Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Tumia post paid ya halotel au Airtel na tigo Hivi vya buku 3 wanaiba pesa zetuNdio maana inabidi iwe gharama nafuu kwa mtanzania yoyote kumudu, sababu ni huduma muhimu, GB 1 kwa sh. 3000 sio sawa, huu ni zaidi ya wizi