Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
- Thread starter
- #21
Anza na makampuni ya bima aina zote ,wanakujaza hofu na ukipata tatizo ni mbinde kupata stahiki walizoahidiWanjanja, Wanatumia hofu kutawala dunia,LAZIMA HOFU IWEPO IWE KWA KUTAKA AU LA