Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Akitoboa me na wewe tunafunga ndoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wallah!!!!!.....Akitoboa.???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akitoboa me na wewe tunafunga ndoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wallah!!!!!.....Akitoboa.???
Mzee naona nyuzi za madongo kwa mabinti zitakata kwa sasa 😂😂😂!
Dalili zote zinaonesha ushaanza kulamba asali...
Eeh nchi imefunguka bana😂 wahuni mnalamba asali kila kona.😂😂😂
Nikiona ipo haja Mkuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee naona nyuzi za madongo kwa mabinti zitakata kwa sasa [emoji23][emoji23][emoji23]!
Dalili zote zinaonesha ushaanza kulamba asali...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akitoboa me na wewe tunafunga ndoa
Mie nalamba asali deile 😂😂😂 sema natafta ya nyuki wadogo sahizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado wewe!
Niite basi naniliu ....Akiyanani nitaku wowaaa 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikutegemea hili jibu..
Kwa akili zako nilijua utasema nikuite naniiii.....Umekaa pale[emoji1787]
Nipo hapa Arusha na siwaoni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niite basi naniliu ....Akiyanani nitaku wowaaa [emoji23]
Wacha wee, kwahio umegoma jamani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikuitiiii....
Ushashindikana wewe.Mie nalamba asali deile 😂😂😂 sema natafta ya nyuki wadogo sahizi
Unaweza ukawa nayo unisaidie ndugu mjumbe 😀Ushashindikana wewe.
Sana yaan umepita mule mule hta mkiwa kwenye situationmbaya Yale mazuri na utani mnajikuta mnakumbukana tuKwema Wakuu!
Hakuna kitu kizuri kwenye maisha Kama kuishi na mtu mnayependana, Yaani muda wote raha tuu!
Mnaishi Kama Watoto, mnacheza Kama watoto mkiwa pamoja, hakuna Siri. Hakuna chuki.
Mkigombana hamuwezi kukaa masaa mawili mnajikuta mmesahau kuwa mligombana, mnaendelea kupiga Stori na kucheka.
Mnaheshimiana, bila kuogopana, mnakuwa marafiki wa kweli, zaidi ya ndugu.
Hakuna kuviziana na kunyonyana. Mnapiga Umbeya mpaka unawaishia mnaanza kucheza Games, mkichoka mnaenda kuzurura huku na huko na kigari chenu au kama hamna Gari mnapanda Daladala.
Watu wanaopendana hawawezi kuukimbia Umbeya.
Usije msema Mke au mume WA mtu aliyekwenye mahusiano yenye mapenzi ya dhati mbele ya mmoja wao, Umbeya utamfikia huyo unayemsema.
Mapenzi yananguvu kuliko Mauti wahenga walisema, Ogopa watu wanaopendana Kwa dhati yote hao kuwavuruga haiwezekani.
Mapenzi matamu hasa ukimpata mtu sahihi mnayependana.
Wasalamu
😂😂Mbna hujamaliziaHayo yote ni kipindi penzi likiwa jipya, mkisha kula kilometa za kutosha mamno yanabadilika. Nakumbuka mimi niko mbweni yeye yupo river side ila tulikuwa tunasubiriana tule kwa pamaa (kwa wakati mmoja)😂😂😂😂
Ila siku hizi sasa......
Kua na pesa uache kusema unapesa tuone matendo na mfano wa mwenye pesaMara ngapi niwe nazo
Kua na pesa uache kusema unapesa tuone matendo na mfano wa mwenye pesa
Sana yaan umepita mule mule hta mkiwa kwenye situationmbaya Yale mazuri na utani mnajikuta mnakumbukana tu