Ukijipanga vizuri, mwaka huu unaweza kwenda Ulaya kufurahia maisha

Afrika ni bora kwa utalii kuliko huko kulikojaa ubaguzi junk foods, vitu bandia, maisha ya kufake nknk
 
Afrika ni bora kwa utalii kuliko huko kulikojaa ubaguzi junk foods, vitu bandia, maisha ya kufake nknk

Pengine uko sahihi mdau Mshana Jr, lakini zipo sababu nzuri pia za kwenda kutalii nje ya Afrika ikiwemo hali ya hewa, kiwango cha maendeleo na matumizi ya teknolojia, vivutio vya asili, utamaduni, historia na mambo mengine mengi.
 
Humu JF hakuna Wakurugenzi? 😜

Kimsingi, hivi vitu vinamuhusu kila mtu. Ni kujipanga tu

Humu JF hakuna Wakurugenzi? 😜

Kimsingi, hivi vitu vinamuhusu kila mtu. Ni kujipanga tu.

Humu JF hakuna Wakurugenzi? 😜

Kimsingi, hivi vitu vinamuhusu kila mtu. Ni kujipanga tu.
Maisha halisi ya mtanzania hivi vitu hawezi vimudu ni tabaka la juu ndio linaweza vimudu, ikiwa utalii ndani tu changamoto sembuse uko ughaibuni
 
Maisha halisi ya mtanzania hivi vitu hawezi vimudu ni tabaka la juu ndio linaweza vimudu, ikiwa utalii ndani tu changamoto sembuse uko ughaibuni

Ni suala la mtazamo na mazoea tu. Hakuna linaloshindikana hata kwa mtu wa kipato cha chini. Utalii wa ndani unagharimu mpaka elfu 30k tu kwa baadhi ya maeneo, bado wapo wasioenda, utasema tatizo ni kumudu?
 
Sawa hakuna neno. Tumeuweka kirahisi kupitia hii artwork mchanganuo mzima.

View attachment 2164066

Wasiliana nasi kwa maswali zaidi kupitia WhatsApp: +255 757 212 122

Asante.
Hii ni cheap Sana ,maana maisha ni Kama hayo. Sio unasimuliwa..sijaelewa per person on double sharing basis.
Pia sijui hawajaweka malazi ama sijaona
 
Hii ni cheap Sana ,maana maisha ni Kama hayo. Sio unasimuliwa..sijaelewa per person on double sharing basis.
Pia sijui hawajaweka malazi ama sijaona

Gharama tajwa ni kwa mtu mmoja ila baadhi ya huduma huko mtakuwa mnatumia watu wawili, wawili. Mfano kwenye gari la mizunguko na guides n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…