Na hujakosea unaposema "kwa 5G" - umeongea kinabii kwelikweli - maana huu wote ni uongo wa globalists. Chanjo nyingi zimegundulika kuw ana graphine oxide. Hii inakuwa excited na mawimbi ya 5G. Wakibadilisha setting kwenye frequency fulani, graphine oxide inaamka ndani ya waliochanjwa na ina dalili zote za covid. Hiyo ndiyo hila ambayo mataifa yanaingizwa na hawajielewi.Kule China delta karudi kwa kasi ya 5G..yaani ni show show.
Well,Ni zaidi ya hapo.
Mambo yakishaanza kuingia rohoni, nguvu za mwili hazifui dafu.
One world government ni serikali ya lusifa.
Na LAZIMA inakuja,
hilo ndilo limekuwa lengo mama la waanzilishi wa Umoja wa Mataifa.
KIla mara najaribu kueleza mambo haya kama yalivyo kwenye secular dimension,
maana nikigusa upande wa rohoni, post zinafutwa.
Lakini jibu la mambo haya liko rohoni.
Serikali ya lusifa inakuja
Watu watapigwa chapa; na huu ndio mwanzo
Lakini jibu la kupona halitoki kwenye serikali,
bali kwa aliyeumba mbingu na nchi,
ambaye ni YESU.
Jana niliweka post inayohusu namna ambavyo Yesu alishatahadharisha suala la chanjo hii tangu 2012.
Lakini post haikukaa hata nusu saa, ikafutwa.
Niliweka kitu hiki ambacho unaweza kukisearch mtandaoni na ukakiona - TANGU 2012 KAMA MAMBO YALIVYO SASA
View attachment 1938213
Jibu ndio hilo nililosema mkuu.Well,
Tunaweza vipi kujinasua kwenye hiyo serikali moja ya lusifa
mkuu hata mm niliwahi kuweka bandiko huku lakini mods wakalifuta zaidi ya mara 3, hii inaonesha jinsi gani watu wanatumiwa na shetani ili kuzuia kufikisha ujumbe kama huuNi zaidi ya hapo.
Mambo yakishaanza kuingia rohoni, nguvu za mwili hazifui dafu.
One world government ni serikali ya lusifa.
Na LAZIMA inakuja,
hilo ndilo limekuwa lengo mama la waanzilishi wa Umoja wa Mataifa.
KIla mara najaribu kueleza mambo haya kama yalivyo kwenye secular dimension,
maana nikigusa upande wa rohoni, post zinafutwa.
Lakini jibu la mambo haya liko rohoni.
Serikali ya lusifa inakuja
Watu watapigwa chapa; na huu ndio mwanzo
Lakini jibu la kupona halitoki kwenye serikali,
bali kwa aliyeumba mbingu na nchi,
ambaye ni YESU.
Jana niliweka post inayohusu namna ambavyo Yesu alishatahadharisha suala la chanjo hii tangu 2012.
Lakini post haikukaa hata nusu saa, ikafutwa.
Niliweka kitu hiki ambacho unaweza kukisearch mtandaoni na ukakiona - TANGU 2012 KAMA MAMBO YALIVYO SASA
View attachment 1938213
Amina mkuu.mkuu hata mm niliwahi kuweka bandiko huku lakini mods wakalifuta zaidi ya mara 3, hii inaonesha jinsi gani watu wanatumiwa na shetani ili kuzuia kufikisha ujumbe kama huu
ila naamini yeyote alie na masikio na asikie..mwenye macho na aone, we are living in the last days before antichrist to take over!!
hakika...Yesu pekee ndio jibu la mambo haya yote, ni muda wa kutubu na kuacha dhambi, unyakuo wa kanisa umekaribia sanaJibu ndio hilo nililosema mkuu.
Ni kumkimbilia Yeye aliye na nguvu kuliko lusifa - yaani Yesu
Anasema hivi ---
Ufunuo 3.10
Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, MIMI NAMI NITAKULINDA, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi.
[emoji419]Na hujakosea unaposema "kwa 5G" - umeongea kinabii kwelikweli - maana huu wote ni uongo wa globalists. Chanjo nyingi zimegundulika kuw ana graphine oxide. Hii inakuwa excited na mawimbi ya 5G. Wakibadilisha setting kwenye frequency fulani, graphine oxide inaamka ndani ya waliochanjwa na ina dalili zote za covid. Hiyo ndiyo hila ambayo mataifa yanaingizwa na hawajielewi.
Sikiliza hapa -
Chief,Jibu ndio hilo nililosema mkuu.
Ni kumkimbilia Yeye aliye na nguvu kuliko lusifa - yaani Yesu
Anasema hivi ---
Ufunuo 3.10
Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, MIMI NAMI NITAKULINDA, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi.
Mkuu inawezekana, japo kuishi katika roho duniani ni kwa namna tofauti na kuishi katika roho baada ya kifa. Kwa hapa hicho ni kitendo cha kuchagua upande kwa kila jambo ufanyalo. Mfano, unapokasirishwa, moyoni yanakuja mambo mawili - nimtukane/nimpige au nimsamehe. Mungu anataka usamehe. Ukikubaliana na Mungu, hapo tayari umeendemda kiroho. ---- Karibu kila kitu maishani kina hiyo binary choice.Chief,
Tunaweza kuishi katika roho tukiwa katika Dunia ya mwili?
Hivyo ndivyo ilivyo mkuu, japokuwa mambo hayo hayajaandikwa kwenye kitabu hicho. Lakini yote ni ya kweli kabisa[emoji419]View attachment 1938345
Uko sahihi kabisa mkuuhakika...Yesu pekee ndio jibu la mambo haya yote, ni muda wa kutubu na kuacha dhambi, unyakuo wa kanisa umekaribia sana
youtube kuna video nyingi sana za watu wakishuhudia kuota ndoto za kurudi kwa Yesu, hiki ndicho kinasubiriwa kitokee ili yule muharibifu aweze kuanza kazi yake
Ni kweli mkuu.Wenye macho na ufahamu ndio wanao elewa kwa Bahati wanakuwa wachache sana.
Mada kama hizi waliochoma chanjo wakisoma wanapanic kweli. Hakuna namna Chanjo ni hiyari uliende mwenyewe bila kulazimishwa wala kushawishiwa na ulikuwa na Akili timamu ndo maana Fomu ukajaza,
Ni swala la wakati na Muda tu