Ukiishi na mwenza unayempenda mnaishi kama Watoto

Ukiishi na mwenza unayempenda mnaishi kama Watoto

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Hakuna kitu kizuri kwenye maisha Kama kuishi na mtu mnayependana, Yaani muda wote raha tuu!

Mnaishi Kama Watoto, mnacheza Kama watoto mkiwa pamoja, hakuna Siri. Hakuna chuki.

Mkigombana hamuwezi kukaa masaa mawili mnajikuta mmesahau kuwa mligombana, mnaendelea kupiga Stori na kucheka.

Mnaheshimiana, bila kuogopana, mnakuwa marafiki wa kweli, zaidi ya ndugu.

Hakuna kuviziana na kunyonyana. Mnapiga Umbeya mpaka unawaishia mnaanza kucheza Games, mkichoka mnaenda kuzurura huku na huko na kigari chenu au kama hamna Gari mnapanda Daladala.

Watu wanaopendana hawawezi kuukimbia Umbeya.

Usije msema Mke au mume WA mtu aliyekwenye mahusiano yenye mapenzi ya dhati mbele ya mmoja wao, Umbeya utamfikia huyo unayemsema.

Mapenzi yananguvu kuliko Mauti wahenga walisema, Ogopa watu wanaopendana Kwa dhati yote hao kuwavuruga haiwezekani.

Mapenzi matamu hasa ukimpata mtu sahihi mnayependana.

Wasalamu
 
Kwema Wakuu!

Hakuna kitu kizuri kwenye maisha Kama kuishi na mtu mnayependana, Yaani muda wote raha tuu!

Mnaishi Kama Watoto, mnacheza Kama watoto mkiwa pamoja, hakuna Siri,
Hakuna chuki,

Mkigombana hamuwezi kukaa masaa mawili mnajikuta mmesahau kuwa mligombana, mnaendelea kupiga Stori na kucheka.

Mnaheshimiana, bila kuogopana, mnakuwa marafiki wa kweli, zaidi ya ndugu.

Hakuna kuviziana na kunyonyana.
Mnapiga Umbeya mpaka unawaishia mnaanza kucheza Games, mkichoka mnaenda kuzurura huku na huko na kigari chenu au kama hamna Gari mnapanda Daladala.

Watu wanaopendana hawawezi kuukimbia Umbeya,
Usije msema Mke au mume WA mtu aliyekwenye mahusiano yenye mapenzi ya dhati mbele ya mmoja wao, Umbeya utamfikia huyo unayemsema.

Mapenzi yananguvu kuliko Mauti wahenga walisema, Ogopa watu wanaopendana Kwa dhati yote hao kuwavuruga haiwezekani.

Mapenzi matamu hasa ukimpata mtu sahihi mnayependana.

Wasalamu
Ni kweli, hongera sana mkuu kwa kumpata akupendae
 
Mapenzi matamu mnoo, hasa mkutane mnapendana kwa dhati.
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo Pa kupiga umbea, mda ote ni voice notes, tsup video/audio call, call ya kawaida,

Akiwa karibu ni full kupeana mastors na ubuyuu, Mapenzi ya kweli yapooo.
Mgegedo usihusike mkimaliza kufanya yote hayo si eti eeeee mkuu?
 
Hayo yote ni kipindi penzi likiwa jipya, mkisha kula kilometa za kutosha mamno yanabadilika. Nakumbuka mimi niko mbweni yeye yupo river side ila tulikuwa tunasubiriana tule kwa pamaa (kwa wakati mmoja)😂😂😂😂

Ila siku hizi sasa......
 
Back
Top Bottom