Ukifungua macho yako, kila kitu kiko wazi

Ukifungua macho yako, kila kitu kiko wazi

Teleskopu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
702
Reaction score
767
No one will be part of the New World Order
unless he carries out an act of worship to Lucifer.
No one will enter the New Age unless he receives Luciferian initiation.

Maana yake:
Hakuna mtu atakayekuwa sehemu ya New World Order
Hadi afanye kitendo cha ibada kwa Lusifa.
Hakuna atakayeingia kwenye Enzi Mpya hadi aingizwe kwenye ushetani.
-David Spangler, Director of United Nations Planetary Initiative Project (1978)
……………….

Mwaka 1991, David Rockefeller aliandika:

“The world is ready for a world government. The supranational sovereignty of an intellectual elite and world bankers is certainly preferable to the national self-determination practiced in past centuries … We are on the verge of a global transformation. All we need is the ‘right’ global crisis and the nations will accept the New World Order.”

Maana yake:
“Dunia iko tayari kwa ajili ya serikali ya dunia. Mamlaka iliyo juu ya mataifa inayoundwa na kikundi cha wenye akili na wana benki ya dunia hakika ni bora kuliko mamlaka ya kitaifa yaliyokuwa yakitumika kwenye karne zilizopita … Tuko karibu na mabadiliko ya kidunia. Tunachohitaji tu ni mgogoro wa kidunia na mataifa yatakubali New World Order.
………………..
MASWALI
  • Supranational sovereignty (serikali iliyo juu ya mataifa) itaongozwa na nani?
  • Global transformation itabadilisha mambo gani?
  • Global crisis (mgogoro wa kidunia) umeshapatikana au bado?
  • Mataifa yatakubali NWO – yameshaanza kukubali au bado?
………..
Je, umeona mambo haya?
  • Spangler si mchungaji bali ni mtu wa Umoja wa Mataifa.
  • Umoja wa Mataifa ni secular institution.
  • Sasa Umoja wa Mataifa na shetani wapi na wapi?
  • Je, unaona kuwa haya ni mambo ya kiroho ndani ya secular institution?
  • Unajifunza nini hapo?
……………….
Sikiliza video ya public health chief wa Australia akiongea kwenye press conference hii uone jinsi ambavyo Australia TAYARI wameshaanza kuongelea New World Order kama serikali. Hii ni ya tarehe 9/9/2021 - hata wiki haijaisha.
Ndugu yangu, kama unachofikiri ni kuwa unapambana na homa ya mapafu;
Think some more!!
Utakuja kushituka ulishaingia zamani kwenye LUCIFERIAN INITIATION.
 
Sasa tufanyaje mkuu..
Ukiliona jambo hili kwa namna ya kimwili, ni busara kujiepusha na hizi sindano maana lengo lake si afya yako.
Lakini tatizo ni kuwa hata ukilitazama kimwili, mambo haya yanakuja tu, mwisho wake kabisa yataishia kiroho.
Hapo ndipo penye hekima ya mwisho mkuu.

Ufunuo 13.16 Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
13.17 tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
13.18 Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
……

Niliandika post kumhusu Bill gate na patent yake WO2020060606
Unaweza kuisoma hapa --- Nafasi ya Bill Gates na sekeseke linaloendelea duniani

JIBU NI NINI BASI?

YESU
 
Tukikataa chanzo tunakuwa tumekwepa hiyo serikali moja ya kidunia? Na tutakuwa tumemkataa shetani sio?
 
Yaani huu mtihani atakefeli MUNGU atamuadhibu vikali kabisa Yaani umeshapewa format ya mtihani wote na Kila linalotokea unalielewa na bado ufeli Aisee itakula kwako.

Tumshukuru MUNGU kwa wema kwa maana fadhili zake ni milele.
 
Yaani ujinga na ligazeti loote hili nia ni kupinga chanjo????? Kweli ujinga ni mzigo kweli kweli!!
 
Tukikataa chanzo tunakuwa tumekwepa hiyo serikali moja ya kidunia? Na tutakuwa tumemkataa shetani sio?
Ni zaidi ya hapo.
Mambo yakishaanza kuingia rohoni, nguvu za mwili hazifui dafu.
One world government ni serikali ya lusifa.
Na LAZIMA inakuja,
hilo ndilo limekuwa lengo mama la waanzilishi wa Umoja wa Mataifa.

KIla mara najaribu kueleza mambo haya kama yalivyo kwenye secular dimension,
maana nikigusa upande wa rohoni, post zinafutwa.
Lakini jibu la mambo haya liko rohoni.

Serikali ya lusifa inakuja
Watu watapigwa chapa; na huu ndio mwanzo
Lakini jibu la kupona halitoki kwenye serikali,
bali kwa aliyeumba mbingu na nchi,
ambaye ni YESU.

Jana niliweka post inayohusu namna ambavyo Yesu alishatahadharisha suala la chanjo hii tangu 2012.
Lakini post haikukaa hata nusu saa, ikafutwa.
Niliweka kitu hiki ambacho unaweza kukisearch mtandaoni na ukakiona - TANGU 2012 KAMA MAMBO YALIVYO SASA
Screen Shot 2021-09-14 at 4.08.10 PM.png
 
Kuna maandalizi makubwa ya NEW WORLD ODER lakini Biblia inaeleza kwamba ile chapa itafanya kazi baada ya unyakuo wa Kanisa
Naamini ni hivyo ila pia naamini haya ni sehemu ya maandalizi ya jambo hilo. Ndio maana kwenye post yangu hii - Nafasi ya Bill Gates na sekeseke linaloendelea duniani - tuliona kuwa bill gate ameandaa teknolojia ambayo inahusiana na cryptocurrency kwa ajili ya dunia nzima na namba ya patent ni WO2020060606
 
Back
Top Bottom