Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Kalale wewe kesho SabatoLile Paka jike linauzi.Hakuna jinsi wataweza kunyong'oneza upinzani Tanzania.
Huwezi kumtesa mtu kwa miezi saba bila sababu yoyote ile kisha leo ujifanye kukutana nae kinafiki kwa kisingizio cha kujadili siasa za kistaarabu.She is hopeless sinner.Kudai katiba mpya ni siasa zisizo za kistaarabu?
Subiri siku ukiitwa....ukatae tutajua hapo....nini kitatokeaEndapo Rais WA nchi akakuita Ikulu Kwa mazungumzo ukakataa kwenda kumsikiliza Kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata?
Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia...
Kwanza mpaka upate mwaliko wa Rais Ikulu ujue kua kulikuwa na mazungumzo mengine yaliyokuwa yanaendelea chini kwa chini .Uwezi kuonana na Rais ghafla tu bila kuwa na taarifa na hilo. Kwa hiyo swala la kukubali au kukataa kuonana naye ni jambo ambalo mtakubaliana kabla ya kupata mwaliko.Endapo Rais WA nchi akakuita Ikulu Kwa mazungumzo ukakataa kwenda kumsikiliza Kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata?
Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia?
Ukimkatalia ukabaki na msimamo wako vyombo vya usalama vya kiafrika vitakuacha salama?
Kama havitakuacha salama, uhiari wa mwananchi kuitwa kuonana na Rais upo wapi au ndo Ile kusema Mhe. Rais huku Afrika ndiye MWENYE maamuzi ya wewe umpende hata kama moyoni unamchukia?
Lini tutapata Rais ambaye atatumbua kumwita mwananchi akakataa siyo Kosa la jinai? Lini tutapata Rais asiyeamini kumfunga yeyote MWENYE mawazo kinzani?
walishaomba kukutana nae mapema sana alipoingia tu ikulu,kama kamwita wakajadili kuna ubaya gani? Alianza na makamu wake na sasa mwenyekiti mbowe,mataifa ya nje walitaka hii kesi ifutwe viongozi wadini nawakataka upatano nandohilo limefanyika hii ni nchi yetu soteEndapo Rais WA nchi akakuita Ikulu Kwa mazungumzo ukakataa kwenda kumsikiliza Kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata?
Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia?
Ukimkatalia ukabaki na msimamo wako vyombo vya usalama vya kiafrika vitakuacha salama?
Kama havitakuacha salama, uhiari wa mwananchi kuitwa kuonana na Rais upo wapi au ndo Ile kusema Mhe. Rais huku Afrika ndiye MWENYE maamuzi ya wewe umpende hata kama moyoni unamchukia?
Lini tutapata Rais ambaye atatumbua kumwita mwananchi akakataa siyo Kosa la jinai? Lini tutapata Rais asiyeamini kumfunga yeyote MWENYE mawazo kinzani?
Kuitwa na Rais ni sheria.Endapo Rais WA nchi akakuita Ikulu Kwa mazungumzo ukakataa kwenda kumsikiliza Kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata?
Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia?
Ukimkatalia ukabaki na msimamo wako vyombo vya usalama vya kiafrika vitakuacha salama?
Kama havitakuacha salama, uhiari wa mwananchi kuitwa kuonana na Rais upo wapi au ndo Ile kusema Mhe. Rais huku Afrika ndiye MWENYE maamuzi ya wewe umpende hata kama moyoni unamchukia?
Lini tutapata Rais ambaye atatumbua kumwita mwananchi akakataa siyo Kosa la jinai? Lini tutapata Rais asiyeamini kumfunga yeyote MWENYE mawazo kinzani?