Ukijipanga vizuri, mwaka huu unaweza kwenda Ulaya kufurahia maisha

Naomba mchanganuo fasta

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Hivi vitu muwe mnaongea kwenye semina za wakurugenzi, hapa wengine mnatuonea jamani
Wala usitishike mimi nipo huku usukuman kuna wazee wana mihela yaani something like 30 t0 50 milion zipo ndani na wala hutosikia kasafiri labda Akiumwa ndo utasikia kaenda mwanza ujue huko ni bugando au ukisikia yupo DSM ujue yupo mhimbili au mloga nzila vinginevyo utasikia yupo Katavi au Kigoma kuangalia ng'ombe zake.
Waweza pia sikia yupo Morogoro kumbe kaenda angalia mashamba yake ya mpunga. Kiukweli pamoja na hela zake nyiingi but still too primitive and crude kwa hiyo shida siyo hela wengine ni kujitambua tu.
 

Sahihi kabisa
 
Wewe unamuona primitive ila yeye ana furaha na amani tele, cause hayo mazingira yake ndio yamefanya apate huo ukwasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…