Ukikuta begi limetelekezwa limejaa maburungutu ya pesa liache kama lilivyo, usijizidi akili kujiona mjanja ukimbie nalo

Ukikuta begi limetelekezwa limejaa maburungutu ya pesa liache kama lilivyo, usijizidi akili kujiona mjanja ukimbie nalo

Mbona simpo sana, toa hela zote kwenye begi zitumbukize kwenye pipa lenye maji. Begi choma moto, Gps haifanyi kaz ndani ya maji, chambua noti moja moja kama tahadhali ukiipata device katupe chooni. Game over
 

Maisha ya hapo zamani mtu akikuta begi kama hili na kuliacha, watu walimshangaa sana kwamba kapitwa na bahati na bahati haiji mara mbili,

Ila kwa siku hizi mtu akiliacha begi kama hilo ana akili sana, wala si wa kumcheka.


Teknolojia ya GPS tracking imekuwa kubwa sana, Begi lenye maburungutu ya hela ni kawaida sana kuwekwa gps inayoonyesha movement zote za begi, Gps ndigo ya ziada inaweza kuwekwa kwa ustadi katikati ya pesa zilizobanana, hata begi likitupwa location ya mzigo inaonekana.

Gps trackers itaonyesha sehemu lilipo begi na movements zake, hivyo ukiliokota na kwenda nalo nyumbani kwako, watajua lilipo na kulifuata, kibongo bongo utapewa kipigo kikali sambamba na kupewa kesi ya ujambazi.

Watu wanaweka gps kwenye pikipiki na magari na yakiibiwa wanayapata sembuse mabegi yenye maburungutu ya hela ? hilo swali ujuilize sana.

Njia pekee ya kuiba hilo begi labda uwe na jammer wanazotumia majambazi wa kisasa kuiba pikipiki na magari, gps jammer ni kifaa maalum cha kublock mawimbi ya gps tracker.

Begi ukikimbia nalo kwa muda mfupi ukiwa na furaha utasema maisha umeyapata lakini kifuatacho baada ya hapo kinaweza kufanya maisha yako yawe ya majonzi sana.
Funga gps bag lako, litie pesa Kisha njoo mbele yangu liangushe Kwa makusudi then uanze ku track hilo bag lako uone kama utalipata
 
Yani lorry kubwa kabisa kinafungwa GPS tracker hiyo,watu wanapita nalo kama kawaida.

Sembuse hako ka bag.
 
Hakuna nchi inayoongoza kwa robbery kama USA na huko wana kila aina ya teknolojia ila wahuni wanapita nazo tu.

Wizi mkubwa wa magari ya kifahari hutokea USA na gari likishaibiwa halipatikani tena mpaka tunakuja kuuziwa huku Africa kwa bei chee.
 
Kwa yule aliwahi kuiona hii movie, atamuelewa mleta mada

1709651144684.png
 

Maisha ya hapo zamani mtu akikuta begi kama hili na kuliacha, watu walimshangaa sana kwamba kapitwa na bahati na bahati haiji mara mbili,

Ila kwa siku hizi mtu akiliacha begi kama hilo ana akili sana, wala si wa kumcheka.


Teknolojia ya GPS tracking imekuwa kubwa sana, Begi lenye maburungutu ya hela ni kawaida sana kuwekwa gps inayoonyesha movement zote za begi, Gps ndigo ya ziada inaweza kuwekwa kwa ustadi katikati ya pesa zilizobanana, hata begi likitupwa location ya mzigo inaonekana.

Gps trackers itaonyesha sehemu lilipo begi na movements zake, hivyo ukiliokota na kwenda nalo nyumbani kwako, watajua lilipo na kulifuata, kibongo bongo utapewa kipigo kikali sambamba na kupewa kesi ya ujambazi.

Watu wanaweka gps kwenye pikipiki na magari na yakiibiwa wanayapata sembuse mabegi yenye maburungutu ya hela ? hilo swali ujuilize sana.

Njia pekee ya kuiba hilo begi labda uwe na jammer wanazotumia majambazi wa kisasa kuiba pikipiki na magari, gps jammer ni kifaa maalum cha kublock mawimbi ya gps tracker.

Begi ukikimbia nalo kwa muda mfupi ukiwa na furaha utasema maisha umeyapata lakini kifuatacho baada ya hapo kinaweza kufanya maisha yako yawe ya majonzi sana.
Pesa nachukua, beki linabaki hapo
 
Sasa wanaloliacha hapo wanaliacha ili iweje ?!!!

Kama wewe ndiwe nashauri uache utakuja kulia na kusaga meno...

Mfano nalichukua alafu nachukua pesa robo tatu naweka kando alafu napeleka polisi na vijisenti vilivyobaki..., hapo utanishukuru au kunisingizia kwamba nimeiba ? (Slander and Defamation) !!!
 
Huu utapeli ulikuwa enzi zile za zama za mawe mtu anatupa wallet alafu ukiokota anakuja mtu kwa nyuma anasema muende chocho mkazigawane mkifika huko anatokea polisi na mwenye mali ili kuwaachia mnatoa hongo kumbe wote hao wamekuzunguka....
 
Sasa wanaloliacha hapo wanaliacha ili iweje ?!!!

Kama wewe ndiwe nashauri uache utakuja kulia na kusaga meno...

Mfano nalichukua alafu nachukua pesa robo tatu naweka kando alafu napeleka polisi na vijisenti vilivyobaki..., hapo utanishukuru au kunisingizia kwamba nimeiba ? (Slander and Defamation) !!!
Huyu analeta habari za kitoto. Na anaefanya hivyo anakuwa analenga nini?
 
Hakuna nchi inayoongoza kwa robbery kama USA na huko wana kila aina ya teknolojia ila wahuni wanapita nazo tu.

Wizi mkubwa wa magari ya kifahari hutokea USA na gari likishaibiwa halipatikani tena mpaka tunakuja kuuziwa huku Africa kwa bei chee.
wengi wanakamatwa hadi wezi wa baiskali zilizofungiwa gps, wizi wa Us inabidi utumie teknolojia za kisasa ama iwe inside job, ukiiba kichwa kichwa unadakwa kama panya
 
Begi ukilikuta njiani kuna uwezekano mkubwa wa uhalifu kuhusika, aidha limetupwa wakati majambazi yakimkimbiza mwenye nalo, majambazi waliiba ila wakalitupa kupoteza ushahidi hasa wakiwa suspects, wezi wameiba pesa na ghafla wanaona kuna ukaguzi barabarani, n.k.

Maisha ya hapo zamani mtu akikuta begi kama hili na kuliacha, watu walimshangaa sana kwamba kapitwa na bahati na bahati haiji mara mbili,

Ila kwa siku hizi mtu akiliacha begi kama hilo ana akili sana, wala si wa kumcheka.


Teknolojia ya GPS tracking imekuwa kubwa sana, Begi lenye maburungutu ya hela ni kawaida sana kuwekwa gps inayoonyesha movement zote za begi, Gps ndigo ya ziada inaweza kuwekwa kwa ustadi katikati ya pesa zilizobanana, hata begi likitupwa location ya mzigo inaonekana.

Gps trackers itaonyesha sehemu lilipo begi na movements zake, hivyo ukiliokota na kwenda nalo nyumbani kwako, watajua lilipo na kulifuata, kibongo bongo utapewa kipigo kikali sambamba na kupewa kesi ya ujambazi.

Watu wanaweka gps kwenye pikipiki na magari na yakiibiwa wanayapata sembuse mabegi yenye maburungutu ya hela ? hilo swali ujuilize sana.

Njia pekee ya kuiba hilo begi labda uwe na jammer wanazotumia majambazi wa kisasa kuiba pikipiki na magari, gps jammer ni kifaa maalum cha kublock mawimbi ya gps tracker.

Begi ukikimbia nalo kwa muda mfupi ukiwa na furaha utasema maisha umeyapata lakini kifuatacho baada ya hapo kinaweza kufanya maisha yako yawe ya majonzi sana.
ushauri wako mzuri,tuna uheshimu...GPS my foot
 
Back
Top Bottom