Yoo, my nigga relax, umekunywa chai kwanza? Mbona povu?
Lemme break it down to you, jukumu la mwanaume ni kutake care ya familia. Lakini majukumu ya ndani sijui kuosha vyombo, kupika e.t.c ni majukumu ya mwanamke. Itakua aibu kama wewe mwanaume ukianza kuingilia majukumu yake. Kazi yako ni kurekebisha pale unapoona hapafai. Yeye ndo anaweka mpangokazi wa humo ndani majukumu yanaendaje. Hiyo ndo inaitwa nafasi yake, kama vile ilivo yako kutafuta hela watu wale humo ndani.
Unakimbilia kusema sijui kuchukia ndugu n.k lakn kila mji una utaratibu. Sasa ndugu akija alaf asifuate utaratibu au aanze kumpelekesha mke wako utakua boya kukubaliana na vitu kama hivyo. Unapooa unaanzisha mti wako wenye maelekezo yako binafsi. Kama ndugu hafuati utaratibu huwez kufumbia macho just because ni ndugu yako. Hapo ni kwako na atafuata utaratibu kama vile wewe ulivofuata kwa babaako kabla hujatoka mikononi mwake.
Kama mke wako ni mchoyo, hilo ni jipu lako wewe, sio sisi wote wake Zetu ni wachoyo.
Na pia ukijipendekeza kwa ndugu haina guarantee kua watakuthamini, kila mtu ana roho yake, na kila mtu atakufa kivyake. Wewe kwako kama ndugu hawaji, hata umshushie kipigo wife wako wewe ndo unaonekana boya umeshindwa kucontrol familia yako. Mkiweka misingi kama familia hakuna kinachoshindikana.
Alaf pia hii mentality kama yako, hakikisha na wewe unalea familia vilivyo. Sio hakuna chakula ndani na kuna watu kumi af unategemea mkeo afanye maajabu.