Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Endapo Rais WA nchi akakuita Ikulu Kwa mazungumzo ukakataa kwenda kumsikiliza Kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata?
Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia?
Ukimkatalia ukabaki na msimamo wako vyombo vya usalama vya kiafrika vitakuacha salama?
Kama havitakuacha salama, uhiari wa mwananchi kuitwa kuonana na Rais upo wapi au ndo Ile kusema Mhe. Rais huku Afrika ndiye MWENYE maamuzi ya wewe umpende hata kama moyoni unamchukia?
Lini tutapata Rais ambaye atatumbua kumwita mwananchi akakataa siyo Kosa la jinai? Lini tutapata Rais asiyeamini kumfunga yeyote MWENYE mawazo kinzani?
Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia?
Ukimkatalia ukabaki na msimamo wako vyombo vya usalama vya kiafrika vitakuacha salama?
Kama havitakuacha salama, uhiari wa mwananchi kuitwa kuonana na Rais upo wapi au ndo Ile kusema Mhe. Rais huku Afrika ndiye MWENYE maamuzi ya wewe umpende hata kama moyoni unamchukia?
Lini tutapata Rais ambaye atatumbua kumwita mwananchi akakataa siyo Kosa la jinai? Lini tutapata Rais asiyeamini kumfunga yeyote MWENYE mawazo kinzani?