Kwahio unaidumbukiza tu inazungukaga mle siku ukiitoa hamna impact
Eeh sawa sawaIle nilisem ni biashara kwa ajili ya chakula, bills ni vipesa vdg vdg. Si unajua maduka ya uswazi ya sukari robo, huku mmabo mengine unayasukuma kwa njia zingin
Vipi mkuu umefungua mapinga...😂😂😂😂Nimefungua fremu ya viatu vya watoto na wanawake siku 8 sijauza hata pair 1,frame laki 2x 6 months!! Naona nyotanyota!
Biashara ipo Tegeta kibaoni. Yaan Ni shidaaaVipi mkuu umefungua mapinga...😂😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimefungua fremu ya viatu vya watoto na wanawake siku 8 sijauza hata pair 1,frame laki 2x 6 months!! Naona nyotanyota!
Kuna jirani yangu yeye alifungua mini-supermarket daily anatupa vitu vilivyooza/haribika hajawahi kuuza hata mkate 1pc. Kweli biashara hizi tuwaachie Wapemba/wahindi/waarabu sisi waswahili tuendelee kupiga domo Kama Msemaji (aliyetimuliwa)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka kama mazuri.
Ulifanya research ya soko, wateja na eneo ulilofungulia biashara kabla? Either way, usikate tamaa ndo kwaaanza safari imeanza.
Upo sahihi lakini pia Kama huna kazi unaweza ukawa na biashara zaidi ya moja, haziwezi kukutupa zote cha msingi usiwe na shughuli moja.Habari wakuu,
Ukosefu wa ajira serikalini, taasisi mbali mbali, viwandani n.k imekuwa ndio chanzo cha vijana wengi mpaka wazee kukimbilia kwenye biashara,
Wengi tunapoanza biashara huwa hatuna uelewa wa kutosha, maarifa tunayoyapata kwa kuulizia ulizia kwa watu, mtandaoni au kwa ndugu na marafiki huwa hayajitoshelezi, hili jambo ni hatari sana.
Unakuta mtu ameanzisha biashara yake mpya hapo hapo anaitegemea imlipie kodi ya fremu, umeme, TRA, taka, ulimzi, kodi ya anakoishi, maji, chakula, vocha, usafiri n.k,
Ukiona upo kwenye hali kama hiyo jua moja kwa moja ushaanguka, siku si nyingi utafilisika au kuanza kuhisi unachawiwa kumbe tatizo niwewe mwenyewe,
ukitaka kuanzisha biashara hakikisha una kazi (ajira), kipato kingine cha ziada cha kukulisha, kukuvisha, kukulipia kodi ya nyumba, vocha n.k hapo utatoboa mapema tu ndani ya miezi hata 9 au 10,
ila ukianzisha biashara wakati unanjaa, au umepigika ndugu wamekuchangia mtaji wa milioni 3 au umekusanya pesa ukaacha kazi, au umefungua biashara kwa pesa za pensheni baads ya kustaafu tegemea anguko, kufirisika kuhama mtaa au kurudi nyumbani kwenu. Ndio maana waswahi wanasema mwenye nacho huongezewa
Hii ndio sababu inayoperekea biashara nyingi mpya kufa haraka hata bila kumaliza miezi 8 au mwaka,
NB: USIANZISHE BIASHARA WAKATI UKIWA NA NJAA. Akili ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
Nawasilisha
Kwa Hali ilivyo zinakutupa zote vzr tuUpo sahihi lakini pia Kama huna kazi unaweza ukawa na biashara zaidi ya moja, haziwezi kukutupa zote cha msingi usiwe na shughuli moja.
Umeongea ukweli kabisaHabari wakuu,
Ukosefu wa ajira serikalini, taasisi mbali mbali, viwandani n.k imekuwa ndio chanzo cha vijana wengi mpaka wazee kukimbilia kwenye biashara,
Wengi tunapoanza biashara huwa hatuna uelewa wa kutosha, maarifa tunayoyapata kwa kuulizia ulizia kwa watu, mtandaoni au kwa ndugu na marafiki huwa hayajitoshelezi, hili jambo ni hatari sana.
Unakuta mtu ameanzisha biashara yake mpya hapo hapo anaitegemea imlipie kodi ya fremu, umeme, TRA, taka, ulimzi, kodi ya anakoishi, maji, chakula, vocha, usafiri n.k,
Ukiona upo kwenye hali kama hiyo jua moja kwa moja ushaanguka, siku si nyingi utafilisika au kuanza kuhisi unachawiwa kumbe tatizo niwewe mwenyewe,
ukitaka kuanzisha biashara hakikisha una kazi (ajira), kipato kingine cha ziada cha kukulisha, kukuvisha, kukulipia kodi ya nyumba, vocha n.k hapo utatoboa mapema tu ndani ya miezi hata 9 au 10,
ila ukianzisha biashara wakati unanjaa, au umepigika ndugu wamekuchangia mtaji wa milioni 3 au umekusanya pesa ukaacha kazi, au umefungua biashara kwa pesa za pensheni baads ya kustaafu tegemea anguko, kufirisika kuhama mtaa au kurudi nyumbani kwenu. Ndio maana waswahi wanasema mwenye nacho huongezewa
Hii ndio sababu inayoperekea biashara nyingi mpya kufa haraka hata bila kumaliza miezi 8 au mwaka,
NB: USIANZISHE BIASHARA WAKATI UKIWA NA NJAA. Akili ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
Nawasilisha
Labda Kama zinafananaKwa Hali ilivyo zinakutupa zote vzr tu
Mkuu uliza uambiwe. Unafikiri tunapenda? Biashara enzi za jiwe ilikua Kama ugaidi. Madhara Ni mpaka Sasa labda biashara ya kondomu ndo Ina uhakikaLabda Kama zinafanana
Na kwanini uwe na biashara 2 au 3 zinazofanana?
Me mwenyewe yamenikuta najua ninachomaanisha.Mkuu uliza uambiwe. Unafikiri tunapenda? Biashara enzi za jiwe ilikua Kama ugaidi. Madhara Ni mpaka Sasa labda biashara ya kondomu ndo Ina uhakika
Hii ni kwa experience yako Au general!?Habari wakuu,
Ukosefu wa ajira serikalini, taasisi mbali mbali, viwandani n.k imekuwa ndio chanzo cha vijana wengi mpaka wazee kukimbilia kwenye biashara,
Wengi tunapoanza biashara huwa hatuna uelewa wa kutosha, maarifa tunayoyapata kwa kuulizia ulizia kwa watu, mtandaoni au kwa ndugu na marafiki huwa hayajitoshelezi, hili jambo ni hatari sana.
Unakuta mtu ameanzisha biashara yake mpya hapo hapo anaitegemea imlipie kodi ya fremu, umeme, TRA, taka, ulimzi, kodi ya anakoishi, maji, chakula, vocha, usafiri n.k,
Ukiona upo kwenye hali kama hiyo jua moja kwa moja ushaanguka, siku si nyingi utafilisika au kuanza kuhisi unachawiwa kumbe tatizo niwewe mwenyewe,
ukitaka kuanzisha biashara hakikisha una kazi (ajira), kipato kingine cha ziada cha kukulisha, kukuvisha, kukulipia kodi ya nyumba, vocha n.k hapo utatoboa mapema tu ndani ya miezi hata 9 au 10,
ila ukianzisha biashara wakati unanjaa, au umepigika ndugu wamekuchangia mtaji wa milioni 3 au umekusanya pesa ukaacha kazi, au umefungua biashara kwa pesa za pensheni baads ya kustaafu tegemea anguko, kufirisika kuhama mtaa au kurudi nyumbani kwenu. Ndio maana waswahi wanasema mwenye nacho huongezewa
Hii ndio sababu inayoperekea biashara nyingi mpya kufa haraka hata bila kumaliza miezi 8 au mwaka,
NB: USIANZISHE BIASHARA WAKATI UKIWA NA NJAA. Akili ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
Nawasilisha
Muongo muongo huyo kila thread ya biashara hua anatunga stoty ya hivyo.
Ni swala la kujifunza tu mkuu la sivyo hawa jamaa wataendelea kumonopolize uchumi na sisi kubaki tunalia lia tu bila kuwa uchumi stable.Kuna jirani yangu yeye alifungua mini-supermarket daily anatupa vitu vilivyooza/haribika hajawahi kuuza hata mkate 1pc. Kweli biashara hizi tuwaachie Wapemba/wahindi/waarabu sisi waswahili tuendelee kupiga domo Kama Msemaji (aliyetimuliwa)
Hahahaha dah wacha nicheke tu.Nimefungua fremu ya viatu vya watoto na wanawake siku 8 sijauza hata pair 1,frame laki 2x 6 months!! Naona nyotanyota! Mzigo (gharama)1.5m, leseni+bills (bado sijapigia hesabu). Halafu utashangaa TRA sijui manispaa na ving'ora.
Hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23]sasa we umemjuaje
Nlitaka kumwambia hivi hivi ajitose mnadani, biashara za frem siku hizi ni changamoto, inabid uwe sehemu yenye watu sana la sivyo utamtafuta mchawi.Nilikua nafanya biashara kama yako mkoani Morogoro,sikua na frame nilikua nauzia minadani,minada ya pale Moro town tu, ila bado ilinikata.
Tatizo kubwa lilikua kama alivyoeleza Dube hapo juu,yani pesa hiyo hiyo nile,nilipe kodi,maji,umeme,bia,n.k.
Nikafunga vilago kwenda mkoa mwingine kuzisaka.
Uko sahihi! Ajichanganye minadani, hiyo laki mbili yake ya kodi per month afanyie mambo mengine tu.Nlitaka kumwambia hivi hivi ajitose mnadani, biashara za frem siku hizi ni changamoto, inabid uwe sehemu yenye watu sana lacvo utamtafuta mchawi.