Ukiishi kwa ndugu, rafiki, jirani zingatia haya

Ukiishi kwa ndugu, rafiki, jirani zingatia haya

Hapo Njaa ya Chakula ndo inawatesa Watz % kubwa na sio kingine

Kabla ujaenda kwa ndugu make sure huyo ndg yako yuko na msosi was kutosha Mambo mengine yanavumiilika ila wabongo wananjaa Sana ila ndg zetu wahindi kwao njaa washaikimbiza tha way wanaishi vzr in Peace
 
Mkuu hapa anazungumziwa mgeni ambaye ameenda kuangalia life linaendaje eneo hilo sio mgeni ambaye ameenda mapumziko ya kikazi 😂.

Mchele kilo tano na nyama kilo tatu kama ndio zinapima "ustaarabu" wa mgeni mbona kama ni kumbebesha mzigo hustler. Upo sahihi lakini kwa kiasi kikubwa ingawa pia baadhi ya familia kushiriki chakula ni muhimu sana. Mfano mama angu ni lazima ushiriki mezani la sivyo uwe na sababu maalum.
Mgeni anayetafuta mchongo mnatakiwa kumuacha atafute mchongo, sio kuanza kumpa majukumu ya kuleta 5kg za mchele na 3kg ya nyama.
 
Zamani nikiona mtu wazima na wajukuu wanaishi nyumba ya kupanga nilikuwa nawaona wazembe sana,nimekua nimeyaona
Uliwaona hawana akili sio, ukishakuwa mtu mzima ndio unaona jinsi maisha yalivyo na changamoto nyingi.

Mtu yupo na watoto wawili, lakini amepanga room moja achilia mbali mwenye uwezo wa kupanga nyumba nzima. Haya maisha oneni tu yalivyo.
 
Yaani tuseme siku ndio nimeoa nitambue labda mwanamke wangu anamfanyia visa mdogo angu au ndugu yangu aisee atanijua mimi ni nani hata kama huyo ndugu ni wa mbali au aliwahi kunifanyia visa

Mi nashangaa hawa wanaume wanaoshtakiwa na ndugu zao au wanaojua mke anawaonea ndugu zao kwao na wao wapo kimya aisee pengine labda wana akili ndio hao wanastahili kuwa na mke ndani maana sisi hizo akili hatuna Au labda tumeumbwa tofauti
Oa kwanza mkuu.
 
Mimi naishi kwa shemeji huu ushauri utanifaa sana
Nimeileta makusudi kwa sababu maisha hayatupi kila tunachotaka, kuna wakati inabidi uishi kutokana na mazingira.

Chukua kila kilicho chema humu uishi na watu wako vizuri, lakini jitahidi sana ushike cha kwako, najua maisha ni magumu sana ila jitihada na kujitoa haswa...
 
Yaaani kukaa kwa ndugu ukiwa na hizi tabia wee basi hawato kuchoka
1. Kuwa bize na mambo yako
2. Acha dharau tambua bila huyo mtu aliyekuweka hapo wewe ungekua wapi
3. Epuka kukaa nyumbani mda mwingi kuna kazi zingine ni xa hovyo utaambiwa ufanye zitakazo shusha heshima yako
4. Kama umechakalika na kupata kazi sehemu fanya juu chini usiwahi kurudi hapo nyumbani fanya kitu hadi wawe wana miss uwepo wako
5. Kama mkaka achana na mabinti wa mtaa wa hapo karibu the same kwa mdada hivyo hivyo.
6. Usikae kinyonge watakuzoea fanya kazi tafuta geto
Mzee unakaa kwa watu unataka heshima? IpI? By the way hakuna kazi ya hovyo as along as ni kazi wengine wanafanya….ukiishi kwa watu daima kuwa mvumilivu.
 
Yeye kwa madai yake ndugu za mumewe pale hawamthamini wanamchukulia Kama Kaka Yao ndio kila kitu na yeye Ni nothing,Sasa anadai atapambana nao bega kwa bega wapunguze Uhuru,eti Uhuru umezidi..huyo mgeni eti alivyofika siku mbili tatu akaenda kwenye shoe rank akaanza kuchafua viatu vya braza akajichagulie,,,Sasa bibie kamaind

Ila ndugu nao sio wastaarab
 
Kisa kikubwa, unamzalau mgeni kaja kutafuta maisha..
Baada ya muda anapata sehemu ya kujishkiza na maisha yana mkubali, Wewe ngoma inakata,
Jamaa anawa tembelea mje kwenye harusi yake. Baada ya harusi mnabaki midomo wazi...
Swali: Ukiombwa msaada unaweza kusaidia?
 
8. Beki 3 ana mbolea iliopitiliza, ukipanda mbegu nakuapia lazma izae matunda. Mkwepe!
9. Kuwa mstaarabu[/QUOTE]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee unakaa kwa watu unataka heshima? IpI? By the way hakuna kazi ya hovyo as along as ni kazi wengine wanafanya….ukiishi kwa watu daima kuwa mvumilivu.
Niliposema heshima nilimaanisha hivi.. an mtu unapoa kaa kwa mtu usipo kuwa mchakalokaji jiandae kwa mambo haya unaweza pewa kazi ambayo ilibidi afanye mtoto ila ukaambiwa ufanye wewe huoni tayari hapo ushashushiwa heshima yako... Je kama ukiwa mtu busy hayo yote yange kupata.. kwenye kazi za hovyo hapo namanisha kazi za pale pale nyumbani mkuu
 
Back
Top Bottom