Ukifungua macho yako, kila kitu kiko wazi

Ukifungua macho yako, kila kitu kiko wazi

Kule China delta karudi kwa kasi ya 5G..yaani ni show show.
Na hujakosea unaposema "kwa 5G" - umeongea kinabii kwelikweli - maana huu wote ni uongo wa globalists. Chanjo nyingi zimegundulika kuw ana graphine oxide. Hii inakuwa excited na mawimbi ya 5G. Wakibadilisha setting kwenye frequency fulani, graphine oxide inaamka ndani ya waliochanjwa na ina dalili zote za covid. Hiyo ndiyo hila ambayo mataifa yanaingizwa na hawajielewi.

Sikiliza hapa -
 
Ni zaidi ya hapo.
Mambo yakishaanza kuingia rohoni, nguvu za mwili hazifui dafu.
One world government ni serikali ya lusifa.
Na LAZIMA inakuja,
hilo ndilo limekuwa lengo mama la waanzilishi wa Umoja wa Mataifa.

KIla mara najaribu kueleza mambo haya kama yalivyo kwenye secular dimension,
maana nikigusa upande wa rohoni, post zinafutwa.
Lakini jibu la mambo haya liko rohoni.

Serikali ya lusifa inakuja
Watu watapigwa chapa; na huu ndio mwanzo
Lakini jibu la kupona halitoki kwenye serikali,
bali kwa aliyeumba mbingu na nchi,
ambaye ni YESU.

Jana niliweka post inayohusu namna ambavyo Yesu alishatahadharisha suala la chanjo hii tangu 2012.
Lakini post haikukaa hata nusu saa, ikafutwa.
Niliweka kitu hiki ambacho unaweza kukisearch mtandaoni na ukakiona - TANGU 2012 KAMA MAMBO YALIVYO SASA
View attachment 1938213
Well,

Tunaweza vipi kujinasua kwenye hiyo serikali moja ya lusifa
 
Well,

Tunaweza vipi kujinasua kwenye hiyo serikali moja ya lusifa
Jibu ndio hilo nililosema mkuu.
Ni kumkimbilia Yeye aliye na nguvu kuliko lusifa - yaani Yesu
Anasema hivi ---
Ufunuo 3.10
Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, MIMI NAMI NITAKULINDA, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi.
 
Ni zaidi ya hapo.
Mambo yakishaanza kuingia rohoni, nguvu za mwili hazifui dafu.
One world government ni serikali ya lusifa.
Na LAZIMA inakuja,
hilo ndilo limekuwa lengo mama la waanzilishi wa Umoja wa Mataifa.

KIla mara najaribu kueleza mambo haya kama yalivyo kwenye secular dimension,
maana nikigusa upande wa rohoni, post zinafutwa.
Lakini jibu la mambo haya liko rohoni.

Serikali ya lusifa inakuja
Watu watapigwa chapa; na huu ndio mwanzo
Lakini jibu la kupona halitoki kwenye serikali,
bali kwa aliyeumba mbingu na nchi,
ambaye ni YESU.

Jana niliweka post inayohusu namna ambavyo Yesu alishatahadharisha suala la chanjo hii tangu 2012.
Lakini post haikukaa hata nusu saa, ikafutwa.
Niliweka kitu hiki ambacho unaweza kukisearch mtandaoni na ukakiona - TANGU 2012 KAMA MAMBO YALIVYO SASA
View attachment 1938213
mkuu hata mm niliwahi kuweka bandiko huku lakini mods wakalifuta zaidi ya mara 3, hii inaonesha jinsi gani watu wanatumiwa na shetani ili kuzuia kufikisha ujumbe kama huu

ila naamini yeyote alie na masikio na asikie..mwenye macho na aone, we are living in the last days before antichrist to take over!!
 
mkuu hata mm niliwahi kuweka bandiko huku lakini mods wakalifuta zaidi ya mara 3, hii inaonesha jinsi gani watu wanatumiwa na shetani ili kuzuia kufikisha ujumbe kama huu

ila naamini yeyote alie na masikio na asikie..mwenye macho na aone, we are living in the last days before antichrist to take over!!
Amina mkuu.
Mungu aokoaye awasaidie watu waone kile ambacho kinaingia kwa KASI duniani sasa.
Ni kweli kabisa hizi ni nyakati za antichrist.
 
Jibu ndio hilo nililosema mkuu.
Ni kumkimbilia Yeye aliye na nguvu kuliko lusifa - yaani Yesu
Anasema hivi ---
Ufunuo 3.10
Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, MIMI NAMI NITAKULINDA, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi.
hakika...Yesu pekee ndio jibu la mambo haya yote, ni muda wa kutubu na kuacha dhambi, unyakuo wa kanisa umekaribia sana

youtube kuna video nyingi sana za watu wakishuhudia kuota ndoto za kurudi kwa Yesu, hiki ndicho kinasubiriwa kitokee ili yule muharibifu aweze kuanza kazi yake
 
Na hujakosea unaposema "kwa 5G" - umeongea kinabii kwelikweli - maana huu wote ni uongo wa globalists. Chanjo nyingi zimegundulika kuw ana graphine oxide. Hii inakuwa excited na mawimbi ya 5G. Wakibadilisha setting kwenye frequency fulani, graphine oxide inaamka ndani ya waliochanjwa na ina dalili zote za covid. Hiyo ndiyo hila ambayo mataifa yanaingizwa na hawajielewi.

Sikiliza hapa -
[emoji419]
JamiiForums-86000861.jpg
 
Jibu ndio hilo nililosema mkuu.
Ni kumkimbilia Yeye aliye na nguvu kuliko lusifa - yaani Yesu
Anasema hivi ---
Ufunuo 3.10
Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, MIMI NAMI NITAKULINDA, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi.
Chief,

Tunaweza kuishi katika roho tukiwa katika Dunia ya mwili?
 
Chief,

Tunaweza kuishi katika roho tukiwa katika Dunia ya mwili?
Mkuu inawezekana, japo kuishi katika roho duniani ni kwa namna tofauti na kuishi katika roho baada ya kifa. Kwa hapa hicho ni kitendo cha kuchagua upande kwa kila jambo ufanyalo. Mfano, unapokasirishwa, moyoni yanakuja mambo mawili - nimtukane/nimpige au nimsamehe. Mungu anataka usamehe. Ukikubaliana na Mungu, hapo tayari umeendemda kiroho. ---- Karibu kila kitu maishani kina hiyo binary choice.
 
Bora ije.
Hii dunia ya kizamani imepitwa na wakati
Sio bora mkuu.
Na ikija haiji kwa ajili yako, bali ni kwa ajili yao.
Wewe utakuwa mtumwa wao.
Itakuwa ni serikali ya kidikteta, sio ya kdemokrasia
 
hakika...Yesu pekee ndio jibu la mambo haya yote, ni muda wa kutubu na kuacha dhambi, unyakuo wa kanisa umekaribia sana

youtube kuna video nyingi sana za watu wakishuhudia kuota ndoto za kurudi kwa Yesu, hiki ndicho kinasubiriwa kitokee ili yule muharibifu aweze kuanza kazi yake
Uko sahihi kabisa mkuu
 
Wenye macho na ufahamu ndio wanao elewa kwa Bahati wanakuwa wachache sana.

Mada kama hizi waliochoma chanjo wakisoma wanapanic kweli. Hakuna namna Chanjo ni hiyari uliende mwenyewe bila kulazimishwa wala kushawishiwa na ulikuwa na Akili timamu ndo maana Fomu ukajaza,
Ni swala la wakati na Muda tu
 
Wenye macho na ufahamu ndio wanao elewa kwa Bahati wanakuwa wachache sana.

Mada kama hizi waliochoma chanjo wakisoma wanapanic kweli. Hakuna namna Chanjo ni hiyari uliende mwenyewe bila kulazimishwa wala kushawishiwa na ulikuwa na Akili timamu ndo maana Fomu ukajaza,
Ni swala la wakati na Muda tu
Ni kweli mkuu.
Lakini bado pia tunawaombea Mungu na kujaribu kuwashawishi wasirudie kuchoma zaidi,
maana hawa tu hawawezi kuishia chanjo moja - wataleta na zingine
 
Hili ni lazima litimie ili yaliyo tabiriwa kwenye maandiko yatimie pia. Everything's God plan. Tujanjaruke usikubali hii order kwa binafsi yako
 
Back
Top Bottom