Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well saidUpendo ujengwa na heshima na utii.
" Mwanamke ameagizwa hamuheshimu na kutii Mme wake.
" Mwanaume kaagiwa ampende mkewe"
Kutii ni kwenye mema utakiwi kumtii mmeo kwenye mabaya.
Kumpenda mkeo ni kumtimizia mahitaji ya kimwili na kiroho.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]HaterHongera sana bana kuopoa manzi mpya tukutane baada ya miezi 3
Tupo hapaaHao wanaopenda kwelikweli wanapatikana wapi ?
Sana mkuu na inatakiwa kumsikiliza.Mwanamke anajisikia Raha akikusimulia Umbeya.
Mapenzi ya kweli yapoo.Wengine hawatakuamini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee Elly una nn lakini??Mgegedo usihusike mkimaliza kufanya yote hayo si eti eeeee mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekesheee dyadyaa ake.Ila Jamani naenjoy kua na mwanaume anaependa umbeya Mimi..[emoji23][emoji23] mnapiga umbeya mpakq[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..sikuhizi Ni mwendo wa hubby nikupe taarifa maana neno umbeya halipendi.. Nyieee rahaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shemeji/wifi yenu huwa ananiambia "hakuna watu wambeya kama wapenzi au wanandoa"
Huu uzi umenifurahisha sana.
Ukishamsikia anakwambia "niulize kilichotokea leo" ujue hapo kakukusanyia umbeya debe,anataka tu uulize bomba la habari lifumuke.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Dah mie hater tena?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hater
mimi nakupenda ila huwa haunielewi tu... nawe nipende basiMpaka umpate unaempenda anaekupenda muishi pamoja hapo sasa 😂😂😂
Itumie kuununua upendo[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]
Na Kama tayari unahiyo pesa
Kabisa kama hujakuwa huwezi elewa hii sentence hasa Kwa huku Africa na ndio maana watu wanauana kwasababu mabadiliko yanapokuja kuamini huwa ni ngumuYanadumu mpaka pale umaskini unapobisha hodi mjengoni[emoji23]
Mtu mzima mwenzangu tumeelewanaKabisa kama hujakuwa huwezi elewa hii sentence hasa Kwa huku Africa na ndio maana watu wanauana kwasababu mabadiliko yanapokuja kuamini huwa ni ngumu
Wewe na demu wako huwa mnapiga stori za aina gani ?Mapenzi matamu mnoo, hasa mkutane mnapendana kwa dhati.
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo Pa kupiga umbea, mda ote ni voice notes, tsup video/audio call, call ya kawaida,
Akiwa karibu ni full kupeana mastors na ubuyuu, Mapenzi ya kweli yapooo.
Kwa kweli..Hongera.Mapenzi matamu sana.