Jovvan
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 294
- 460
Nmeyatoa makubwa kabisa sioni chochote.Pepesa macho dada [emoji39][emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmeyatoa makubwa kabisa sioni chochote.Pepesa macho dada [emoji39][emoji39]
Haya Sawa tuishie hapoSijasema Nina pesa wewe ndio umenifanya nikuulize; niwe nazo mara ngapi?
Haya Sawa tuishie hapo
Nimegoma Wajameni[emoji1787]Wacha wee, kwahio umegoma jamani?
Ni mazito sana😂😂😂😂Mbna hujamalizia
Tunaomba umalizie tafadhali😂Ni mazito sana😂😂
Kama sasa hivi mara ya mwisho kuwasiliana naye ni jumapili iliyopita.Tunaomba umalizie tafadhali😂
Kama sasa hivi mara ya mwisho kuwasiliana naye ni jumapili iliyopita.
Ila nitapambana kuyarudisha kama zamani, nimemiss zile moments...
Hongera sana kwa kumpata mnayependana kwa dhatiWako hapa hapa nchini mbona[emoji23]!!!
Mapenzi ni matamu ikiwa unafiki hautakuwa na nafasi.
Dar hamna ziwa, huenda ni mwanza huko
Ni kweli kabisaPesa haina nguvu Kama unavyoifikiria linapokuja suala la upendo.
Waulize wenye pesa watakuambia.
Watu wenye bahati zao[emoji1][emoji1]Akitoboa me na wewe tunafunga ndoa
Ni kweli kabisa
Huwa hivyo au anakubali kazi yake kuchuma na kimpelekea yule mvimba macho ampendaye kwa dhatiSijui hajawahi kutongozwa na wenye pesa alafu akawatolea nje, na muda huohuo anadate na Mwanaume WA kawaida Sana.
Watu wenye bahati zao[emoji1][emoji1]
Asante maake apo kwanza ncheke, tunavumiliana tu mapenzi huisha honeymoon😁Hongera sana kwa kumpata mnayependana kwa dhati
🤣🤣Asante maake apo kwanza ncheke, tunavumiliana tu mapenzi huisha honeymoon😁
Eeh mayoooNimegoma Wajameni[emoji1787]
Hao wanaopenda kwelikweli wanapatikana wapi ?
Mpaka umpate unaempenda anaekupenda muishi pamoja hapo sasa 😂😂😂
ShukraniKaribu sana