Ukikaribia miaka 40 utagundua vingi; mojawapo ni kuwa tunaishi na hofu ambazo si halisi

Ukikaribia miaka 40 utagundua vingi; mojawapo ni kuwa tunaishi na hofu ambazo si halisi

Kama hii ni kweli inakuwaje mlezi wangu ambae kwa sasa ana umri wa 55 huwa ana panic kutokana na changamoto za maisha anazozipitia...haonyeshi ukomavu wa kifikra, kuna muda ana ropoka bila kufikilia kile anachokitoa mdomoni kitamuumiza vipi mwingine..........naomba tutafakari hili andiko.
Malezi yake yana nafasi kubwa kumuathiri hadi uzeeni. Unakuta baadhi ya wazee waliomaliza umri wote ubaharia, hujiona ni sawa tu kuishi vyovyote
 
Andiko bora kabisa!

Watu kabla ya umri tajwa huwa na mategemea mengi ambayo mwishowe humletea hofu,lakini akiwa mkubwa ndo mwisho hugundua alikuwa akiwaza ujinga!!
Hapo huanza kuomba msamaha wote alowakosea kipindi hajapevuka
 
Moja kati ya mbinu ya kijasusi katika kuwa salama kiakili na kimwili ni kuhama kutoka mji mmoja mpaka mwingine, jump from town to towns, city to city.... You will find peace and yo brain will function at high level, umeona jipya gani huko dubai mkuu
Mengi sana mkuu, bakia hapa hapa JF kwa Maxence Melo , Ukikaribia Miaka 40 ,part 2 inakuja
 
Back
Top Bottom