Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Hahaaa mnawasingizia jamaniUromantic na wamasai ni mbingu na ardhi mkuu, usitegemee kulipata huko kabisa.
Mi Masai wangu yuko very romantic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa mnawasingizia jamaniUromantic na wamasai ni mbingu na ardhi mkuu, usitegemee kulipata huko kabisa.
Hujui hata feminist maanake, maana feminist ni movement wala haihusiki na mahusiano ya mwanaume na mwanamke hasa ya kingono mkuu. Jielimishe kwanza utachekwa, ka u feminist ni mwanaume kulelewa basi ni wewe.Feminist hawezi dumu kwenye mahusiano na mwanaume. Never
Tena mwanaume unasusa Ili iweje ka si ujinga nini jamaniNdivyo walivyo wanapenda kususa vitu vidogo
Wanaoa vibinti vidogo na wengi huwa mitala, ikifika mda wa kujifungia ni tabu sana aisee, hizi Mila nyingine hapana, Yani mtu amuoe Binti yangu mdogo nitamvunja miguu na bastola wallah, ukatili mtupuMasai wana Mila za ajabu sana! Kuna siku nilipita hii njia ya Singida to Arusha, nilifika kijiji kimoja nikaona baba wakimasai anasubiria mtoto wa shule atoke maliza fanya mtihani wa darasa la sana aende kuoa! Huyo Mzee was 50+ na yule binti nadhani she was around 16 huko! Niliona maajabu sana eti
Na hapo makuyuni ndio town town kumechangamka changamka sana, Sasa sipati picha vijiji vya huko loliondoHiyo sehemu inaitwa Makuyuni
wasalimie hapo jangwani mkuu naona umepiga pamba kali[emoji1]Najivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Tena bora huyu mmeruu ni wa Arusha, kuna jamii fulani Kaskazini ukiisema vibaya Arusha wao wanajaa utafikiri wao ni wamasai.Hamna kitu apo, Jina la kimeru tena wa sura uko mlimani mkuu inakuaje unajiita masai, au ndio kukimbia asili yako
Huyo anakuibia tu, hakuna masai romanticHahaaa mnawasingizia jamani
Mi Masai wangu yuko very romantic
he heh...imebidi nirudi kuangalia profile yako, kumbe ni wa juziNajivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423