Ukifuatilia kesi ya Nawanda kwa ukaribu utaona kabisa alitengenezewa zengwe. Viongozi chukuweni tahadhari, mahasimu wako kazini!

Ukifuatilia kesi ya Nawanda kwa ukaribu utaona kabisa alitengenezewa zengwe. Viongozi chukuweni tahadhari, mahasimu wako kazini!

Suala la kuwa na familia lina husiana vipi hapo?

Acha kuchanganya habari.habari.
Ni circumstantial evidence yaani umeenda klabu saa 8 usiku unakaa na kibinti kwenye gari alafu ukiambiwa umelawiti unakataa sasa ukiulizwa saa 8 ulikua unafanya nini klabu ya usiku unajibuje? Acheni kutetea ujinga, kiongozi unapaswa kuwa na maadili
 
CCM ni chama kikubwa ambacho akiwezi kujihusisha na kutetea ufedhuli kama huu
Si kweli, kesi nyingi tu za udhalilishaji wa ngono na rushwa ya ngono zilichunguzwa na TAKUKURU na JPM kupewa ripoti ile 2020 ila hakuna hatua alichukua. Same to Mama samia kesi ya gekul na hii ya Nawanda mbona kamati za maadili CCM hazijawavua uanachama kupisha uchunguzi?

Hivyo CCM haijawahi kupinga hadharani ufedhuli.
 
Ni circumstantial evidence yaani umeenda klabu saa 8 usiku unakaa na kibinti kwenye gari alafu ukiambiwa umelawiti unakataa sasa ukiulizwa saa 8 ulikua unafanya nini klabu ya usiku unajibuje? Acheni kutetea ujinga, kiongozi unapaswa kuwa na maadili
Huyo binti nae saa 8 usiku alienda kufuata nini kwenye magari ya watu?
 
Kwamba kumuingilia mwanamke let alone anally bila consent ni sawa kwako? Imagine hujajiandaa hata kiusafi, diet, kisaikolojia, wala vilainishi jitu limuingilie tu kinyume hivi ungekubali wewe binafsi? Lazima hapo maumivu yalikua sio ya kawaida then watu mnasema kitoto kisichojielewa?
Unataka nikujibu ili ionekane nakosea au? Kwenye ukweli huwa nasimama hapo haijalishi kipi ni kipii.

Hivi umesikia maelezo ya huyo binti toka day 1 kuhusu hilo sualaa?
Sisi wengine tukianza kufungukaa hapa, huyo Dr nawanda anakua nje na case inaishia hapo.

Kwanini wanachelewesha kupeleka mahakamani hiyo case? Ili ukweli ukajulikane huko? Tatizo mie sina taaluma ya u wakili, aidha hawaruhusiwi wasio mawakili, waniazime kwa muda niwe wakili hasa ktk hizi case za ulawiti nisimamie,

Narudia tena huyo binti hajielewi na ni chakaramuu. Full stop.
 
Mkuu kwan alipofika tu ndio wakafanya hilo tendo kwamba hawakuwa na mazungumzo yoyote.

Maana inasemekana walikua ni wapenzi kitambo kidogo baadae wakatofautiana baada ya mheshimiwa kuomba apewe mapenzi kinyume na maumbile. Hivyo siku wanakutana mheshimiwa alitaka kuomba radhi pamoja na kuendeleza roho yake ya usodoma ili apate alichokua akikihitaji.
Hawa maRC wanalipwa hela nyingi mpaka wanachanganyikiwa matumizi
 
Ni circumstantial evidence yaani umeenda klabu saa 8 usiku unakaa na kibinti kwenye gari alafu ukiambiwa umelawiti unakataa sasa ukiulizwa saa 8 ulikua unafanya nini klabu ya usiku unajibuje? Acheni kutetea ujinga, kiongozi unapaswa kuwa na maadili
Kuna sehemu kuwa club usiku kwa waziri au kiongozi ni utovu wa maadili? Wakuulizwa ni kabinti ambako kanapaswa kuwa shule mkuu wa mkoa ambaye anaweza pia kuwa anatekeleza majukumu yake. We pimbi kweli
 
RC alikuwa ni mpenzi wake
Sasa kumbe ni wapenzi, mambo ya kupelekana mahakamani yanakujaje kama siyo kuharibiana CV?

Mimi nikuambie ukweli, mwanamke kama hataki huwezi kuingiza uume, labda muwe wengi mumfunge kamba.

Kesi za ubakaji sijui ulawiti za watu wazima one on one nyingi ni feki.

Wanakuwaga wamekubali, baadae anakubadilikia.

Ndio maana mimi siwezi kuunga mkono hizi kesi za mchongo.
 
Kuna sehemu kuwa club usiku kwa waziri au kiongozi ni utovu wa maadili? Wakuulizwa ni kabinti ambako kanapaswa kuwa shule mkuu wa mkoa ambaye anaweza pia kuwa anatekeleza majukumu yake. We pimbi kweli
MTU Una miaka 50+ unaanza kufatilia uchi wa mwananfunzi ambaye ni sawa na mwanao wa mwisho

Ngoja aende jela akawe mboga
 
Si kweli, kesi nyingi tu za udhalilishaji wa ngono na rushwa ya ngono zilichunguzwa na TAKUKURU na JPM kupewa ripoti ile 2020 ila hakuna hatua alichukua. Same to Mama samia kesi ya gekul na hii ya Nawanda mbona kamati za maadili CCM hazijawavua uanachama kupisha uchunguzi?

Hivyo CCM haijawahi kupinga hadharani ufedhuli.
Hapo ndio uelewe CCM ni chama fair, na inachojua mipaka yake na kuheshimu taratibu za sheria.

Kwa Gekul na huyu poyoyo mwingine CCM kwa nafasi yake iliwaondolea kinga za utumishi wa serikali watuhumiwa wakajitete wenyewe huko watakopelekwa kujibu makosa yao (hawana Kinga ya mwenyekiti).

Hiyo ni kusema mwenyekiti wa chama cha mapinduzi hataki nafasi zake za uteuzi ziwe kigezo cha kuzuia uchunguzi na hataki kuingilia kazi za wengine (ndio maana tuhuma za watu hovyo, aliwatengua).

Kwa hivyo usiihusishe CCM na mijitu ya hovyo ambayo mwenyekitI kawapa nafasi mamlaka za haki ziangaike nao kama wana Mąkosa washughulikiwe huko huko bila ya yeye kuingilia kesi.

CCM sio chama kulea watu wa hovyo, alikadhalika akiingilia sheria za nchi. Uozo wa watu kutokuchukua hatua ni DPP na pressure groups.
 
Sasa kumbe ni wapenzi, mambo ya kupelekana mahakamani yanakujaje kama siyo kuharibiana CV?

Mimi nikuambie ukweli, mwanamke kama hataki huwezi kuingiza uume, labda muwe wengi mumfunge kamba.

Kesi za ubakaji sijui ulawiti za watu wazima one on one nyingi ni feki.

Wanakuwaga wamekubali, baadae anakubadilikia.

Ndio maana mimi siwezi kuunga mkono hizi kesi za mchongo.
Kwani ulishawahi kufanya hivyo mkuu maana unaongea kama mtu mwenye uzoefu nayo.

Usitetee maovu mkuu ambayo hata Mungu mwenyewe anayakemea. Kitendo tu cha kumuuingilia mtu kinyume na maumbile ni kosa kubwa sana haijalishi amekubali ama hajakubali.
 
Back
Top Bottom