Bangida
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 2,406
- 11,258
Ndugu yangu, ya duniani yaache tu mkuu. Usiombe!Yalikukuta mkuu ??!!🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu, ya duniani yaache tu mkuu. Usiombe!Yalikukuta mkuu ??!!🤣
Aibu sana kushindwa kuhimili tamaa katika kulaNi tabia mbaya sana kumsimanga mtu kwa chakula, sijui kwa nini mtu aone big deal kwenye misosi.
7&8Kuishi kwa ndugu, mambo ya kufanya
1. Siku zote amka mapema na ufanye shughuli za kimsaada kwenye mji huo, kwa mfano kufagia, kusafisha mabanda ya kuku n.k. wjatever it is, lakini asubuh na mapema ikukute nje.
2. Jitahidi kutoka nje na kuzunguka kitaa ukitafta mishe ndogo ndogo za kukupa vijisenti ili usipauke kisoro
3. Usiwe na mazoea yaliyopitiliza hasahasa Kwa shemeji au wifi yako. Kaa kwa step wacha kiherehere
4. Ukipata chochote huko duniani, kamwe usirudi mikono mitupu, hata ndizi za buku zinaeza sindikiza wali maharagwe hapo ndani. Always provide some input kuwapunguzia mzigo.
5. Kuwa msafi, kuwa msafi kuwa msafi!
6. Fuata sheria zao, kwa mfano kuwahi kurudi, kusali n.k. kama una sheria zako kazipeleke kwenu, hapo ni kwa watu, wacha kisebengo cha kupanga masharti.
7. Hakikisha wale watoto kina "junia" hawakuzoei, wale wana mambo ya kiwaki unaweza mkata kelebu akatema meno. Jiepushe nao
8. Beki 3 ana mbolea iliopitiliza, ukipanda mbegu nakuapia lazma izae matunda. Mkwepe!
9. Kuwa mstaarabu
Ahaahahhaha eti wew pumzika... sa hapo ujiongeze vipi mtu kashasema atafanya mwenyewe kazi zake...Unatakiwa ujiongeze kama mtu mzima;!
Dah, Jana tu jioni nimezungumza na ndugu yangu wa kike kaniambia amemwambia shemeji yake asifanye chochote yeye pale Ni mgeni atamuhudumia yeye,kuanzia kutenga chakula,maji ya kunywa amuombe atamletea,na asitoe vyombo Wala kusafisha!nikajiuliza Lengo lako haswa Nini?akanijibu SITAKI MAZOEA ndani kwangu...akizoea ataanza kuparamia vitu kwenye friji na ujuaji mwingi hataki!kijana wa watu kapigwa na butwaa maana ndio kafika kutoka Ikonda.Imagine mwenyeji wako anakuambia, " wewe pumzika tu, nitafanya kazi zangu"!
Atakuwa na maana gani hapo?
Hapo ukweli ni kuwa huyo ndugu yako hamtaki shemeji yake hapo ndani. Ni njia watu wanaitumia kuwafukuza wageni ndani kwao..Dah,Jana tu jioni nimezungumza na ndugu yangu wa kike kaniambia amemwambia shemeji yake asifanye chochote yeye pale Ni mgeni atamuhudumia yeye,kuanzia kutenga chakula,maji ya kunywa amuombe atamletea,na asitoe vyombo Wala kusafisha!nikajiuliza Lengo lako haswa Nini?akanijibu SITAKI MAZOEA ndani kwangu...akizoea ataanza kuparamia vitu kwenye friji na ujuaji mwingi hataki!kijana wa watu kapigwa na butwaa maana ndio kafika kutoka Ikonda.
Ni kweli hamtaki, ni tabia na roho mbaya tu, nilimkumbusha tu bwana achana nae mgeni Ni Kama mawingu ya mvua hata yatande vipi yataondoka tu hayatabaki milele,akasema we dada Joa hujui tu ndugu zake huyu Bwana wanavyopenda kutawala hii nyumba.Hapo ukweli ni kuwa huyo ndugu yako hamtaki shemeji yake hapo ndani. Ni njia watu wanaitumia kuwafukuza wageni ndani kwao..
So sad Joannah lakini huyo shemeji yenu atafute pa kwenda, ndugu yako hamtaki. Anamzuiaje mtu kufanya shughuli ndogo ndogo za ndani eti "hataki mazoea"!
Duh! Hapo pole yake. Lakini mimi nadhani hii kasumba ya "ndugu zake mwanaume kupenda kutawala the house", kosa sio la huyo mdada. Kosa ni la mwanaume.Ni kweli hamtaki,Ni tabia na roho mbaya tu, nilimkumbusha tu bwana achana nae mgeni Ni Kama mawingu ya mvua hata yatande vipi yataondoka tu hayatabaki milele,akasema we dada Joa hujui tu ndugu zake huyu Bwana wanavyopenda kutawala hii nyumba.
Yaani tuseme siku ndio nimeoa nitambue labda mwanamke wangu anamfanyia visa mdogo angu au ndugu yangu aisee atanijua mimi ni nani hata kama huyo ndugu ni wa mbali au aliwahi kunifanyia visaHapo ukweli ni kuwa huyo ndugu yako hamtaki shemeji yake hapo ndani. Ni njia watu wanaitumia kuwafukuza wageni ndani kwao..
So sad Joannah lakini huyo shemeji yenu atafute pa kwenda, ndugu yako hamtaki. Anamzuiaje mtu kufanya shughuli ndogo ndogo za ndani eti "hataki mazoea"!
Aisee kweli tumeumbwa tofauti yaani mdogo angu anashtakie shemeji kafanya hivi au uchunguzi wangu wa kitelijensia nimegundua unafanya visa humtaki dogoNi kweli hamtaki,Ni tabia na roho mbaya tu, nilimkumbusha tu bwana achana nae mgeni Ni Kama mawingu ya mvua hata yatande vipi yataondoka tu hayatabaki milele,akasema we dada Joa hujui tu ndugu zake huyu Bwana wanavyopenda kutawala hii nyumba.
Kumbuka mke ndio mwenye nyumba, day to day activities za nyumba zipo chini yake. Uombe Mungu sana awe na moyo mwema, otherwise mbona hata wewe baba utaumia sana tu.Aisee kweli tumeumbwa tofauti yaani mdogo angu anashtakie shemeji kafanya hivi au uchunguzi wangu wa kitelijensia nimegundua unafanya visa humtaki dogo
Pengine watu wanatofautiana kwenye kukua wengine tukisema damu ni nzito kuliko maji tunamaanisha ni nzito kweli
Ni maoni yako lakini haupo serious wewe. Mji wa mwanamke? Wewe ndio aina ya watu baada ya kuoa kwenu inarudi maiti na ndugu zako(kaka,baba,mama) wanakanyaga kwako wakiwa wagonjwa.Duh! Hapo pole yake.
Lakini mimi nadhani hii kasumba ya "ndugu zake mwanaume kupenda kutawala the house", kosa sio la huyo mdada. Kosa ni la mwanaume..
Wanaume tunatakiwa tutambue kuwa, hata kama unalipa kodi au umejenga nyumba, mji ni wa mwanamke. Na watu wote inabidi wafuate maelekezo yake maaana yeye ndo waziri wa mambo ya ndani.
Sasa mwanaume ukiwa mzembe ndo hizi biashara za ndugu kuja na kuanza kumsumbua wife kwa maelekezo yasio na kichwa wala miguu.
Mi nkikufumq unasumbua mke wangu, ni uppercut chembe kidevu lazma ukae. Na kesho ake unashika nauli unachora kwenu!
Nakubaliana nawewe mkuu, mke ni mtu wa karibu ila baba ni baba, mama ni mama hivyo hivyo kwa kaka au dada. Unaweza kupata mke mwingine ila si Baba mama kaka au dada. Cha ajabu mtu wa aina hiyo ataona ni sahihi pia ndugu wa mwanamke kutembelea home ila si wa mwanaume.Aisee kweli tumeumbwa tofauti yaani mdogo angu anashtakie shemeji kafanya hivi au uchunguzi wangu wa kitelijensia nimegundua unafanya visa humtaki dogo
Pengine watu wanatofautiana kwenye kukua wengine tukisema damu ni nzito kuliko maji tunamaanisha ni nzito kweli