Teleskopu
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 702
- 767
No one will be part of the New World Order
unless he carries out an act of worship to Lucifer.
No one will enter the New Age unless he receives Luciferian initiation.
Maana yake:
Hakuna mtu atakayekuwa sehemu ya New World Order
Hadi afanye kitendo cha ibada kwa Lusifa.
Hakuna atakayeingia kwenye Enzi Mpya hadi aingizwe kwenye ushetani.
-David Spangler, Director of United Nations Planetary Initiative Project (1978)
……………….
Mwaka 1991, David Rockefeller aliandika:
“The world is ready for a world government. The supranational sovereignty of an intellectual elite and world bankers is certainly preferable to the national self-determination practiced in past centuries … We are on the verge of a global transformation. All we need is the ‘right’ global crisis and the nations will accept the New World Order.”
Maana yake:
“Dunia iko tayari kwa ajili ya serikali ya dunia. Mamlaka iliyo juu ya mataifa inayoundwa na kikundi cha wenye akili na wana benki ya dunia hakika ni bora kuliko mamlaka ya kitaifa yaliyokuwa yakitumika kwenye karne zilizopita … Tuko karibu na mabadiliko ya kidunia. Tunachohitaji tu ni mgogoro wa kidunia na mataifa yatakubali New World Order.
………………..
MASWALI
Je, umeona mambo haya?
Sikiliza video ya public health chief wa Australia akiongea kwenye press conference hii uone jinsi ambavyo Australia TAYARI wameshaanza kuongelea New World Order kama serikali. Hii ni ya tarehe 9/9/2021 - hata wiki haijaisha.
Ndugu yangu, kama unachofikiri ni kuwa unapambana na homa ya mapafu;
Think some more!!
Utakuja kushituka ulishaingia zamani kwenye LUCIFERIAN INITIATION.
unless he carries out an act of worship to Lucifer.
No one will enter the New Age unless he receives Luciferian initiation.
Maana yake:
Hakuna mtu atakayekuwa sehemu ya New World Order
Hadi afanye kitendo cha ibada kwa Lusifa.
Hakuna atakayeingia kwenye Enzi Mpya hadi aingizwe kwenye ushetani.
-David Spangler, Director of United Nations Planetary Initiative Project (1978)
……………….
Mwaka 1991, David Rockefeller aliandika:
“The world is ready for a world government. The supranational sovereignty of an intellectual elite and world bankers is certainly preferable to the national self-determination practiced in past centuries … We are on the verge of a global transformation. All we need is the ‘right’ global crisis and the nations will accept the New World Order.”
Maana yake:
“Dunia iko tayari kwa ajili ya serikali ya dunia. Mamlaka iliyo juu ya mataifa inayoundwa na kikundi cha wenye akili na wana benki ya dunia hakika ni bora kuliko mamlaka ya kitaifa yaliyokuwa yakitumika kwenye karne zilizopita … Tuko karibu na mabadiliko ya kidunia. Tunachohitaji tu ni mgogoro wa kidunia na mataifa yatakubali New World Order.
………………..
MASWALI
- Supranational sovereignty (serikali iliyo juu ya mataifa) itaongozwa na nani?
- Global transformation itabadilisha mambo gani?
- Global crisis (mgogoro wa kidunia) umeshapatikana au bado?
- Mataifa yatakubali NWO – yameshaanza kukubali au bado?
Je, umeona mambo haya?
- Spangler si mchungaji bali ni mtu wa Umoja wa Mataifa.
- Umoja wa Mataifa ni secular institution.
- Sasa Umoja wa Mataifa na shetani wapi na wapi?
- Je, unaona kuwa haya ni mambo ya kiroho ndani ya secular institution?
- Unajifunza nini hapo?
Sikiliza video ya public health chief wa Australia akiongea kwenye press conference hii uone jinsi ambavyo Australia TAYARI wameshaanza kuongelea New World Order kama serikali. Hii ni ya tarehe 9/9/2021 - hata wiki haijaisha.
Ndugu yangu, kama unachofikiri ni kuwa unapambana na homa ya mapafu;
Think some more!!
Utakuja kushituka ulishaingia zamani kwenye LUCIFERIAN INITIATION.