Ukikaribia miaka 40 utagundua vingi; mojawapo ni kuwa tunaishi na hofu ambazo si halisi

Hapa ndipo naanza kuelewa maneno ya biblia hasa kitabu kile cha muhubiri asante mtoa mada
 
Hata dini nyingi ni za kutiana hofu tu wai Cha Muhimu punzi tu bana Mungu pekee
 
Sure
 
Hata dini nyingi ni za kutiana hofu tu wai Cha Muhimu punzi tu bana Mungu pekee
Dini zinatoa matumaini kwa watenda mema,
Na kuahidi adhabu Kwa watenda makosa wasipotubia,

Kitu ambacho ni kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…