Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
- Thread starter
-
- #21
Anza na makampuni ya bima aina zote ,wanakujaza hofu na ukipata tatizo ni mbinde kupata stahiki walizoahidiWanjanja, Wanatumia hofu kutawala dunia,LAZIMA HOFU IWEPO IWE KWA KUTAKA AU LA
Ndiyo eneo nalomudu zaidi. Nawe una anga zako (Kipaji) wengine inabidi tubaki tunakutazamaDuuuh....watu wanafikiria sana aisee
Shukrani Tycoon wa Fasihi, maandiko yako mgodi.šš½šš½šš½
Safi Sana.
Well Prepared
Well Presented
Well packaged
Well absorbed
Malezi yake yana nafasi kubwa kumuathiri hadi uzeeni. Unakuta baadhi ya wazee waliomaliza umri wote ubaharia, hujiona ni sawa tu kuishi vyovyoteKama hii ni kweli inakuwaje mlezi wangu ambae kwa sasa ana umri wa 55 huwa ana panic kutokana na changamoto za maisha anazozipitia...haonyeshi ukomavu wa kifikra, kuna muda ana ropoka bila kufikilia kile anachokitoa mdomoni kitamuumiza vipi mwingine..........naomba tutafakari hili andiko.
Hapo huanza kuomba msamaha wote alowakosea kipindi hajapevukaAndiko bora kabisa!
Watu kabla ya umri tajwa huwa na mategemea mengi ambayo mwishowe humletea hofu,lakini akiwa mkubwa ndo mwisho hugundua alikuwa akiwaza ujinga!!
Mengi sana mkuu, bakia hapa hapa JF kwa Maxence Melo , Ukikaribia Miaka 40 ,part 2 inakujaMoja kati ya mbinu ya kijasusi katika kuwa salama kiakili na kimwili ni kuhama kutoka mji mmoja mpaka mwingine, jump from town to towns, city to city.... You will find peace and yo brain will function at high level, umeona jipya gani huko dubai mkuu
Huenda uwezo wangu wa kujifunza ni wa wastani mkuumbona umechelewa sana kuelewa hayo
Mwenyezi awafanyie wepesi kuelewa uhalisia kuwa ni kinyume na hofu.Kuna watu wanakusoma wakiwa na hofu
Nimetangaza nini tena mkuu?lipia tangazo dakitari
Tunashare mkuu kidogo tunachotafakariWewe kweli Daktari iwe wa MD au Daktari w falsafa.
Tumepokea na tutalifanyia kazi. Hasa hizi bima bima hiziTunashare mkuu kidogo tunachotafakari
Andiko limeeleweka.,Andiko zuri sana,The Icebreaker naomba tuelewe Kwa pamoja hili somo
š¤£Umenigusa Kweli,Nipo kujifunza kuendesha gari ila hata bicycle Sinaš¤¦Andiko limeeleweka.,
Kwenye maisha, Nyumba,Magari,Hela...ni kweli ni vitu vya kupita ila hakikisha vinapitia na kwako.
Maisha ni hatua,mwanzo mzuri huo.š¤£Umenigusa Kweli,Nipo kujifunza kuendesha gari ila hata bicycle Sinaš¤¦