Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,456
Ameshafika tayariIpo Mwanza kodi ungo uende chap kwa haraka[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshafika tayariIpo Mwanza kodi ungo uende chap kwa haraka[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa hapa duniani. Na Tanzania hii hii. Na alichokieleza hapo juu kina ukweli wa [emoji817] %Hao wanaopenda kwelikweli wanapatikana wapi ?
Pesa sabuni ya rohoKwema Wakuu!
Hakuna kitu kizuri kwenye maisha Kama kuishi na mtu mnayependana, Yaani muda wote raha tuu!
Mnaishi Kama Watoto, mnacheza Kama watoto mkiwa pamoja, hakuna Siri,
Hakuna chuki,
Mkigombana hamuwezi kukaa masaa mawili mnajikuta mmesahau kuwa mligombana, mnaendelea kupiga Stori na kucheka.
Mnaheshimiana, bila kuogopana, mnakuwa marafiki wa kweli, zaidi ya ndugu.
Hakuna kuviziana na kunyonyana.
Mnapiga Umbeya mpaka unawaishia mnaanza kucheza Games, mkichoka mnaenda kuzurura huku na huko na kigari chenu au kama hamna Gari mnapanda Daladala.
Watu wanaopendana hawawezi kuukimbia Umbeya,
Usije msema Mke au mume WA mtu aliyekwenye mahusiano yenye mapenzi ya dhati mbele ya mmoja wao, Umbeya utamfikia huyo unayemsema.
Mapenzi yananguvu kuliko Mauti wahenga walisema, Ogopa watu wanaopendana Kwa dhati yote hao kuwavuruga haiwezekani.
Mapenzi matamu hasa ukimpata mtu sahihi mnayependana.
Wasalamu
Je, haya mapenzi matamu yanadumu muda gani? Je, watoto mkiwapata watacheza na nani?Kwema Wakuu!
Hakuna kitu kizuri kwenye maisha Kama kuishi na mtu mnayependana, Yaani muda wote raha tuu!
Mnaishi Kama Watoto, mnacheza Kama watoto mkiwa pamoja, hakuna Siri,
Hakuna chuki,
Mkigombana hamuwezi kukaa masaa mawili mnajikuta mmesahau kuwa mligombana, mnaendelea kupiga Stori na kucheka.
Mnaheshimiana, bila kuogopana, mnakuwa marafiki wa kweli, zaidi ya ndugu.
Hakuna kuviziana na kunyonyana.
Mnapiga Umbeya mpaka unawaishia mnaanza kucheza Games, mkichoka mnaenda kuzurura huku na huko na kigari chenu au kama hamna Gari mnapanda Daladala.
Watu wanaopendana hawawezi kuukimbia Umbeya,
Usije msema Mke au mume WA mtu aliyekwenye mahusiano yenye mapenzi ya dhati mbele ya mmoja wao, Umbeya utamfikia huyo unayemsema.
Mapenzi yananguvu kuliko Mauti wahenga walisema, Ogopa watu wanaopendana Kwa dhati yote hao kuwavuruga haiwezekani.
Mapenzi matamu hasa ukimpata mtu sahihi mnayependana.
Wasalamu
Je, haya mapenzi matamu yanadumu muda gani? Je, watoto mkiwapata watacheza na nani?
Pesa sabuni ya roho
Kwenye topic inaonyesha ni hao wawili tu. Hakuna nyongeza ya 'ikiwa tukipata watoto tutawahusisha hivi na hivi'. Ndo maana yangu.'Watoto hawazuii wanandoa kupendana Bali yanaongeza mashamshamu.
Watoto mnawawekea muda wao
Pesa sabuni ya roho mkuuPesa haishindi Upendo wa dhati, niamini!
Pesa sabuni ya roho mkuu
Penzi jipya hilo, hongereni 🤪
Pata pesa ujue ukweli kuhusu upendoUkiwa huna
Ukiipata wala huna shobo nayo.
Yanadumu mpaka pale umaskini unapobisha hodi mjengoni😂Je, haya mapenzi matamu yanadumu muda gani? Je, watoto mkiwapata watacheza na nani?
Hongera sana bana kuopoa manzi mpya tukutane baada ya miezi 3Pesa haishindi Upendo wa dhati, niamini!
Siyo wote bwana wengine mpaka vifo vinawatenganisha ila namaanisha wale wazee wetu wa kale ila nasie wengine bado tunajikokota humo humo.Yanadumu mpaka pale umaskini unapobisha hodi mjengoni😂
Shemeji/wifi yenu huwa ananiambia "hakuna watu wambeya kama wapenzi au wanandoa"
Huu uzi umenifurahisha sana.
Ukishamsikia anakwambia "niulize kilichotokea leo" ujue hapo kakukusanyia umbeya debe,anataka tu uulize bomba la habari lifumuke.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Pata pesa ujue ukweli kuhusu upendo