GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Sasa Mimba yangu ya Awali niliyokupa iliingiaje na Kuifurahia kama sina Akili kama usemavyo?Bro huwa akili huna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Mimba yangu ya Awali niliyokupa iliingiaje na Kuifurahia kama sina Akili kama usemavyo?Bro huwa akili huna
Wabanduaji tukuka huwa hatupotezi muda kuhangaika na Harufu zao bali tunachokizingatia hasa ni Shimo / Robo Asali tu pekee.Hao ndo ugonjwa wangu shida siwaoni narudigi na upwiru wangu tu. Pia . Wengi pale ni wanawake wa kimasai na wasukuma au wanyamwezi wananuka ngombe ngombe tu na Mimi ni mzee kijana wa kinondoni nataka pc
Tunakotoka Geniuses watupu Tanzania..Products za SAUT
Malekcha wa saut kazi wanayoTunakotoka Geniuses watupu Tanzania..
Mfano ningekuwa mwanamke mimba si hata vichaa wanatungisha kaka ww ni maku jijueSasa Mimba yangu ya Awali niliyokupa iliingiaje na Kuifurahia kama sina Akili kama usemavyo?
bhangiAsante sana Mkuu kwa Kuwaeleza Ukweli na kwa Credits zako Kwangu ila jiandae kuambiwa kuwa hii ID yako ni Mimi ( yangu ) kwani hapa JamiiForums nikisifiwa tu na Members wa mfano wako IDs zao zinaambiwa ni zangu ila zile Zinazonitukana, Kunikashifu na Kunichukiahuwa haziambiwi ni zangu.
Nilishasema huko nyuma hapa hapa JamiiForums kuwa kama ukijijua huna Akili ( yaani Mpumbavu ) kama Mesehomie na OscarkambonaJr basi usiwe unapoteza muda wako Kufungua na Kusoma Threads zangu hapa JamiiForums kwani 100% ya Threads zangu huwa natoa Ujumbe Kuntu kwa Jambo husika huku nikitumia namna ya Kipekee hasa ya Kimafumbo, Utani na hata Sanifu vile vile.
Na ukiona Mtu ( Member ) yoyote anamkubali GENTAMYCINE hapa JamiiForums ( ukiwemo Wewe Mkuu ) basi jua ya kwamba una AKILI SANA na UMEBARIKIWA MNO.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented,. Charisma Fella, Game Changer and Entertainer" na The King pia.
Mzee Mbeya kutokea Jf.Anakoshinda sana na Yule Aliyekuzaa.
Kwani Wewe umezaliwa na Baba yako Wodini?
Wewe kama anakukwaza, usifungue uzi zake. Tuachie sisi tunao enjoy uzi zake.Moja ya member unayepost nonsense jf ni wewe Wake up bro
Naona umeshindwa Vita nami na sasa umeanza Kunitukana Matusi ya Viungo vya Uzazi vya Mama zetu huku ukiyageuza / ukiligeuza tusi.Mfano ningekuwa mwanamke mimba si hata vichaa wanatungisha kaka ww ni maku jijue
Thanks Chief ila jiandae kuambiwa kuwa hii ID yako ni yangu / ni Mimi GENTAMYCINE Mwenyewe sawa?Wewe kama anakukwaza, usifungue uzi zake. Tuachie sisi tunao enjoy uzi zake.
Hivi unajijua kuwa huna Akili kabisa?Kwan uzazi unaanza na baba na mama wote kwa pamojaa
Nasikia utamani sana ubebe Mimba zangu.Mzee Mbeya kutokea Jf.
Ndiyo inanifanya niwe Genius kuliko Foolish Wewe.bhangi
Hivi unanijua kuwa huna Akili kabisa?
jamii forum ni sehemu huru .. sijaona kosa lolote la mtoa mada
Nasikia utamani sana ubebe Mimba zangu.