Ukikusanya bando za internet umenunua ndani ya miaka 5 ungekuwa umenunua kitu gani cha thamani?

Ukikusanya bando za internet umenunua ndani ya miaka 5 ungekuwa umenunua kitu gani cha thamani?

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu kwema? Pasaka inaenda vyedi? Wenye mko kwenye mfungo, swaumu njema.

Jamani bando ni gharama ni gharama si mchezo hasa kwa watu wanaotegemea bando kufanya shughuli zao, kama mnavyojua mambo mengi sasa hivi yanamalizika mtandaoni.

Bando ni gharama kubwa sana, na hazikai! Unaweka bando la wiki linaishi siku mbili limesogea sana siku tatu, unaweka bando ya mwezi wiki ya pili huna kitu, hii sio sawa!

Wenzetu wenye gharama nafuu kwenye bando wana nini mpaka sisi tushindwe kupata huduma hii kwa gharama nafuu.

Serikali huwa iko vizuri kutonesha wenye kufanya vitu kwa gharama kubwa (japokuwa ufananisho huo huwa ni takataka na hauna msingi wowote) linapofika kwa wanaotoa huduma kwa gharama nafuu huwaoni!

Nikipiga hesabu hapa haraka haraka ningekua na seti ya almasi/diamond matata (for the love of gems:Minecraftdiamond:), kwa upande mwingine ningekuwa na ka IST kanapiga mishe za bolt huko kijana wa Kitanzania angekuwa amejipatia ajira hapo kuendesha familia yake!

Ukweli ni kwamba serikali mnatudhulumu, Waziri Nape unatudhulumu!
 
Wakuu kwema? Pasaka inaenda vyedi? Wenye mko kwenye mfungo, swaumu njema.

Jamani bando ni gharama ni gharama si mchezo hasa kwa watu wanaotegemea bando kufanya shughuli zao, kama mnavyojua mambo mengi sasa hivi yanamalizika mtandaoni.

Bando ni gharama kubwa sana, na hazikai! Unaweka bando la wiki linaishi siku mbili limesogea sana siku tatu, unaweka bando ya mwezi wiki ya pili huna kitu, hii sio sawa!

Wenzetu wenye gharama nafuu kwenye bando wana nini mpaka sisi tushindwe kupata huduma hii kwa gharama nafuu.

Serikali huwa iko vizuri kutonesha wenye kufanya vitu kwa gharama kubwa (japokuwa ufananisho huo huwa ni takataka na hauna msingi wowote) linapofika kwa wanaotoa huduma kwa gharama nafuu huwaoni!

Nikipiga hesabu hapa haraka haraka ningekua na seti ya almasi/diamond matata (for the love of gems:Minecraftdiamond:), kwa upande mwingine ningekuwa na ka IST kanapiga mishe za bolt huko kijana wa Kitanzania angekuwa amejipatia ajira hapo kuendesha familia yake!

Ukweli ni kwamba serikali mnatudhulumu, Waziri Nape unatudhulumu!
Maisha hayaendi hivyo mkuu, otherwise utashindwa kufanya mambo mengine ya msingi.

Kwasasa tulipo, internet ni moja kati ya huduma muhimu/lazima kwa maisha ya mwanadamu hivyo haiwezi kufanyiwa substitution.
 
Wakuu kwema? Pasaka inaenda vyedi? Wenye mko kwenye mfungo, swaumu njema.

Jamani bando ni gharama ni gharama si mchezo hasa kwa watu wanaotegemea bando kufanya shughuli zao, kama mnavyojua mambo mengi sasa hivi yanamalizika mtandaoni.

Bando ni gharama kubwa sana, na hazikai! Unaweka bando la wiki linaishi siku mbili limesogea sana siku tatu, unaweka bando ya mwezi wiki ya pili huna kitu, hii sio sawa!

Wenzetu wenye gharama nafuu kwenye bando wana nini mpaka sisi tushindwe kupata huduma hii kwa gharama nafuu.

Serikali huwa iko vizuri kutonesha wenye kufanya vitu kwa gharama kubwa (japokuwa ufananisho huo huwa ni takataka na hauna msingi wowote) linapofika kwa wanaotoa huduma kwa gharama nafuu huwaoni!

Nikipiga hesabu hapa haraka haraka ningekua na seti ya almasi/diamond matata (for the love of gems:Minecraftdiamond:), kwa upande mwingine ningekuwa na ka IST kanapiga mishe za bolt huko kijana wa Kitanzania angekuwa amejipatia ajira hapo kuendesha familia yake!

Ukweli ni kwamba serikali mnatudhulumu, Waziri Nape unatudhulumu!
Angalia usije ukajistukia uko milembe.
Ukitaka kupata stress zaidi kuliko hela ya bando, pigia hesabu nauli unazotumia kila siku.
 
Wakuu kwema? Pasaka inaenda vyedi? Wenye mko kwenye mfungo, swaumu njema.

Jamani bando ni gharama ni gharama si mchezo hasa kwa watu wanaotegemea bando kufanya shughuli zao, kama mnavyojua mambo mengi sasa hivi yanamalizika mtandaoni.

Bando ni gharama kubwa sana, na hazikai! Unaweka bando la wiki linaishi siku mbili limesogea sana siku tatu, unaweka bando ya mwezi wiki ya pili huna kitu, hii sio sawa!

Wenzetu wenye gharama nafuu kwenye bando wana nini mpaka sisi tushindwe kupata huduma hii kwa gharama nafuu.

Serikali huwa iko vizuri kutonesha wenye kufanya vitu kwa gharama kubwa (japokuwa ufananisho huo huwa ni takataka na hauna msingi wowote) linapofika kwa wanaotoa huduma kwa gharama nafuu huwaoni!

Nikipiga hesabu hapa haraka haraka ningekua na seti ya almasi/diamond matata (for the love of gems:Minecraftdiamond:), kwa upande mwingine ningekuwa na ka IST kanapiga mishe za bolt huko kijana wa Kitanzania angekuwa amejipatia ajira hapo kuendesha familia yake!

Ukweli ni kwamba serikali mnatudhulumu, Waziri Nape unatudhulumu!
Monthly natumia 100k
100k×12=1.2
1.2x5=6m
Hapo ningekuwa na kiwanja au vitz
 
Maisha hayaendi hivyo mkuu, otherwise utashindwa kufanya mambo mengine ya msingi.

Kwasasa tulipo, internet ni moja kati ya huduma muhimu/lazima kwa maisha ya mwanadamu hivyo haiwezi kufanyiwa substitution.
Ndio maana inabidi iwe gharama nafuu kwa mtanzania yoyote kumudu, sababu ni huduma muhimu, GB 1 kwa sh. 3000 sio sawa, huu ni zaidi ya wizi
 
Back
Top Bottom