Ukiingia kwenye Mahusiano na Mmasai, Sahau Kuachika/Kumuacha

Ukiingia kwenye Mahusiano na Mmasai, Sahau Kuachika/Kumuacha

Wamasai wapo wa aina hizi:

1. Waarusha hawa hufanana mambo mengi na kabila la wameru. Hufanana pia na wachagga kwa mambo mengi. Wengi wao wana exposure maana wamesomasoma kidogo!

2. Wamasai wa porini. Hawa ndio wamasai OG

Watu wengi hawafahamu tofauti Kati ya hawa watu.
 
Kina baba yoyoo na mama yoyoo mkuje huku mnaitwa, kuna jambo lenu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kimsingi ulichemka sana zaidi watakuachia "kovu"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]asomaye na aelewe.
Wamasai/waarusha ni jamii ngumu isiyopenda kubadilika.
Wanafaa kukulana na kuoana wao.
Wanamfumo dume uliopitiliza.

1. Wamasai wako kama simba...jike hutafuta chakula na kufanya kazi ngumu

2. Midume kazi yao kubeba fimbo/ kukaa vjiweni kunywa chai na vitumbua tu

3. Midume inapenda kazi nyepesi tu.
4. Wanawake ndio wanajenga, kusomesha na kulisha familia.
Hii ni jamii itawezana wao kwa wao.
Wewe mchaga ukijiingiza huko ujue mnakulana kwa muda na uchape lapa kwani mmejaa usongo wa maendeleo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmasai wa porini hana wivu hata umletee mwanamke mwingine kitandani mwake hatagomba.
Halafu hawalali na wake zao, wanaume wanalala vyumba tofaut na wake zao hivyo ndugu yoyote wa mwanaume ila awe wakiume anaruhusiwa kufanya mapenz na shemeji yake mwanamke akikataa anaadhibiwa kweny baraza la ukoo
 
Wana ishi sana na mifugo thus why Wame copy tuu vile wanaona NG'ombe Ana panda kila jike nao wa naaona Sawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu hawalali na wake zao, wanaume wanalala vyumba tofaut na wake zao hivyo ndugu yoyote wa mwanaume ila awe wakiume anaruhusiwa kufanya mapenz na shemeji yake mwanamke akikataa anaadhibiwa kweny baraza la ukoo
Ebooooh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Best hukunitonya mapema, uzuri nilikuwa na observe tu, hafu wanapenda kweli watu wa kabila letu bana na huwa wanatesa vibaya ndoa nyingi za Hawa watu huwa ni shiida huishia tu kwa talaka na machungu.
Hii jamii sio wanawake wanaume ni shida tupu hasa tabia ya wanaume kulelewa ni sugu I'm glad sikuingia mazima maana alitaka quick marriage ningekuwa mhanga wa kuteswa hisia na kiuchumi wallah
Duh pole sana mumy. Kwanza hao wamasai huwa hawawaz maendleo wao ni wanawake na pombe suala La kujenga hufanya wanawake wao nikulelewa tu.
Jamii bora ya wafugaji ni wasukuma wanajali na pia wanajua majukum yao suala la maendleo mwanaume anahusika aslmia kubwa sema na wao wanamfumo dume wanahitaji wanawake wachapa kazi nasio wazembe kula kwao sio tatizo. Ila wamasai hawana roho nzur na kweny chakul wabahir kutunza wake zao huo kwao nimtihan
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
We nacheka tu rafiki😅 iko tunsa muroro mi kasi nalinda milango ya muhindi nae amna nilipa hela nsuri😅 takuja ona we mama yoyoo Disemba!
 
We nacheka tu rafiki[emoji28] iko tunsa muroro mi kasi nalinda milango ya muhindi nae amna nilipa hela nsuri[emoji28] takuja ona we mama yoyoo Disemba!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] usinifanye nicheke zaid mtongozo wao sio wanchi hiii
 
Halafu hawalali na wake zao, wanaume wanalala vyumba tofaut na wake zao hivyo ndugu yoyote wa mwanaume ila awe wakiume anaruhusiwa kufanya mapenz na shemeji yake mwanamke akikataa anaadhibiwa kweny baraza la ukoo
Lafiki nasema fitu yasiri ya ndoa, we sio mutu nsuri kabisa kabisa! Waiii!
 
Wanawake mtagombana daily na kuwa na case mpaka ujute aisee usisahau ugomvi, I think wanawezana wenyewe hizo mambo wao kwa wao wanaweza
kweli huyu niliyenaye ana taba hizo hasira sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sikufanya Naye kitu mkuu, so hyo kitu siijui
Oh Sawa...ungempa dudu angekupiga nyama...lakini hivi unawezaje kuwa na mahusiano na MTU bila kumpa dudu? Mimi demu siwezi kukaa nae kwenye mahusiano bila kumla..nikiona hamna mwelekeo siku ya kwanza Tu akikataa basi....siku hizi nyie si wagumu Kama zamani...
 
Back
Top Bottom