ni takataka tu KWA wababe wa Dunia.
Silaha namba moja ni kuwaunganisha watu wako huwezi sambaratika.
 
Kanuni za kuongoza nchi ni mbili tu utaongoza salama utaishi miaka mingi ya raha na huru kama mzee Mwinyi na Kikwete.
1.Usiwaguse mkono wakuu wa dunia hii
2.Usiwasomeshe namba watu wako.

Ukiwasomesha namba watu wako wataungana na wakuu wa dunia utaondoka kwa uchaguzi au kuundiwa makundi ya waasi. Mfano Saddam na Gadafi.
Kwann ni ngumu kuiangusha Iran jibu watawala wa Iran wanacheza na kanuni namba 2.
Kosa kubwa Sana la saddam na Gadafi ni kutowaunganisha watu wao wawe kitu kimoja wangewalinda wasingekubali kuundiwa makundi ya magaidi. Wao waliamini zaidi nguvu za kijeshi na ulinzi imara waliokuwa nao kumbe ni takataka tu KWA wababe wa Dunia.
Silaha namba moja ni kuwaunganisha watu wako huwezi sambaratika.
Fact 100%
 
Ukiwa kiongozi usifanye uadui na watu Ili kupunguza chance ya kulipizwa kisasi, KWA historia ya duniani Hakuna mtawala yeyeto duniani aliyewahi Pambana na watu akawashinda. Utawashinda kimwili watakuja kiroho.
Yaani uwashinde mabeberu, freemason, wachawi, wapinzani, magaidi, waasi, wanamaombi, albadili, karma, machozi ya wananchi. We nani. Maisha ni leo sio kesho, tenda wema ongoza kwa haki, timiza wajibu wako ukiondoka umeondoka, tunaishi mara moja na sio mara mbili. Dunia ni nyama ya tembo Katu hutoiweza, zama zako zikipita zimepita. Leo Nyerere hata kizazi cha SAsa hakimjui.
 
Ukiwa kiongozi usifanye uadui na watu Ili kupunguza chance ya kulipizwa kisasi, KWA historia ya duniani Hakuna mtawala yeyeto duniani aliyewahi Pambana na watu akawashinda. Utawashinda kimwili watakuja kiroho.
Yaani uwashinde mabeberu, freemason, wachawi, wapinzani, magaidi, waasi, wanamaombi, albadili, karma, machozi ya wananchi. We nani. Maisha ni leo sio kesho, tenda wema ongoza kwa haki, timiza wajibu wako ukiondoka umeondoka, tunaishi mara moja na sio mara mbili. Dunia ni nyama ya tembo Katu hutoiweza, zama zako zikipita zimepita. Leo Nyerere hata kizazi cha SAsa hakimjui.
Kweli kabisa
 
Ukiwa kiongozi usifanye uadui na watu Ili kupunguza chance ya kulipizwa kisasi, KWA historia ya duniani Hakuna mtawala yeyeto duniani aliyewahi Pambana na watu akawashinda. Utawashinda kimwili watakuja kiroho.
Yaani uwashinde mabeberu, freemason, wachawi, wapinzani, magaidi, waasi, wanamaombi, albadili, karma, machozi ya wananchi. We nani. Maisha ni leo sio kesho, tenda wema ongoza kwa haki, timiza wajibu wako ukiondoka umeondoka, tunaishi mara moja na sio mara mbili. Dunia ni nyama ya tembo Katu hutoiweza, zama zako zikipita zimepita. Leo Nyerere hata kizazi cha SAsa hakimjui.
Umesema kweli
 
Kanuni za kuongoza nchi ni mbili tu utaongoza salama utaishi miaka mingi ya raha na huru kama mzee Mwinyi na Kikwete.
1.Usiwaguse mkono wakuu wa dunia hii
2.Usiwasomeshe namba watu wako.

Ukiwasomesha namba watu wako wataungana na wakuu wa dunia utaondoka kwa uchaguzi au kuundiwa makundi ya waasi. Mfano Saddam na Gadafi.
Kwann ni ngumu kuiangusha Iran jibu watawala wa Iran wanacheza na kanuni namba 2.
Kosa kubwa Sana la saddam na Gadafi ni kutowaunganisha watu wao wawe kitu kimoja wangewalinda wasingekubali kuundiwa makundi ya magaidi. Wao waliamini zaidi nguvu za kijeshi na ulinzi imara waliokuwa nao kumbe ni takataka tu KWA wababe wa Dunia.
Silaha namba moja ni kuwaunganisha watu wako huwezi sambaratika.
Uko sahihi bosi
 
Ni kweli kabisa uliyoyasema lakini kitu ambacho hukijui ni kwamba hao watu wa namna hiyo ya Nyerere na Magufuli huwa wameumbwa na hizo falsafa na kamwe hawawezi kuzibadili na kufuata ushauri ulioutoa !! Yaani wamezaliwa hivyo na hawawezi kujibadili!! Masuala ya kula Bata hiyo ni mindset ya kila mtu na kile anachokipenda !! Mkuu binadamu hatulingani kile ukipendacho sana wewe huenda mimi na wengi tu hatukipendi kabisa. !! Watu wengine wanafurahia kuwaona wenzao wanataabika na maisha ilhali wao wanakula Bata lakini kwa wengine ni opposite reaction ! Hawapendi kabisa kuona kitu Hiyo. !! Che Guevara alisema. “ it’s better to die standing than to live kneeling !! Ishi utakavyo ishi lakini utakufa tu !!
Kuna kaukweli
 
Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.

Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶

Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo kupitiliza,hii nchi ni kubwa sana na ina wahuni wengi sana. Nyerere na Magufuli walipitiliza.

Ishi viziri na wazungu, huwezi kushindana na wazungu, Mzee Ruksa na JK walilijua hili. Usiwe mnoko sana kazini. Chunga mdomo wako, fanya mambo yako kimya kimya, ongea inapobidi.

Nchi sio ya baba yako utaondoka utaiacha, play your party, utakapokomea waachie wengine wamalizie.

Usiponde watangulizi wako. Kula bata, maisha ndio haya haya, Nyerere alikuwa anashindia mihogo, JPM alivyoingia Ikulu tu akatimua wapishi binafsi eti atapikiwa na mama yetu kipenzi mama Janeth.

Kiongozi yeyote ukifuata haya huenda ukaongeza siku mbili tatu za kuishi kinyume chake hutoboi.

Mandela mwenyewe alilijua hili, alipotoka jela wala hakujenga bifu na wazungu japo walimfunga mbuzi wale ila aliwasamehe, na alikula bata sana uzeeni. Miundombinu unayoiona South Africa mingi ilijengwa kipindi cha Kaburu.

Mwisho kabisa, usiwe mkweli sana, have some sort of hypocrites
Najua hujui lkn unajua
 
Nyerere played his part he ran the good race kijiti chake angepewa Magufuli tungekuwa mbali...but it is what it is..tunasonga mbele...

Sasa hv dawa ni mpasuko wa kweli CCM...can't wait for that day...be strong CCM you can do it...we need change...
Raia wengi wangekuwa wamekufa kutoka na yeye
 
aka 2016 mpaka 2020 Tanzania iligubikwa na makelele ya Tundu Lisu aloyejiona yeye tu ndiyo mwenye haki ya kumshauri rais wa nchi wa wakati huo na ni lazima ushauri wake ufuatwe!
Hata hivyo hayati Magufuli alisimama imara na kupuuza makelele yote ya wakala wa mabeberu Tundu Lisu.

Kama hayati raisi Magufuli asingekuwa imara na akasikiliza makelele ya Lisu, haya hapa yangetokea Tanzania.

1. Tanzania tusingekuwa na bwawa la kufua umeme ambalo ni moja ya mabwawa makubwa barani Afrika. Urefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.
Tundu Lisu kwa kutumiwa na mbabeberu kwa ahadi ya kumlisha yeye na familia yake pamoja na kumpa hifadhi Ubelgiji alipinga sana ujenzi wa bwawa hili kwa kisingizio kwamba litasababisha uharibifu wa mazingira na mvua hazitanyesha tena Tanzania!. Leo mwaka 2023 bwawa linajazwa maji na Tanzania imegubikwa na mafuriko kila sehemu kwani mvua zinanyesha sana kinyume na utabiri wa Tundu Lisu.

2. Tanzania isingekuwa na ujenzi wa SGR .
Tundu Lisu alipinga sana ujenzi wa reli hii ya umeme na yenye kasi zaidi Afrika yote.

3. Serikali isingehamia Dodoma.
Tundu Lisu na Mbowe walipinga sana serikali kuhamia Dodoma wakisema huko ni kutesa watumishi na kwamba serikali ibaki tu Dares salaam kwa ndoto za mwl Nyerere zimepotwa na wakati. Hayati Magufuli aliziba masikio na leo serikali yote ipo Dodoma.

4. Kampuni ya madini ya Acacia ingekuwepo.
Licha ya kwamba Lisu amesoma kwa kodi za watanzania lakini aligeuka kuwa mwanasheria wa Acacia na akasema ataisaidia kutushitaki MIGA ,kama tukiendelea kuwadai hela za wizi wa makinikia. Hayati Magufuli aliendelea mbele hadi kampuni ya Acacia ikafutwa na kuzaliwa kampuni mpya ya Twiga ambayo watanzania wapo kwenye management na Tanzania yakafunguliwa masoko ya madini kila sehemu, na watanzania wakanufaika na madini yao.

5. Kenya na India zingeendelea kuongoza kwenye uuzaji wa madini ya Tanzanite .
Kutokana na ukweli madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu. Hayati Magufuli alichukua hatua kali sana za kudhibiti madini ya Tanzanite ikiwemo kujenga ukuta wa kuzunguka mgodi huo, hatua hizo zilipingwa mno na Lisu na akaita ni udikteta mkubwa kufanya hivy
Tunahitaji wanasiasa wa kweli na sio wapiga deal,wasio waoga,waongo,wasiomaanisha wanayoyafanya na kuyasema Tukumbuke kwa wanasiasa tulionao,Sijui kama wana jipya hakika tuna safari ndefu ndefu ndugu zangu
 
Tunahitaji wanasiasa wa kweli na sio wapiga deal,wasio waoga,waongo,wasiomaanisha wanayoyafanya na kuyasema Tukumbuke kwa wanasiasa tulionao,Sijui kama wana jipya hakika tuna safari ndefu ndefu ndugu zangu
Ila ujue na wao wanapenda kuwaa unavyosema ila wanajua watakufa siku si zao
 
Back
Top Bottom