Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
This made my jioni hakyanan 😂😂😂Habari binti Joanah sim zangu hupokei
Hebu nipigie tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This made my jioni hakyanan 😂😂😂Habari binti Joanah sim zangu hupokei
Naweka vocha nakupigia .This made my jioni hakyanan [emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu nipigie tena
Mimi pia nipo humu ikulu naangalia TVNgoja kwanza nipo Sri Lanka huku
Upo sehemu gani nije chap kwa harakaNaweka vocha nakupigia .
Nipo namalizia wkend sehem moja
Come and join me.
Nipo Malaika beach apa napunga upepo wa ziwa.Upo sehemu gani nije chap kwa haraka
Nipo nawasuburi waje na majibuUkijibiwa naomba nishtue mkuu
Malaika beach iko maeneo gani hapa Dar?Nipo Malaika beach apa napunga upepo wa ziwa.
Hayo yote ni kipindi penzi likiwa jipya, mkisha kula kilometa za kutosha mamno yanabadilika. Nakumbuka mimi niko mbweni yeye yupo river side ila tulikuwa tunasubiriana tule kwa pamaa (kwa wakati mmoja)😂😂😂😂
Ila siku hizi sasa......
Hapo kwenye umbea sasa[emoji23] mm na Mr tukikutana ni hatari tunaanza kwa watoto wetu, ndugu, majirani hadi moja wapo asinzie kila siku tunasema hebu leo tuwahi kulala ghafla tunajikuta hadi saa 6 usiku tunaongea[emoji23]. Hakika kupendana ni raha
Hao wanaopenda kwelikweli wanapatikana wapi ?
Jana tu usiku nilikua namsomea comments za uzi wa kula tunda masikhara [emoji23]Mkitufikia watu wa JF mtushtue maana mmezidi umbea[emoji125][emoji125]
Raha sana aiseeHapo kwenye umbea sasa[emoji23] mm na Mr tukikutana ni hatari tunaanza kwa watoto wetu, ndugu, majirani hadi moja wapo asinzie kila siku tunasema hebu leo tuwahi kulala ghafla tunajikuta hadi saa 6 usiku tunaongea[emoji23]. Hakika kupendana ni raha
Malaika beach iko maeneo gani hapa Dar?