Ukiingia kwenye Mahusiano na Mmasai, Sahau Kuachika/Kumuacha

Ukiingia kwenye Mahusiano na Mmasai, Sahau Kuachika/Kumuacha

Wamasai, hii ndio jamii pekee ambayo ukiingia nayo kwenye mahusiano ya kimapenzi, haina historia ya kuvunja mahusiano

Kwa mmasai ni kufa na kuzikana
Mbona mimi nimeachana na mwanamke mmasai juzi tu!
 
Ni wamasai wote au ni Wamasai waliokulia kwenye boma?
 
Wamasai, hii ndio jamii pekee ambayo ukiingia nayo kwenye mahusiano ya kimapenzi, haina historia ya kuvunja mahusiano

Kwa mmasai ni kufa na kuzikana
Kuna mwanamke mmoja mkenya, alikuwa mwalimu wa private school, aisee nilikuwa natembeanae then nikaja nikampiga chini, tulikuwa Ni majirani somewhere, ye ana mume, mi pia nilikuwa na nyumba ndogo nimeipangia maeneo hayo,

Basi hakanipiga mkwara mzito, nakuambia sisi sijui wajaluo hatujui suala la kuachwa, ntakufanyia kitu kibaya Sana,

Nilijuta kwann nilitembeanae, Hadi nikatumia nzia ya uhamiaji kumdhibiti
 
Wana ishi sana na mifugo thus why Wame copy tuu vile wanaona NG'ombe Ana panda kila jike nao wa naaona Sawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekuwa na mumasai na tumeachana, na wanaume wa kimasai hawadumu na wake labda kabila lake
..Kwa hiyo Una uzoefu ya Yale manyama Yao yanayobaki chini ya jiti wanapotahiriwa na vizu...naskia ndio mana mademu huwapenda..wanapopigwa dabali dudu na lile salio la nyama...
 
..Kwa hiyo Una uzoefu ya Yale manyama Yao yanayobaki chini ya jiti wanapotahiriwa na vizu...naskia ndio mana mademu huwapenda..wanapopigwa dabali dudu na lile salio la nyama...
[emoji23][emoji23][emoji23] sikufanya Naye kitu mkuu, so hyo kitu siijui
 
Back
Top Bottom